Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwe wakweli kama hawagombei ili wakale mbona wanatoana roho katika kura za maoni?Wanahonga wanachama unafikiri zile pesa watarudisha vipi kama si mjengoni?Acha masihara bwana hata Padre Slaa amesema kwamba wabunge wanabunya mapesa mno!Ndugu,
Hatuchagui watu wakale au wakatulishe.....uko dunia ipi mwenzetu ya CCM?
Ni kweli ana uwezo wa kuendesha kampeni kivyake lakini je ni vibaya wapenzi wa jf kutjitoa kwa kipenzi chetu akiwa mbioni kuelekea jukwaa la dodoma..simjui bibie ila binafsi nitaanza na doller tano mama
ntakutumia jumanne niko mbali kidogo inaishia na 22 yangu mungu akutie nguvu naombeni sapoti lazima tujue anaitaji kuwasiliana na kamati nzima ya kampenki anaitaji kuwasiliana na takukuru inikesi akizidiwa nguvu na wafdhaaaliiina aka mafisdi wa kura so kwa nini tumwache naombeni sapoti yenu kwa huyu dada kama wanisapoti na kumwamini Mungu ushindi ni wake anza sasa tuma kwenye namba za hapo chini
Nitalimiss sana hili jukwaa murua..Nitawamiss wote.Baada ya uchaguzi nitarudi tena jamvini kama kawaida.
My nos are 0713 760534,0753 760534,0784 760534
Asanteni sana
With Love
Regia Mtema
Tupo pamoja. Nakutakia kila la kheri.
''Kilombero for Change''
''Regia Mtema-Change we Believe in''
Ile sheria ya 'name calling' hapa haiwi applied eeh!!
heheheheNa kila wikiend ntakuwa natuma mbili mama hasa kwa tigo
Samson,nashukuru sana kwa kuniunga mkono ,nimeshangaa sana hata hatufahamaniani...MUNGU akubariki sana
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! (NIMESHANGAZWA SAAAAAANA). Naendelea kuamini kuwa sasa ubunge ni moja ya kazi au majukumu yanayopoteza mantiki nchini....kwa hakika kama ni kazi iliyo bado na muktadha unaostahili hapa kwetu basi Regia bado hajakomaa kiasi cha kumuwezesha kuwa mwakilishi mwenye mashiko. Namfahamu...bado...sijasema hapaswi wala hawezi kuwa....lakini kwa sasa anahitaji bado...
Kuendelea kubeba mikoba ya Mh. Mbowe, abebe saaaana mikoba ya Dr. Slaa...ya akina Halima Mdee, Grace Kiwelu, John Mrema, Mnyika, Benson na wengine wenye uwezo CHADEMA, vinginevyo....naendelea kushangaa maana hata akina Makamba nao ni wabunge jamani...nchi hii
Nimejiweka wazi mwenyewe....
Samson,nashukuru sana kwa kuniunga mkono ,nimeshangaa sana hata hatufahamaniani...MUNGU akubariki sana
Mgombe anategemea kuungwa mkono na watu anaofahamiana nao tu ?
Kiranga,hivi unafikiri ni wewe ndiye uliyenilazmisha?ooh poor you,forget that.Kuna muungwana mmoja aliniPM kwa kujenga hoja zenye akili ndipo nikakubaliana naye kutoka front na jina langu tena kuliua kabisa jina la awali..Sikulazimishwa tafadhali..Hapana, utakuwa unadanganya, umelazimishwa kujiweka wazi.
!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! (NIMESHANGAZWA SAAAAAANA). Naendelea kuamini kuwa sasa ubunge ni moja ya kazi au majukumu yanayopoteza mantiki nchini....kwa hakika kama ni kazi iliyo bado na muktadha unaostahili hapa kwetu basi Regia bado hajakomaa kiasi cha kumuwezesha kuwa mwakilishi mwenye mashiko. Namfahamu...bado...sijasema hapaswi wala hawezi kuwa....lakini kwa sasa anahitaji bado...
Kuendelea kubeba mikoba ya Mh. Mbowe, abebe saaaana mikoba ya Dr. Slaa...ya akina Halima Mdee, Grace Kiwelu, John Mrema, Mnyika, Benson na wengine wenye uwezo CHADEMA, vinginevyo....naendelea kushangaa maana hata akina Makamba nao ni wabunge jamani...nchi hii
Kiranga,hivi unafikiri ni wewe ndiye uliyenilazmisha?ooh poor you,forget that.Kuna muungwana mmoja aliniPM kwa kujenga hoja zenye akili ndipo nikakubaliana naye kutoka front na jina langu tena kuliua kabisa jina la awali..Sikulazimishwa tafadhali..