Mi ni mlinzi wa klabu nakutana nao kila siku.
Kabla ya biashara za mabara Afrika tulivaa nguo?
Hao wazungu waliotuletea nguo mwanzo kabisa hawakuvaa suruali. Suruali ilivaliwa na wahalifu na watu maskini.
Wengine walivaa magauni (Naamini utajisikia poa ukitamka kanzu)
Na unajua viatu walivyovaa enzi hizo?
Vilikua na kisigino kirefu kama cha Angelina Jolie.
Soma history mkuu
Wamasai wanaosuka unawatofautishaje?Huenda sikuelewi ila nakuambia; Kuna vitu vya kuiga lakini vingine, hebu tutulie kidogo. Je, jamaa ana dadake? Wote wakienda kusuka mtindo huo huo, utawatofautisha?? Hapo aliposuka tuseme ki kwako ameongezea nini katika usanii wake??
Yang d sio rizki tenayoung dada
sikio katoga
jicho karembua
nywele kasuka
unataka nini tena?
Umenena.young dada
sikio katoga
jicho karembua
nywele kasuka
unataka nini tena?
Tangu lini dar kukawa na wanaume?Ulimwengu wa Mitindo na mavazi umetamalaki sana siku za hivi usoni, Muda mwingine ukitaka kununua Nguo lazima uikague sana usije ukavaa ya kike ile hali wewe ni Mwanaume.
Katika pitapita zangu leo naifumania hii Picha ya Young Dee nimejikuta napatwa na dukuduku kwa mtindo wake wa Nywele.
Huo Msuko sio wa Kike! View attachment 832690
Tena ile ya siku tisa na mshumaa. Maana wanapoelekea wataa na sketiImebidi niangalievzaidi ya x2 ndio nikajua ni yangi diii..
Wanaume wa dar inabidi tuwafanyie NOVENA kwakweli..
Wasanii wa kwanza ulio wataja wote ni kutoka america. Tamadun za kule ni tofauti na za huku.Kama hoja yako vijana wa siku hizi tunaharibika.
R Kelly alisuka.
2 Pac alitoga sikio.
Usher Raymond alisuka.
Snoop Lee alisuka.
Black Skull alisuka.
T.I.D alisuka.
Dully Sykes alisuka.
Zahir Zoro nywele anaweka dawa mpaka leo.
Babu yenu sir Elton tunajua anachofanya.
Msanii akisuka huwezi ukanuna ni kazi yake inamtaka awe hivyo.
Sasa zinakuja nyuzi za kulalamika wasanii wanavaa vikuku mara wanatoboa masikio mara young d kasuka wabongo bwana tuna shida sana.
Unajua nas wakati anautunga huu wimbo alikuwa kwenye kipindi gani?Kuna huu wimbo unaitwa Hate Me Now wa Nas na Didy ukimaliza kuwajibu watu posts zao nenda ukausikilize.
Lyrics kidogo...
Chorus
You can hate me now (QB)
But I won't stop now (Real Niggas)
'Cause I can't stop now (Bravehearts)
You can hate me now (C'mon)
But I won't stop now
Cause I can't stop now
You can hate me now
You can hate me nooow
Do it now, Do It now,
Do it now
Verse
Don't hate me, hate the money I see, clothes that I buy
Ice that I wear, clothes that I try
Close your eyes, picture me rollin,
Sixes, money foldin....
Baba yako amesuka nini?Kama hoja yako vijana wa siku hizi tunaharibika.
R Kelly alisuka.
2 Pac alitoga sikio.
Usher Raymond alisuka.
Snoop Lee alisuka.
Black Skull alisuka.
T.I.D alisuka.
Dully Sykes alisuka.
Zahir Zoro nywele anaweka dawa mpaka leo.
Babu yenu sir Elton tunajua anachofanya.
Msanii akisuka huwezi ukanuna ni kazi yake inamtaka awe hivyo.
Sasa zinakuja nyuzi za kulalamika wasanii wanavaa vikuku mara wanatoboa masikio mara young d kasuka wabongo bwana tuna shida sana.
Tamaduni za kule tofauti na huku?Wasanii wa kwanza ulio wataja wote ni kutoka america. Tamadun za kule ni tofauti na za huku.
Hata kama walifanya hivyo basi walimake sure uanaume wao unabaki. Bado walibaki hip hop ngumu..
Hawa wa bongo wanaiga kila kitu halaf wabahama kutoka kwenye misingi yao.
Ungeniquote ukaandika hoja vizuri tu ungekufa? Huu ujinga wa kutaka vitu unavyotaka wewe tu ndiyo viandikwe peleka kwa mumeo.Baba yako amesuka nini?