Nimeshindwa kuvumilia, nimetembea na mke wa rafiki yangu

Nimeshindwa kuvumilia, nimetembea na mke wa rafiki yangu

Habari ya muda huu!

Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.

Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.

Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.

Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.

Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.

Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.

Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali

Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali

Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.

MSAADA TAFAD

Habari ya muda huu!

Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.

Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.

Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.

Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.

Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.

Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.

Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali

Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali

Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.

MSAADA TAFADHALI
Hadithi za kutunga zinafaa kwa watoto ila kwa wakubwa wala
 
Habari ya muda huu!

Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.

Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.

Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.

Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.

Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.

Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.

Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali

Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali

Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.

MSAADA TAFADHALI
Naww mme wake akikushika umpatie bikira yako aishughulikie hivyo tu
 
Habari ya muda huu!

Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.

Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.

Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.

Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.

Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.

Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.

Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali

Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali

Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.

MSAADA TAFADHALI
Mtanzania grade A product ya CCM
 
Hongera, umetumika kwenye mpango wa kisasi. Nahisi jamaa naye kala shemeji yake…
Na mwanamke akilipa kisasi lazima atake kuonesha ili moyo wake utulie...hivyo jamaa atembee na mafuta
 
Kuna jamaa namtombea mke wake....yule demu anasema hayo ni malipizi wala Sio kwamba anapenda kufanya hivyo.........acha nimle maana Sio kwa mtako ule
 
Ukae ukijua malipo ni hapa hapa duniani kabla hujafa lazima utalipia kosa ulilofanya
Kwakweli wanasema kucheka kupokezana, karma is real ni swala la muda tu, mimi nachukia sana watu wanaotembea na wake za watu ukifikiria maumivu atakayoyapata mwanaume mwenzio akijua hayo maumivu ni makali sana kama hana afya ya akili vizuri anapotea kwenye uso wa dunia, madhara yanaenda mpaka kwa watoto ndoa zinavunjika watoto wanakosa pakushika kiufupi unaua kila kitu(uchumi,upendo,afya ya akili, n.k) ili manung'uniko, maumivu na machozi yote ambayo umesababisha yatalipwa ni swala la muda tu, usipolipa wewe atalipa mwanao kama sio mwanao mjukuu wako ila deni lazima lilipwe hapa hapa kwenye uso wa dunia, kimbia mke au mme wa mtu hakuna ushujaa kwenye kutembea na mke au mme wa mtu, sijui kama unaelewa tangu dunia iwepo hakujawahi kutokea tunzo ya kutembea na mme/mke wa mtu ila dunia yote inajua na kufahamu mke/mme wa mtu ni sumu na mshahara wake unajulikana ni rahisi watu kumsamehe mwizi wa mali ila sio rahisi kumsamehe mwizi wa mke/mme watu sababu karibu kila mtu anaelewa maumivu yake ambayo umesababisha, kimbia kimbia kijana mwenzangu usigeuke nyuma hakuna sababu yoyote ya kutembea na mke/mme wa mtu sababu yoyote atayokwambia ujue ni mtego ila ukijulikana hiyo sababu itakuwa haina maana kwa mwenza wake, tuonee huruma ustawi wa familia za watu.
 
Habari ya muda huu!

Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.

Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.

Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.

Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.

Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.

Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.

Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali

Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali

Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.

MSAADA TAFADHALI
Karma is bitch
 
Habari ya muda huu!

Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.

Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.

Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.

Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.

Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.

Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.

Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali

Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali

Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.

MSAADA TAFADHALI
ubiri siku ya kuliwa wewe kwa mpalange
 
Habari ya muda huu!

Baada ya salamu. Naomba msaada wa kimawazo kwenu ndugu zangu wana JF.

Kwakweli nimepata mtihani wa KUTONGOZWA ni mke wa jamaa yangu mmoja hivi.

Yule dada namfahamu, lakini sikuwa na mazoea nae. ila siku moja alitafuta namba yangu ya simu na kuntafuta. Alikuja na gea ya kwamba yeye ni mwanamke kutoka sehemu flan ya mbali kdg na hapa nilipo ila kutokana na harakat zangu anananfahamu na aliendelea kudai kuwa AMENIPENDA tuwe wapenz.

Mwanzo nlichukulia poa na kudhan kuwa ni mtu tu anataka kunchanganya.

Kadri mazungumzo yalipozidi kuendelea dada yule mwenye watoto 3 aliendelea kuthibitisha kuwa ananpenda ijapokuwa ameolewa.

Baadae alipiga simu na kumsikia sauti yake na kweli ilikuwa ni ya mwanamke.

Kutokana na ukamilifu wa uwanaume wangu nikaona mimi ni nani mpaka nikatae mtongozo wa mtoto mzuri? Nikakubali

Siku nakutana nae kumbe ni mke wa jamaangu. Dah? Nlishangaa sana na alisema laiti ningekwambia kabla usingekubali

Kwakweli nkapita nae na mpaka sasa AMEKOLEA.

MSAADA TAFADHALI
SAY NO TO RAPE : Incidents of sexual violence, particularly rape and defilement against students, have been on the rise in various areas
 

Attachments

  • 20240922_105819.jpg
    20240922_105819.jpg
    91.6 KB · Views: 4
  • 20240922_105805.jpg
    20240922_105805.jpg
    134.3 KB · Views: 6
  • 20240922_105753.jpg
    20240922_105753.jpg
    96.6 KB · Views: 6
Back
Top Bottom