Nimeshindwa kuvumilia, nimetembea na mke wa rafiki yangu

Nimeshindwa kuvumilia, nimetembea na mke wa rafiki yangu

Habari ya muda huu!

Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.

Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.

Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.

Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.

Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.

Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.

Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali

Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali

Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.

MSAADA TAFADHALI
Jibu simple mkuu kata nae mazoea.
Hata mimi nimewahi mla mke wa jamaa yangu ila walikua katika harakati za kupeana talaka.
Ila nimekata nae mazoea kila kitu kipo furesh.
Kata mazoea ikiwezekana hama kabisa mtaa na futa ushahidi wote kama mmewahi kuwasiliana ama kukutana ama kuwa katika mahusiano.
Badili hata namba,maana bro jamaa akigundua anaweza hata akakuroga,mke anauma bro.
 
UNAPOTEZA HELA NYINGI BILA KUJUA!!!

Vifurushi unavyojiunga gb kila siku vinakupetezea hela nyingi sana sema unaweza tu usijue, mfano kama unatumia gb 1 tu kwa siku it means kwa mwezi unatumia zaidi ya 60000 kwaajili ya gb 30 tu. Sasa nakupa chimbo uokoe pesa na upate gb nyingi Sana

JIUNGE NA VIFURUSHI HIVI VYA TIGO POSTPAID

SH.25000/= unapewa GB 30(kwa mwez,kila mwez)
SH.30000/= unapewa GB 35(kwa mwez,kila mwez)

SH. 40000 UNAPEWA GB. 48(kwa mwez,kila mwez)

LAKI MOJA UNAPEWA UNLIMITED BUNDLE(kwa mwez,kila mwez) PAMOJA NA ROUTER BURE

HUDUMA NI ZA UHAKIKA NA UNALIPA MOJA KWA MOJA TIGO HUMTUMII MTU YOYTE HATA 100
(mm nakufanyia usajili nalipwa commission na tigo)

KARIBU SANA HATA UNIULIZE NIKUPE MAELEKEZO VIZURI ZAIDI

0717700921
Napataje huduma hiyo bila ya kuonana na wewe?
 
Habari ya muda huu!

Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.

Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.

Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.

Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.

Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.

Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.

Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali

Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali

Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.

MSAADA TAFADHALI
Hahaha
 
UNAPOTEZA HELA NYINGI BILA KUJUA!!!

Vifurushi unavyojiunga gb kila siku vinakupetezea hela nyingi sana sema unaweza tu usijue, mfano kama unatumia gb 1 tu kwa siku it means kwa mwezi unatumia zaidi ya 60000 kwaajili ya gb 30 tu. Sasa nakupa chimbo uokoe pesa na upate gb nyingi Sana

JIUNGE NA VIFURUSHI HIVI VYA TIGO POSTPAID

SH.25000/= unapewa GB 30(kwa mwez,kila mwez)
SH.30000/= unapewa GB 35(kwa mwez,kila mwez)

SH. 40000 UNAPEWA GB. 48(kwa mwez,kila mwez)

LAKI MOJA UNAPEWA UNLIMITED BUNDLE(kwa mwez,kila mwez) PAMOJA NA ROUTER BURE

HUDUMA NI ZA UHAKIKA NA UNALIPA MOJA KWA MOJA TIGO HUMTUMII MTU YOYTE HATA 100
(mm nakufanyia usajili nalipwa commission na tigo)

KARIBU SANA HATA UNIULIZE NIKUPE MAELEKEZO VIZURI ZAIDI

0717700921
Hatutakiii
 
Huu ujinga ujinga sijui utaisha lini. Anyway yajayo yanafurahisha
 
Habari ya muda huu!

Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.

Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.

Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.

Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.

Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.

Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.

Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali

Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali

Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.

MSAADA TAFADHALI

Habari ya muda huu!

Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.

Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.

Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.

Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.

Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.

Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.

Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali

Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali

Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.

MSAADA TAFADHALI
Tabia mbaya ukiendekeza hua haina kikomo,leo umepita kwa mke wa rafiki yako,kesho utapita kwa mke wa kaka ako au mdogo wako,kesho kutwa utapita kwa binti yako,chamsingi acha tabia hiyo pia jutia sana hicho kitendo ndugu yangu
 
Unatumika kulipiza kisasi, la kufanya hapo ni kuachana na urafiki na rafiki yako na huyo mwanamke jitahidi achana nae. Trust me, in long run hana maana huyo mwanamke kwako zaidi ya kukuletea matatizo tu.
Na pia kila anapoenda asisahau kubeba kirainishi kiwepo mda wote kwenye desh body
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Habari ya muda huu!

Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.

Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.

Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.

Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.

Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.

Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.

Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali

Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali

Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.

MSAADA TAFADHALI
Unajionaje mzeee 🤔
 
Back
Top Bottom