ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Vibwengo wa ngosha mnafurahia sana 😆😆😆Initially I was low-key loving it.
Not because it’s the right thing to do [what’s happening to them].
As a matter of principle, I don’t countenance it.
But, just out of spite, I’m Mickey D’s lovin’ it.
Walizidi mno kuchonga midomo yao kana kwamba hayo mambo yalianzia wakati wa Ngosha tu.
Sisi ambao hatusukumwi na hisia, tukawaambia mbona hayo mambo yalikuwepo hata awamu zilizopita kabla ya hiyo ya 5.
Wakazidi kuchonga midomo yao na kutubatiza majina.
Ngoja tu nimpe maua yake Rais Samia. Tena na aendelee kuwakanyaga shingoni na yale mabuti yake anayovaaga akiwa kavaa magwanda yake ya kijeshi.
Watu wapumbavu si wa kuonewa huruma.
Ni kuwashikisha adabu mpaka walielewe somo.
Machadema ni majinga sana,yalipewa mkono wa heri na Rais yakaanza kumtukana ,Sasa wanyooshwe Ili iwe fundisho