Wewe acha kwanza uzinzi na wao wataacha tu
"Usilipenda kutendewa usiwatendee wengine"
...naweza kuwa size yako binti??
weka viwango vyako nione kama unafit export trade
Yap tena unajichagulia unaemtaka unajilia vyako kwa bei che. Kuliko kukaa kila siku unamuhonga malaki mtu mmoja tu
mi nazani wanawake wote wapo sawa katika pesa, hata nikitafuta wa saizi yangu naye atataka kuwa juu.!
mweeeeh! Hata sivijui, lolz! Hebu nipe size yako then nijipime Kama 'nafit'
mi nazani wanawake wote wapo sawa katika pesa, hata nikitafuta wa saizi yangu naye atataka kuwa juu.!
Wa ndani ana heshima yake wewe!! Acheni uzinzi
Watu wenye visu vyenye makali ndo wanaokula nyama
kama kisu chako butu, bora tu upaki pembeni kuepusha jam....
weka viwango vyako nione kama unafit export trade
Fanya kile ambacho unakiweza na kipo ndani ya uwezo wako
Kutaka demu mzuri wakati una pesa ya mawazo uache
We mwanamke usisahau kuwa sindano inashona koti!
mkuu hii kitu mie nimefanya na nimegundua kuwa hakuna tofauti coz ukienda kununua bei ya chini ni buku10 hapo ni pamoja na guest then lets say una nunua kwa wiki mara3 je hiyo si tayari laki 1.2 kwa mwezi? sasa hiyo si unaweza kuhonga ic? hapo hakuna tofauti all have same cost tu mkuu so ni kujipanga tu ukiwa unatumia sopa kupunguza mzuka...pole sana, ukiona unashindwa kuhonga nenda kanunue maana hawana gharama wale...
Wewe acha kwanza uzinzi na wao wataacha tu
"Usilipenda kutendewa usiwatendee wengine"