Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu ni uongo usiokuwa na maanaHabari ya muda huu!
Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.
Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.
Yule dada namfahamu, lakin sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.
Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.
Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.
Baadae alipiga cm na kumsikia saut yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.
Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ninani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? NIKAKUbali
Siku nakutana nae kumbe n mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema lait ningekwambia kabla usngekubali
Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.
MSAADA TAFADHALI
Habari ya muda huu!
Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.
Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.
Yule dada namfahamu, lakin sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.
Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.
Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.
Baadae alipiga cm na kumsikia saut yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.
Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ninani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? NIKAKUbali
Siku nakutana nae kumbe n mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema lait ningekwambia kabla usngekubali
Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.
MSAADA TAFADHALI
Kama hawa ndo watanzania CCM itatawala miaka nenda rudiHabari ya muda huu!
Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.
Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.
Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.
Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.
Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.
Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.
Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali
Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali
Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.
MSAADA TAFADHALI
Nimekuelewa sanaHongera, umetumika kwenye mpango wa kisasi. Nahisi jamaa naye kala shemeji yake…
Kitobo cha Donut 🍩 ni kitobo cha Donut 🍩 TU kila mtu anakimegaLeo mjanja wewe na amekolea, that’s good. Ila in the long run, utaijutia hii, laminate comment hii.
Mwenzio anajiona kapendwa.Hongera, umetumika kwenye mpango wa kisasi. Nahisi jamaa naye kala shemeji yake…
Matusi ya rejareja haya sasa.Wanaume wa siku hizi maharage ya mbeya sana.. anyway Nigga ain't royal 😔
Huyu kwa namna rafiki yake atamtembezea machete za uso.. hatuwezi kumtambua hivyo atazikwa tu na manispaa.Msaada tutakaokupa ni kujadili ahadi ikifika tuupeleke kwenu mwili wako au tukuzike hapohapo unapoishi..??
🤣🤣🤣🤣Hamjui kukataa yaaniMatusi ya rejareja haya sasa.
Kwa mke wa rafiki yako? huwezi kujiongeza something is wrong somewhere?🤣🤣🤣🤣Hamjui kukataa yaani