Nimeshindwa kumshauri labda mumshauri ninyi

Nimeshindwa kumshauri labda mumshauri ninyi

Beesmom namjua hakumaanisha aliongea kwa jazba tu, hata huu uzi umekaa kuharibu brand yetu wanaume... Hamna mwanaume anaeweza kujizalilisha hivyo bana, Mtu anafikaje kileleni kwa kunya???? 😁😁😁 japo inachekesha ila acheni kutuzalilisha wanaume bana, Nina wasiwasi na huu uzi itakuwa ni kamba, au umesukwa na Ke
🤣🤣🤣 Umeandika kiupole kweli aisee
 
Yote hayo ni Kwa ajiri ya kumsaidia mpenzi wake.

Maana Kuna mawili, Either Jamaa atafunguka kilicho msibu na kinacho fanya mpaka hiyo Hali kutokea Au kugoma kwenda hospitalini Kwa ajiri ya matibabu.

Kugoma Kwa jamaa kwenda hospitalini, Ndiyo itakuwa credit Kwa demu kuvunja mahusiano bila ya kumuachia maumivu mpenzi wake na mitafaruku isiyo na ulazima.

Ni heri kuachana Kwa amani,Kuliko kuachana Kwa kuumizana maana mambo ni mengi Kwa dunia ya leo.
Bwana wee hizo sacrifice kwa Sasa hazipo,sidhani Kama huyo dada angejinyea huyo jamaa angevumilia,tunaona mifano humu kila siku wanaume wanadai wanawake wananuka k hamna hata mmoja sijasikia alimpeleka hospital zaidi ya kuja humu kukashfu na mwisho kabisa kusema alimwacha huyo mwanamke...Sasa kwa Nini kwa upande mmoja ndio kuonekana kwa maana Sana?
 
Achukue hiyo haja kubwa aende nayo maabara watampa majibu!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa ana Double ejaculation
 
Hao sis tunafumua tuuu

Sasa mtu anataka mwenyewe unamuachaje!!
 
Kuna mmoja alikuwa akimwaga tu anazimia hapo hapo.
Naapa ni kweli najua wengi wataona utani
 
Kuna mmoja alikuwa akimwaga tu anazimia hapo hapo.
Naapa ni kweli najua wengi wataona utani
Atakufia uyo aisee itakuwa anamwaga ubongo co sperms... hahaha inamaana Ile hisia ya orgasm inazd uwezo wake wa ubongo kwaio anakuw Kam ubongo Una jam kwaio anazma duuh watu tuna dosari kwel,,au anajfanysha hawez kwend bao nying
 
Atakufia uyo aisee itakuwa anamwaga ubongo co sperms... hahaha inamaana Ile hisia ya orgasm inazd uwezo wake wa ubongo kwaio anakuw Kam ubongo Una jam kwaio anazma duuh watu tuna dosari kwel,,au anajfanysha hawez kwend bao nying
Ahaaa hajafa miaka.yote toka 2005 aje kufa leo??
 
dah ndo bas tena mwamba hana marinda ... mwendo ashaumaliza
 
Back
Top Bottom