Nimeshindwa kujizuia kuificha furaha yangu kwa haya yanayoendelea nchini dhidi ya CHADEMA na wafuasi wao.

Nimeshindwa kujizuia kuificha furaha yangu kwa haya yanayoendelea nchini dhidi ya CHADEMA na wafuasi wao.

lissu aliwapa angalizo ila hawamkusikiliza tena wakatunga na usemi eti mama anaupiga mwingi!
Hahaaa.

Walivyomshobokea utadhani huyo ‘mama’ yao hakuwa msaidizi wa Magufuli.

Leo wanalia na kusaga meno.

Na aendelee kuupiga mwingi tu 🤣.

Samia mpaka 2040.
 
Initially I was low-key loving it.

Not because it’s the right thing to do [what’s happening to them].

As a matter of principle, I don’t countenance.

But, just out of spite, I’m Mickey D’s lovin’ it.

Walizidi mno kuchonga midomo yao kana kwamba hayo mambo yalianzia wakati wa Ngosha tu.

Sisi ambao hatusukumwi na hisia, tukawaambia mbona hayo mambo yalikuwepo hata awamu zilizopita kabla ya hiyo ya 5.

Wakazidi kuchonga midomo yao na kutubatiza majina.

Ngoja tu nimpe maua yake Rais Samia. Tena na aendelee kuwakanyaga shingoni na yale mabuti yake anayovaaga akiwa kavaa magwanda yake ya kijeshi.

Watu wapumbavu si wa kuonewa huruma.

Ni kuwashikisha adabu mpaka walielewe somo.
Hizi zinaweza kuwa dalili za polio😂 hasa kama mtu hajawahi kupata chanjo ya kinga😂😂😂😂
 
Initially I was low-key loving it.

Not because it’s the right thing to do [what’s happening to them].

As a matter of principle, I don’t countenance.

But, just out of spite, I’m Mickey D’s lovin’ it.

Walizidi mno kuchonga midomo yao kana kwamba hayo mambo yalianzia wakati wa Ngosha tu.

Sisi ambao hatusukumwi na hisia, tukawaambia mbona hayo mambo yalikuwepo hata awamu zilizopita kabla ya hiyo ya 5.

Wakazidi kuchonga midomo yao na kutubatiza majina.

Ngoja tu nimpe maua yake Rais Samia. Tena na aendelee kuwakanyaga shingoni na yale mabuti yake anayovaaga akiwa kavaa magwanda yake ya kijeshi.

Watu wapumbavu si wa kuonewa huruma.

Ni kuwashikisha adabu mpaka walielewe somo.
Hizi zinaweza kuwa dalili za polio😂 hasa kama mtu hajawahi kupata chanjo ya kinga😂😂😂😂
 
Chadema walijenga uadui na Magu badala ya kumpa support.
Their shortsightedness couldn’t let them see the forest for the trees.

They thought their enemy was Magufuli because he was loud-mouthed and uncouth.

So called maandamano ya juzi yamenikumbusha yale ya UKUTA 🤣.

Hawana mikakati madhubuti. Hawana maono.

Wamejikita zaidi katika kushinda malumbano ya kwenye mitandao kuliko kuishinda CCM uraiani.
 
Kitu ninachojua ni kuwa ipo siku ccm itaondoka madarakani iwe kwa sanduku la kula au kwa vita, kitu ninachoomba kuwa wote watu walipwe kwa walioyafanya tu
 
Initially I was low-key loving it.

Not because it’s the right thing to do [what’s happening to them].

As a matter of principle, I don’t countenance.

But, just out of spite, I’m Mickey D’s lovin’ it.

Walizidi mno kuchonga midomo yao kana kwamba hayo mambo yalianzia wakati wa Ngosha tu.

Sisi ambao hatusukumwi na hisia, tukawaambia mbona hayo mambo yalikuwepo hata awamu zilizopita kabla ya hiyo ya 5.

Wakazidi kuchonga midomo yao na kutubatiza majina.

Ngoja tu nimpe maua yake Rais Samia. Tena na aendelee kuwakanyaga shingoni na yale mabuti yake anayovaaga akiwa kavaa magwanda yake ya kijeshi.

Watu wapumbavu si wa kuonewa huruma.

Ni kuwashikisha adabu mpaka walielewe somo.
Aisee
 
Initially I was low-key loving it.

Not because it’s the right thing to do [what’s happening to them].

As a matter of principle, I don’t countenance.

But, just out of spite, I’m Mickey D’s lovin’ it.

Walizidi mno kuchonga midomo yao kana kwamba hayo mambo yalianzia wakati wa Ngosha tu.

Sisi ambao hatusukumwi na hisia, tukawaambia mbona hayo mambo yalikuwepo hata awamu zilizopita kabla ya hiyo ya 5.

Wakazidi kuchonga midomo yao na kutubatiza majina.

Ngoja tu nimpe maua yake Rais Samia. Tena na aendelee kuwakanyaga shingoni na yale mabuti yake anayovaaga akiwa kavaa magwanda yake ya kijeshi.

Watu wapumbavu si wa kuonewa huruma.

Ni kuwashikisha adabu mpaka walielewe somo.
Hizi zinaweza kuwa dalili za polio😂 hasa kama mtu hajawahi kupata chanjo ya kinga😂😂😂😂
 
Hii nzuri.

========

bwahaaaaaha

CHADEMA waache uhanarakati na wajikite kwenye Siasa za sera na sio mihemeko tu.


Kyengebwahed
 
Hivi wamesema lini wataandamana tena?
Wakitekana tena labda?

Itachukua miaka mingine 10 kabla ya Watanzania kuanza kuigiza utamaduni huu wa ku "protest"

Mbaya ni kwamba haya(maandamano na vurugu zingine zinazokuja nazo) yatawatokea CHADEMA wenyewe

(kama ikitokea wakishika madaraka)

... sidhani kama wataweza kuja kuendesha serikali bila ya wao kutumia nguvu ya Dola.

Watambue tu hayo. Wawe teyari
 
Kuna vitu unaweza shabikia kwa sababu unavisikia tu,

Lkn kama angetekwa mzazi wako au ndugu yako wa karibu ndio ungejua jinsi gani familia zinapita magumu
 
W
Sasa hivi sijui wanaonyooshwa ni akina nani 🤣.
Akamualika hadi kwenye tamsha lao la bawacha

Malisa akaanzisha msemo wa mama anaupiga mwingi😂😂😂
Juzi Malisa anazungushwa kama sanamu Moshi Dar kusomewa kesi
 
😂 😂 😂 Nasikia uchaguzi huu utakuwa wa huru na haki machadema yataachiwa Kura yajihesabie maana mama anaupiga mwingi
 
W

Akamualika hadi kwenye tamsha lao la bawacha

Malisa akaanzisha msemo wa mama anaupiga mwingi😂😂😂
Juzi Malisa anazungushwa kama sanamu Moshi Dar kusomewa kesi
🤣

Dah…nilisahau kweli kuwa alienda kwenye tamasha lao.
 
Initially I was low-key loving it.

Not because it’s the right thing to do [what’s happening to them].

As a matter of principle, I don’t countenance it.

But, just out of spite, I’m Mickey D’s lovin’ it.

Walizidi mno kuchonga midomo yao kana kwamba hayo mambo yalianzia wakati wa Ngosha tu.

Sisi ambao hatusukumwi na hisia, tukawaambia mbona hayo mambo yalikuwepo hata awamu zilizopita kabla ya hiyo ya 5.

Wakazidi kuchonga midomo yao na kutubatiza majina.

Ngoja tu nimpe maua yake Rais Samia. Tena na aendelee kuwakanyaga shingoni na yale mabuti yake anayovaaga akiwa kavaa magwanda yake ya kijeshi.

Watu wapumbavu si wa kuonewa huruma.

Ni kuwashikisha adabu mpaka walielewe somo.
Naunga mkono hoja kwa asilimia 100% chadema na vyama vyote vya upinzani tz ni upuuzi ulio kamili ni kama ccm tu ...kinacho wakuta chadema ni funzo kwa wapumbavu wote ...nakumbuka walisema JPM kazuia uhuru wa vyombo vya habari ..ila chini ya samia sasa ndiyo vimepigwa marufuku hadi kufikia kukata matangazo ya redio za kimataifa yanayo toa maoni ya upinzani .
 
Back
Top Bottom