Nimeshangazwa na binti anayejiita Mlokole ila anajiuza kwa siri

Nimeshangazwa na binti anayejiita Mlokole ila anajiuza kwa siri

Usichokijua huko kanisani nako wanakula vichwa,kuna changudoa alikuwa anajiuza pale Riverside ila Ijumaa msikitini anaenda na Jpili utamkuta kwa Mwamposa, focus na mambo yako mkuu.
Wanawake wakislamu wanafanya ibada nyumbani na siyo msikitini

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom