Nimeshtuka kuona hii Picha

Nimeshtuka kuona hii Picha

Mi ni mlinzi wa klabu nakutana nao kila siku.

Kabla ya biashara za mabara Afrika tulivaa nguo?

Hao wazungu waliotuletea nguo mwanzo kabisa hawakuvaa suruali. Suruali ilivaliwa na wahalifu na watu maskini.

Wengine walivaa magauni (Naamini utajisikia poa ukitamka kanzu)

Na unajua viatu walivyovaa enzi hizo?

Vilikua na kisigino kirefu kama cha Angelina Jolie.

Soma history mkuu

Huenda sikuelewi ila nakuambia; Kuna vitu vya kuiga lakini vingine, hebu tutulie kidogo. Je, jamaa ana dadake? Wote wakienda kusuka mtindo huo huo, utawatofautisha?? Hapo aliposuka tuseme ki kwako ameongezea nini katika usanii wake??
 
Huenda sikuelewi ila nakuambia; Kuna vitu vya kuiga lakini vingine, hebu tutulie kidogo. Je, jamaa ana dadake? Wote wakienda kusuka mtindo huo huo, utawatofautisha?? Hapo aliposuka tuseme ki kwako ameongezea nini katika usanii wake??
Wamasai wanaosuka unawatofautishaje?
 
Ulimwengu wa Mitindo na mavazi umetamalaki sana siku za hivi usoni, Muda mwingine ukitaka kununua Nguo lazima uikague sana usije ukavaa ya kike ile hali wewe ni Mwanaume.

Katika pitapita zangu leo naifumania hii Picha ya Young Dee nimejikuta napatwa na dukuduku kwa mtindo wake wa Nywele.

Huo Msuko sio wa Kike! View attachment 832690
Tangu lini dar kukawa na wanaume?
 
Kama hoja yako vijana wa siku hizi tunaharibika.

R Kelly alisuka.

2 Pac alitoga sikio.

Usher Raymond alisuka.

Snoop Lee alisuka.

Black Skull alisuka.

T.I.D alisuka.

Dully Sykes alisuka.

Zahir Zoro nywele anaweka dawa mpaka leo.

Babu yenu sir Elton tunajua anachofanya.

Msanii akisuka huwezi ukanuna ni kazi yake inamtaka awe hivyo.

Sasa zinakuja nyuzi za kulalamika wasanii wanavaa vikuku mara wanatoboa masikio mara young d kasuka wabongo bwana tuna shida sana.
Wasanii wa kwanza ulio wataja wote ni kutoka america. Tamadun za kule ni tofauti na za huku.
Hata kama walifanya hivyo basi walimake sure uanaume wao unabaki. Bado walibaki hip hop ngumu..

Hawa wa bongo wanaiga kila kitu halaf wabahama kutoka kwenye misingi yao.
 
Kuna huu wimbo unaitwa Hate Me Now wa Nas na Didy ukimaliza kuwajibu watu posts zao nenda ukausikilize.

Lyrics kidogo...

Chorus
You can hate me now (QB)
But I won't stop now (Real Niggas)
'Cause I can't stop now (Bravehearts)
You can hate me now (C'mon)
But I won't stop now
Cause I can't stop now
You can hate me now
You can hate me nooow
Do it now, Do It now,
Do it now

Verse
Don't hate me, hate the money I see, clothes that I buy
Ice that I wear, clothes that I try
Close your eyes, picture me rollin,
Sixes, money foldin....
Unajua nas wakati anautunga huu wimbo alikuwa kwenye kipindi gani?
 
Kama hoja yako vijana wa siku hizi tunaharibika.

R Kelly alisuka.

2 Pac alitoga sikio.

Usher Raymond alisuka.

Snoop Lee alisuka.

Black Skull alisuka.

T.I.D alisuka.

Dully Sykes alisuka.

Zahir Zoro nywele anaweka dawa mpaka leo.

Babu yenu sir Elton tunajua anachofanya.

Msanii akisuka huwezi ukanuna ni kazi yake inamtaka awe hivyo.

Sasa zinakuja nyuzi za kulalamika wasanii wanavaa vikuku mara wanatoboa masikio mara young d kasuka wabongo bwana tuna shida sana.
Baba yako amesuka nini?
 
Wasanii wa kwanza ulio wataja wote ni kutoka america. Tamadun za kule ni tofauti na za huku.
Hata kama walifanya hivyo basi walimake sure uanaume wao unabaki. Bado walibaki hip hop ngumu..

Hawa wa bongo wanaiga kila kitu halaf wabahama kutoka kwenye misingi yao.
Tamaduni za kule tofauti na huku?

Wamasai hawasuki? Wapo Marekani?

Hip hop ngumu?

R Kelly? Usher? Elton John walifanya hip hop wapi?
 
Back
Top Bottom