The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Ya mpira nayo unataka uchangie kisa umesikia mzanzibar .ila we na maudini yakoKwani tatizo nini akiwa au asiwe na miaka 18?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya mpira nayo unataka uchangie kisa umesikia mzanzibar .ila we na maudini yakoKwani tatizo nini akiwa au asiwe na miaka 18?
Mkuu mbona unapigwa na butwaa kirahisi namna hiyo, una shida gani?Ndugu zangu ni macho yangu au vijana tunazeeka sura lakini ingali tuna umri mdogo?
Klabu ya yanga leo imemtambulisha mchezaji wao kinda wa miaka 18 kutoka JKU ya Zanzibar kwa mkataba wa miaka 3.
View attachment 2844104
Ndugu zangu ni macho yangu au vijana tunazeeka sura lakini ingali tuna umri mdogo?
Klabu ya yanga leo imemtambulisha mchezaji wao kinda wa miaka 18 kutoka JKU ya Zanzibar kwa mkataba
Hata mimi wakati tunasaka ajira sehemu kuna mwenzetu mmoja alikua bonge na usipomchanganyia macho unaweza kudhani mzee.Muache kukisia umri wa watu kwa macho. Maumbo yanatofautiana. Mimi nikiwa kidato cha Tano nilikuwa Nina miaka 18, lakini picha zangu huyo anaonekana mdogo tu, bahati mbaya siwezi kuzituma humu. Kuna watu tuna miili mikubwa hata usiseme. Japo kweli baadhi wanafoji miaka, ila uthibitisho unahitajika.
😂😂Hata mimi wakati tunasaka ajira sehemu kuna mwenzetu mmoja alikua bonge na usipomchanganyia macho unaweza kudhani mzee.
Nilipomuona nikajiuliza huyu anakuja kutafuta nini huku?
Baada ya kupata ajira na kuzoeana nae nikagundua kumbe mimi ni mkubwa kuliko yeye.
Rage alikuwa mbele ya mudaMakolo nawakumbusha dirisha la usajili limefunguliwa jana, wenzenu tumeanza kusajili nyinyi mko bize na misondo, baadae mkifanya vibaya muanze kuwalalamikia mangungu na mo.
Sio Zanzibar hata bara, unajua umri wa mzize?
We ndio mdini, yeye kauliza tatizo nini?Ya mpira nayo unataka uchangie kisa umesikia mzanzibar .ila we na maudini yako
Mzize muache kwanza.... Inawezekana kamzidi hata Musonda kwa Umri....Sio Zanzibar hata bara, unajua umri wa mzize?
Mtoto mdogo sana huyo, kuanzia muonekano wake hadi body language na kuongea kwake.Ndugu zangu ni macho yangu au vijana tunazeeka sura lakini ingali tuna umri mdogo?
Klabu ya yanga leo imemtambulisha mchezaji wao kinda wa miaka 18 kutoka JKU ya Zanzibar kwa mkataba wa miaka 3.
View attachment 2844104
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama Mzize ni under 20 inashindikanaje kwa huyo mwingine?