WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
Nimetoka Jangwani kwa kweli mambo yalikuwa ni mazuri sana..
Tupe uhondo wote mwenzetu maana huko Jangwani tunakusikia tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetoka Jangwani kwa kweli mambo yalikuwa ni mazuri sana..
Nimetoka Jangwani kwa kweli mambo yalikuwa ni mazuri sana..
Mtu akishaanza kujikojolea kwenye serawili zaidi ya mara moja wkati anawahutubia mkutanoni huhitaji hata kujua sana historia yake ili kujua kwamba hafai.
Historia ni muhimu, lakini anachoweza kufanya sasa hivi ni muhimu zaidi. Hawezi mjadala, si umemuona kakimbia anajua akija hapa atasulubiwa.
Kwanza anatakiwa kuomba msamaha kwa jumuiya ya wabeba box kwa kuwakashifu.
Kwa wale ambao hatufahamu wasifu wa GS jee utatusaidiaje? I will donate kwa mtu yoyote wa chama chochote ambaye ni mjumbe wa mabadiliko. Tunaomba CV ili na sisi tuchangie. Sambamba na CV pia nina maswali yangu mawili matatu naomba unitanabaishie.
a) How will Kilombero benefit from you?
b) Jee ni jambo gani ambalo limekuwa chachu ya maamuzi yako?
c) Jee ni sehemu gani zinaitaji madaliko in Kilombero and why?
d) WHY YOU?? Kwa nini Watanzania tukuamini wewe? Why?
Thanks.
Wakuu,
Jana tulikuwa na mchakato wa kura za maoni jimboni kwetu. Tulikuwa wagombea wawili katika chama chetu. Nimefanikiwa kushinda kura za maoni kwa kishindo na kumuangausha mpinzani wangu, hivyo kuipeperusha bendera ya CHADEMA katika jimbo hili.
Nimeandika historia kwa kuwa kijana wa kwanza kugombea kwenye jimbo hili tangu kurudi kwa mfumo wa vyama vingi kwa vyama vyote vilivyowahi kusimamisha wagombea ubunge kwenye jimbo hili. Ni mtaji kwangu..
Tuko pamoja...Hakuna kulala mpaka kieleweke.
Tafadhali naomba msiniulize nagombea jimbo gani. Ni jimbo moja la Mkoani, Wilaya yenye jimbo moja.. Zaidi ya hapo usiniulize.
Alunta continua
kitu ambacho nakushauri dada yangu uwe tayari kwa maswali ya below the belt
maswali yakiwa below the belt yajibu kwa ukarimu wote
Ukosoaji wa Regia sasa umevuka mipaka. Mimi pia niliona alikosea pale mwanzoni aliposema asiulizwe anagombea jimbo gani na mengineyo yahusuyo ugombeaji wake. Angeweza kabisa kusema kitu kama 'nitarudi baadae kutoa maelezo zaidi kuhusu ugombeaji wangu na kujibu maswali yenu'kama mtakuwa nayo '. Angesema kitu kama hicho sidhani kama tungefika hapa tulipofika sasa. Sijui ni nani alimshauri aseme hivyo au inawezekana hakuomba ushauri wa yeyote wa jinsi gani aweke tangazo lake hapa. Alikosea kusema kusema asiulizwe. Angetupiga tarehe tu na kutuambia atarudi baadae.
Lakini licha ya kukosea huko sasa amejirudi na kuja kuweka wazi utambulisho wake na jimbo analogombea. Hapo mimi nilimpa alama ya 'vyema' na ugomvi wangu ukaisha. Ila yaelekea kuna wengine ambao bado wanalia nae. Wanakosoa kila neno, kila sentensi, kila aya, na kila wawezalo kukosoa tena kwa lugha kali zisizo za kiungwana. Hata kama ni 'constructive criticism', sidhani kama mlengwa atachukulia hivyo. Kuna namna ya kumkosoa mtu kwa kumjenga. Maneno yana maana sana. Lengo la ukosoaji linaweza kuwa jema kabisa lakini maneno unayoyatumia na jinsi unavyoyapanga yanaweza kuharibu kabisa lengo ulilokusudia. Kuna msemo Kiingereza usemao 'It's not what you say but how you say it'. Huu msemo unaweza ukawa ni cliche lakini unabeba maana nzito sana katika mawasiliano yetu ya kila siku. Kwa hiyo ni vizuri pia kuzingatia namna na jinsi tunavyosema yale tunayosema hasa kama lengo letu ni kujenga na kusaidia.
Sasa kwa vile kampeni ndio zimeshaanza (ingawa hazijaanza rasmi), tumpe muda huyu dada yetu. Kuanza kumhukumu kuwa hata kushinda hataweza si vizuri. Akija kushinda je tutafanyaje? Tutayala maneno yetu wenyewe na kumwomba radhi ama? Tumuunge mkono (ingawa si lazima kufanya hivyo, ila binafsi namuunga mkono), tumtie moyo, tumkosoe kwa lugha za kiungwana zinazojenga na si zinazomfanya mtu amenyuke (react) kwa hisia na kujibu kwa aina (in kind).
Mwisho, usivunjike moyo Regia. Haya yote yanakuja na mazingira yake (they come/go with the territory). Yaliyo mema na mazuri yachukue na yafanyie kazi. Ya kijinga na kipuuzi yaache hivyo hivyo kama yalivyo. Usiache hizi kelele zikufanye upoteze lengo (lose focus). Keep your eyes on the prize and I am with you all the way to Dodoma.
Napinga dhana ya kumbembeleza mtu aingie kwenye siasa au uongozi kama CHADEMA walivyofanya na Dr. Slaa. Subiri mwenyewe atamke, aape, kuwa ana moyo na nia ya dhati ya kuingia siasa.
Nadhani Regia ameweza kuhimilia ukosoaji wa humu atakuwa ni kiongozi mzuri tu maana wengine wangekuja kwa hasira. Amepitia Tanuru la Kiranga.. and survived.. she will be able to handle anything coming her way. Keep it up na usije ukajikuta unamshyrose mtu! Unless it is absolutely necessary! You go girl! Got my support!
Huyu hata haelewi tofauti ya principles na siasa, tofauti ya "public service" na "politics" huy haielewi.
Mimi naamini katika "public service" wala si katika siasa, na ili kufanya public service huhitaji kujikita katika siasa za uchaguzi.
Huo wakati ambao ni absolute necessary kumshyrose mtu ndo upi?
Hebu tusaidie hapo
Acha zako hizo wewe Camelion, hivi huu utoto utaacha lini? grow up ujinga huu
Hongera sana kwa kuingia ktk mchakato wa kuomba ridhaa ya wana -kilombero.Nakutakia Kila La kheri!Mema ya kwenye hili jamvi yachukue na mabaya tuwachie,Usisoneke kwa vigongo vya baadhi yetu bali hii ikupe picha kamili ya ni aina gani ya watu utakutana nao (nikimaanisha utakutana na watu wa aina mbalimbali huko viwanja kama ilivyo hapa jamvini.Kila la kheri !Wakuu,
Jana tulikuwa na mchakato wa kura za maoni jimboni kwetu. Tulikuwa wagombea wawili katika chama chetu. Nimefanikiwa kushinda kura za maoni kwa kishindo na kumuangausha mpinzani wangu, hivyo kuipeperusha bendera ya CHADEMA katika jimbo hili.
Nimeandika historia kwa kuwa kijana wa kwanza kugombea kwenye jimbo hili tangu kurudi kwa mfumo wa vyama vingi kwa vyama vyote vilivyowahi kusimamisha wagombea ubunge kwenye jimbo hili. Ni mtaji kwangu..
Tuko pamoja...Hakuna kulala mpaka kieleweke.
Tafadhali naomba msiniulize nagombea jimbo gani. Ni jimbo moja la Mkoani, Wilaya yenye jimbo moja.. Zaidi ya hapo usiniulize.
Alunta continua
ngumi nim mchezo ambao unapata point kwa kumpiga mwenzio juu, ukimpiga chini sehemu za mapumbu ni foul play.Hayo ndiyo maswali gani? naomba utafsiri kwa lugha ya Taifa sikukuelewa.
Nadhani Regia ameweza kuhimilia ukosoaji wa humu atakuwa ni kiongozi mzuri tu maana wengine wangekuja kwa hasira. Amepitia Tanuru la Kiranga.. and survived.. she will be able to handle anything coming her way. Keep it up na usije ukajikuta unamshyrose mtu! Unless it is absolutely necessary! You go girl! Got my support!