Nimeshindwa kumuelewa Millard Ayo kwa jambo hili au na yeye ni mmoja wapo?

Nimeshindwa kumuelewa Millard Ayo kwa jambo hili au na yeye ni mmoja wapo?

hii movie ina sad ending balaa.... jamaa walianza kumpiga masindano ya calstration richa ya kuwasaidia kucrack code za mawasiliano ya wajeruman
Umeiona movie. Inasikitisha sana.

Mimi nilianza kumfuatilia Turing kitambo, kwa sababu alitajwa sana kama miamba walioweka mifumo ya computer mwanzo kabisa.

Nikawa nimesoma hicho kitabu, halafu nikaangalia movie.

Ukisoma kitabu it is even worse walivyomfanyia.
 
Umeiona movie. Inasikitisha sana.

Mimi nilianza kumfuatilia Turing kitambo, kwa sababu alitajwa sana kama miamba walioweka mifumo ya computer mwanzo kabisa.

Nikawa nimesoma hicho kitabu, halafu nikaangalia movie.

Ukisoma kitabu it is even worse walivyomfanyia.
nimeicheki movie ya immitation games ...itabidi nitafute na kitabu asee
 
Wengine walikaa kimya wakisikilizia simu zao kudukuliwa. Yaani zimesheheni mapicha ya ngono,
 
Uyo Ayo ww mchunguze kwa makini utagundua si rizk watu wanakula garasa
 
Hii movie ya kina amber Ruth ilivyoanza alikuwa anatangaza, hata makonda alipoitisha majina alipost. Ugumu ulianza pale Dudu Baya alipotaja watangazaji wanne wa clouds FM kuwa ni mashoga hii nadhani ilimkera Millard na akaona kama kampeni nzima imekuwa mwiba kwao. Who knows pengine nayeye angatajwa maana mpaka sasa haijulikani Konki konki konki master anatumia vigezo gani kutaja watu.
 
Katika kampeni inayoendelea kwa sasa ya kutokomeza ushoga Millard Ayo hakutoa sapoti yoyote ile wala kupost habari yoyote inayoashiria kukataza ushoga lakini kwa maajabu kabisa baada ya serikali kuonesha hawako pamoja na mheshimiwa Paul Makonda katika juhudi zake za kutokomeza mashoga tunamuona Millard Ayo amepost hiyo habari haraka sana.

Hii inaashiria nini??????Ninaona kuna ulazima mkubwa sana Millard Ayo kupimwa marind.a.


View attachment 922478
Kwani ni lazima aposti kila jambo?
 
Katika kampeni inayoendelea kwa sasa ya kutokomeza ushoga Millard Ayo hakutoa sapoti yoyote ile wala kupost habari yoyote inayoashiria kukataza ushoga lakini kwa maajabu kabisa baada ya serikali kuonesha hawako pamoja na mheshimiwa Paul Makonda katika juhudi zake za kutokomeza mashoga tunamuona Millard Ayo amepost hiyo habari haraka sana.

Hii inaashiria nini??????Ninaona kuna ulazima mkubwa sana Millard Ayo kupimwa marind.a.


View attachment 922478
Kwani ni lazima aposti kila jambo?
 
Tunatumia nguvu kubwa kupambana na mambo ambayo hatuna uwezo nayo!

Ushoga ni tatizo kubwa sana kuliko tunavyofikiri na hatuwezi kulitatua kwa kupiga kelele majukwaani!

Ukisoma Biblia utaona jinsi wale wanaharamu wa Sodoma na Gomora walivyotaka kuwatenda wale wajumbe wa Mungu waliotumwa kwa Lutu! ndipo utaelewa kwamba Ushoga sio jambo dogo!

Hili ni tatizo linalohitaji utatuzi wa kiroho na sio nguvu za kimwili!

Mungu na atusaidie
 
Tunatumia nguvu kubwa kupambana na mambo ambayo hatuna uwezo nayo!

Ushoga ni tatizo kubwa sana kuliko tunavyofikiri na hatuwezi kulitatua kwa kupiga kelele majukwaani!

Ukisoma Biblia utaona jinsi wale wanaharamu wa Sodoma na Gomora walivyotaka kuwatenda wale wajumbe wa Mungu waliotumwa kwa Lutu! ndipo utaelewa kwamba Ushoga sio jambo dogo!

Hili ni tatizo linalohitaji utatuzi wa kiroho na sio nguvu za kimwili!

Mungu na atusaidie
Weka ushauri tufanyeje, ili tusiipoteze jamii inaendelea kupotea.
 
Back
Top Bottom