Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Husimchafue millard plzKatika kampeni inayoendelea kwa sasa ya kutokomeza ushoga Millard Ayo hakutoa sapoti yoyote ile wala kupost habari yoyote inayoashiria kukataza ushoga lakini kwa maajabu kabisa baada ya serikali kuonesha hawako pamoja na mheshimiwa Paul Makonda katika juhudi zake za kutokomeza mashoga tunamuona Millard Ayo amepost hiyo habari haraka sana.
Hii inaashiria nini??????Ninaona kuna ulazima mkubwa sana Millard Ayo kupimwa marind.a.
View attachment 922478
Ila ndo anaongoza kwenye kuhabarisha watanzania yaani ata raisi au mtu wa chini amemfollow millard binafsi me namkubaliMillard mchumia tumbo huyo sio mwanahabari.
Husimchafue millard plz
Ukiona mwanaume ananyoa ndevu zote haachi hata kidogo alafu anapaka poda, ujue tayari.Katika kampeni inayoendelea kwa sasa ya kutokomeza ushoga Millard Ayo hakutoa sapoti yoyote ile wala kupost habari yoyote inayoashiria kukataza ushoga lakini kwa maajabu kabisa baada ya serikali kuonesha hawako pamoja na mheshimiwa Paul Makonda katika juhudi zake za kutokomeza mashoga tunamuona Millard Ayo amepost hiyo habari haraka sana.
Hii inaashiria nini??????Ninaona kuna ulazima mkubwa sana Millard Ayo kupimwa marind.a.
View attachment 922478
Tragedy of the commons - WikipediaFafanua
Naona tuhamie reddit aisee, bahri ya jf ishachafuka.Tragedy of the commons - Wikipedia
Kadiri ya watu wengi wanavyozidi kupata access ya internet, bila ya viwango vya elimu kuongezekakwa usawa wa access ya internet inavyoongezeka, ndivyo mijadala ya sehemu kama Jamiiforuminapokosa weledi na kugubikwa na siasa za majitaka zisizo kichwa wala mguu.
Ni jambo ambalo Waingereza wanaliita "tragedy of the commons", limeelezewa vizuri kwenye linkhiyo.
Kifupi mnavyoongezeaka watu halafu mna rasilimali ya pamoja ambayo haiangaliwi kama ya mtu mmoja, halafu washamba wakazidi kuongezeka, ndiyo ile rasilimali inavyozidi kuharibikakwa kukosa matunzo yanayotakiwa.
Ndiyo maana watu wanalalamika mijadala ya JF sikuhizi imekuwa inapwaya sana ukiilinganisha na ya zamani.
Sasa zamani mtu kuwa na internet access maana yake umesoma kidogo, unajua mambo mengi, hata mijadalaunaweza kushiriki ukachangia ya maana.
Sasa siku hizi kila kifulambute anayejikojolea kwenye chupi na yeye ana smartphone na ana internet na yeye ni mtaalamu wa kuanziaagriculture mpaka zoology.
Lazima mashuzi ya kunuka sana yapige kwa force ya nyuklia!
Mimi nabuzi buzi tu hapa, kusoma habari za Bongo na kuwasoma watu fulani.Naona tuhamie reddit aisee, bahri ya jf ishachafuka.
ila mkuu shuzi hili la thread hii limetisha zaidi!....eti mtu usipopambana na ushoga basi na wewe ni shoga!!Tragedy of the commons - Wikipedia
Kadiri ya watu wengi wanavyozidi kupata access ya internet, bila ya viwango vya elimu kuongezeka kwa usawa wa access ya internet inavyoongezeka, ndivyo mijadala ya sehemu kama Jamiiforum inapokosa weledi na kugubikwa na siasa za majitaka zisizo kichwa wala mguu.
Ni jambo ambalo Waingereza wanaliita "tragedy of the commons", limeelezewa vizuri kwenye link hiyo juu hapo.
Kifupi mnavyoongezeaka watu halafu mna rasilimali ya pamoja ambayo haiangaliwi kama ya mtu mmoja, halafu washamba wakazidi kuongezeka, ndiyo ile rasilimali inavyozidi kuharibika kwa kukosa matunzo yanayotakiwa.
Ndiyo maana watu wanalalamika mijadala ya JF sikuhizi imekuwa inapwaya sana ukiilinganisha na ya zamani.
Sasa zamani mtu kuwa na internet access maana yake umesoma kidogo, unajua mambo mengi, hata mijadala unaweza kushiriki ukachangia ya maana.
Sasa siku hizi kila kifulambute anayejikojolea kwenye chupi na yeye ana smartphone na ana internet na yeye ni mtaalamu wa kuanzia agriculture mpaka zoology.
Lazima mashuzi ya kunuka sana yapige kwa force ya nyuklia!
na mie pia niko humu kwa malengo yanayoshabihiana na yakoMimi nabuzi buzi tu hapa, kusoma habari za Bongo na kuwasoma watu fulani.
Pia najibu quotes na kuangalia tags, hizi watu wamefanya juhudi nione vitu siwezi kudharau.
Wakizidi kuchafua hewa na kujamba sana naenda Quora.
Ni utapiamlo wa fikra huu hu uliopelekea ombwe la uongozi.ila mkuu shuzi hili la thread hii limetisha zaidi!....eti mtu usipopambana na ushoga basi na wewe ni shoga!!
Hivi mkuu kwa mfano mtu ameona kuwa furaha yake ipo kwenye kuwa shoga, hao wanaomzuia kufanya hivyo inawahusu nini?? Wanapoteza nini kutokana na huyo mtu kuwa shoga hata watake kuingilia uhuru wake?? Yaani analiwa mtu nyuma halafu wanaoumia ni wengine!!How this can be possible???!!Ni utapiamlo wa fikra huu hu uliopelekea ombwe la uongozi.
Sasa kama mtu mwenye Ph.D anaweza kujivua nguokama huyu baba, hawa mabwege wa mtozeni watafanya vipi?
Yani kuna watu wametolewa kwenye hoja za maana kuhusu uchumi na siasa za nchi halafu hata hawajijui.
Hizi ni siasa za control.Hivi mkuu kwa mfano mtu ameona kuwa furaha yake ipo kwenye kuwa shoga hao wanaomzuia kufanya hivyo inawahusu nini?? Wanapoteza nini kutokana na huyo mtu kuwa shoga hata watake kuingilia?? Yaani analiwa mtu nyuma halafu wanaoumia ni wengine!! How this is possible???!!
ππππ haaa haa haaaa! Umewaza mbali sana mkuu!Sasa siku hizi kila kifulambute anayejikojolea kwenye chupi na yeye ana smartphone na ana internet na yeye ni mtaalamu wa kuanzia agriculture mpaka zoology.
Lazima mashuzi ya kunuka sana yapige kwa force ya nyuklia!
Hizi ni siasa za control.
Yani ni habari za "sisi tunasema hii ndiyo njia sahihi, halafu hatufurahi tu sisi kuweza kuishi njia hii tunayoiona sahihi,tunataka kumlazimisha kila mtu aishi njia hii tunayoiona sahihi".
Sheria za kuwapinga homosexuals zimeanzia Uingereza.
Waingereza wenyewe waliotupa hizi sheria wamezitupa, wameziona hazina maana.
Kuna kipanga alikuwa anaitwa Alan Turing, katika watu waliosaidia Waingereza kushinda vita vya pili vya dunia, Alan Turing alikuwa mmoja wapo.Turing aliongoza team iliyovunja encryption ya Wajerumani ya "enigma"
Kama umeona movie ya "The Imitation Game" utakuwa umeiona hii story. Jamaa limeokoa maisha ya watu kibao, limechangia sana nchi kushinda vita, halafu wamem frustrate mpaka kajiua, kwa sababu gay.
Mpaka juzi hapa Malkia akaona ujinga huu, huyu ni national hero, akamfutia makosa yake yote.
Story iliandikwa na BBC hapa
Sasa sisi hatujajifunza kwa wenzetu bado, tunataka kina Turing wetu nao tuwasakame?
Mimisi gay na wala sina haja ya kuwa gay (naweza kuitisha a Vegas freakshow ya wanawake alio katika simu yangu tu)
Lakini naona kuwafuatilia sana gays inaonesha amauna wivu nao, amaunataka kuwa control, ama na wewe ni gay una self hate.
Otherwise, watu wanaofirana wenyewe kwa wenyewe mimi wananihusu nini?