Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Vipi angekuwa ni Mzungu, ungeanzisha huu uzi wako wa kushangaa?Ndugu zangu ni macho yangu au vijana tunazeeka sura lakini ingali tuna umri mdogo?
Klabu ya yanga leo imemtambulisha mchezaji wao kinda wa miaka 18 kutoka JKU ya Zanzibar kwa mkataba wa miaka 3.
View attachment 2844104