Nimeshindwa kuelewa kabisa aisee

Nimeshindwa kuelewa kabisa aisee

Mbona kafafanua vizur tu au ww ndo unalazmsha kutomuelewa coz wangapi wamejikuta wanadaiwa kwa sababu mtu flan kukopa bank au kampun flani ya kifedha kwa kutumia credentials zake.
Kuna tukio lilitokea mwaka jana la mume kujiua baada ya mke kukopa fedha nyingi kwa kutumia jina la mume wake na pesa zote alitapeliwa.
Hakuna bank au kampuni inatoa hela kinyemela hivyo. Yaani uende na details zangu uwaambie wakupe hela pasipo kuniona au kufanya mawasiliano na mwenye hizo credentials? Labda unaongelea Vikoba.

Ingekuwa hivyo unavyoeleza wewe ni rahisi, ni wengi tungeshakopa mabenki kwa taarifa za tunaowafahamu pasipo hata wao kuelewa. Wewe unaongelea VIKOBA vya mtaani. Bank au kampuni zinazofanya biashara kweli kitu kama hicho hakipo. Tena Millioni 70, kibaya zaidi mtu aliyekopa hawafahamiani. Yaani kampuni ishindwe kuwa hata na details za aliyeenda kuchukua hiyo fedha hadi imface jamaa direct kuwa yeye ndie aliyekopa? Pesa sio nyepesi hivi aisee
 
Daaah inachekesha kwa kweli hivi inawezekama mtu akakopa kwa kitumia jina mtu na hilo deni akawekewa huyo mtu kwenye akaunti yake?
Huyo kadanganya hicho kitu hakiwezekani.
Sana sana inawezekana mtu akakopa kwa kuweka rehani hati ya mtu mwingine bila huyo mtu kujua kuna jamaa alishangaa haoni hati yake ya kiwanja anamuuliza mke anasema hajui
Jamaa alihangaika kuitafuta akashauriwa aende kwa msajili wa hati
Kufika huko alikutana na maajabu ya taarifa ya benki kwamba ile hati wanayo kuna mtu kaikopea kufika benki akakuta ni mke wake alikopa kwa kutumia hati yake bila kumshirikisha na deni halilipwi.
Kumbana mke akaanza kulia kwamba alidanganywa na dereva teksi akakopa ili wafungue duka ila yule dereva teksi alimtapeli na kutokomea na fedha zote
Baada ya uchunguzi wa kina akaja gundua yule dereva teksi alikuwa mpenzi wa mke wake na alikuwa amemtundika mke wake ujauzito ambao yule mwanamke alikuwa ameficha huku akiwa na mpango wa kuitoa.
Jamaa alifedheheka sana ikabidi amuache yule mwanamke na ikabidi akauze eneo lake jingine ili alipe mkopo ule akomboe hati yake kwani hicho kiwanja hati iliyokopewa kilikuwa kina nyumba.
Huyo bi dada story yake haiingii akilini Kabisa
Sana sana mtu anaweza kukopa akakuweka wewe mzamini wale bila wewe kujua
 
Baadhi ya shuhuda kwenye haya makanisa ni za utata mno.
Kuna mmoja nilimsikia anatoa ushuhuda kwamba alikuwa mchawi na amekwisha ua watu wengi sana zaidi ya mia.
Sasa ameacha ameokoka
Nikawa najiuliza maswali sasa huyu si anatakiwa akamatwe na Polisi ili aeleze vizuri aliowaua na ikiwezekana apandishwe kizimbani .
TCRA inabidi ifuatilie maudhui yanayotolewa Kwenye vipindi vya redio na luninga vya hawa wachungaji hususani kwenye eneo la ushuhuda.
Kuna shuhuda za ajabu sana zinatolewa huko nyingine ni criminal issues kabisa
 
Baadhi ya shuhuda kwenye haya makanisa ni za utata mno.
Kuna mmoja nilimsikia anatoa ushuhuda kwamba alikuwa mchawi na amekwisha ua watu wengi sana zaidi ya mia.
Sasa ameacha ameokoka
Nikawa najiuliza maswali sasa huyu si anatakiwa akamatwe na Polisi ili aeleze vizuri aliowaua na ikiwezekana apandishwe kizimbani .
TCRA inabidi ifuatilie maudhui yanayotolewa Kwenye vipindi vya redio na luninga vya hawa wachungaji hususani kwenye eneo la ushuhuda.
Kuna shuhuda za ajabu sana zinatolewa huko nyingine ni criminal issues kabisa
Nchi hii ukiwa mwana CCM hakuna la kukubabaisha.
Hao manabii wana kadi hai za CCM
 
WhatsApp Image 2025-01-16 at 13.33.34.jpeg
 
Daaah inachekesha kwa kweli hivi inawezekama mtu akakopa kwa kitumia jina mtu na hilo deni akawekewa huyo mtu kwenye akaunti yake?
Huyo kadanganya hicho kitu hakiwezekani.
Sana sana inawezekana mtu akakopa kwa kuweka rehani hati ya mtu mwingine bila huyo mtu kujua kuna jamaa alishangaa haoni hati yake ya kiwanja anamuuliza mke anasema hajui
Jamaa alihangaika kuitafuta akashauriwa aende kwa msajili wa hati
Kufika huko alikutana na maajabu ya taarifa ya benki kwamba ile hati wanayo kuna mtu kaikopea kufika benki akakuta ni mke wake alikopa kwa kutumia hati yake bila kumshirikisha na deni halilipwi.
Kumbana mke akaanza kulia kwamba alidanganywa na dereva teksi akakopa ili wafungue duka ila yule dereva teksi alimtapeli na kutokomea na fedha zote
Baada ya uchunguzi wa kina akaja gundua yule dereva teksi alikuwa mpenzi wa mke wake na alikuwa amemtundika mke wake ujauzito ambao yule mwanamke alikuwa ameficha huku akiwa na mpango wa kuitoa.
Jamaa alifedheheka sana ikabidi amuache yule mwanamke na ikabidi akauze eneo lake jingine ili alipe mkopo ule akomboe hati yake kwani hicho kiwanja hati iliyokopewa kilikuwa kina nyumba.
Huyo bi dada story yake haiingii akilini Kabisa
Sana sana mtu anaweza kukopa akakuweka wewe mzamini wale bila wewe kujua
SteveJr99 njoo huku mkuu. Jamaa angewekwa mdhamini ingemake sense, lakini eti hela ichukuliwe na mwingine halafu yeye ndio aonekane alienda kukopa si kweli.

Umeeleza vyema mkuu
 
Inabidi ule kwanza nyumbani kwako, kule kwenye harusi yake kutakuwa na uji wa pilipili manga tu na kiazi kimoja kimoja kwa mualikwa. Mbona alishatutangazia toka mwaka jana, hujapata memo bado?
Alinisahau mkuu. Wanaenda kwa kujuana. Ntapiga paper 1 nyumbani halafu paper 2 ndio kwake
 
Back
Top Bottom