Nimeshindwa na nimenyosha mikoni, mizinga/vibomu vimezidi, nawaachia wanaoweza.!

Nimeshindwa na nimenyosha mikoni, mizinga/vibomu vimezidi, nawaachia wanaoweza.!

Mwanamke sawa na gari
Anahitaj service ...shell ...garage nk
Unataka akuombe pesa baada ya mda gan while kila siku anakula..anavaa...salon...urembo...simu nk be serious even a lito bit !!!!!!!"

aaahaaa! kumbe!!!? ndo maana demu akitumika sana wanasema melleage imesoma sana!!!!! kumbe anafananishwa na gari!!!!? now i know....
 
za bure zimekua adimu sana mkuu, cku hz lazma utoe chapaa either direct au indirect

okey okey kumbe ni biashara halali ngoja nianze na mimi kuifanyia biashara ...... kwa hiyo inakuwa K mia mia au inauzwaje?
 
mambn mengine ni kuendekeza ujinga,kwani ni lazima ufanye yote hata yale ambayo huna uwezo nayo?

Kuna haja ya kujifikiria upya kama uliyenaye amejijengea tabia tajwa wapo wa tabia yake watakao endana nae.
 
Niwajibu wangu kuprovide lakini naona sasa imekuwa too much, akili inanituma nikimbie, pale nilipoishia watakuja wengine wenye uwezo wa kutoa zaidi yangu.. Wakina dada MPUNGUZE BASI.

kwenye kugegenda unatoa kwa kipimo?

Au ndo ile mpaka unasimamia kucha?

Usichoke, hudumia baba!
 
Wavulana punguzeni kulialia mnawaaibisha Wanaume aaaargh ndomana wanaamua kuwa na baba zenu
 
Niwajibu wangu kuprovide lakini naona sasa imekuwa too much, akili inanituma nikimbie, pale nilipoishia watakuja wengine wenye uwezo wa kutoa zaidi yangu.. Wakina dada MPUNGUZE BASI.

Wazo la busara
 
Niwajibu wangu kuprovide lakini naona sasa imekuwa too much, akili inanituma nikimbie, pale nilipoishia watakuja wengine wenye uwezo wa kutoa zaidi yangu.. Wakina dada MPUNGUZE BASI.


inaonekana We huwezi kuwa na familia wewe...Bora tuu waachie wenzako wenyekuweza......
Wenzako wanalea familia mbili au tatu....Mke mkubwa, mdogo, na mdogo...na familia zao wewe huyo demu mmoja tuu unalalamika!!
 
wanambwembwe tu hawana lolote wengine hata sura wameazima cosmetics ni kama mugabe


JIHESHIMU UTAHESHIMIWA...Ukitukana wanawake tambua kuwa Mama yako, dada zako, bibi zako unawatukana....
 
Back
Top Bottom