Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Hizi ni kampeni au kumbukizi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙏🙏🙏Chizi [emoji3]
Anaweza kuwa katili akikuwa mkubwaKuna Mtoto kazaliwa huku Kapewa jina MAGUFULI, Nimefurahi sana
GOD IS GREAT
Wapeni sasa watoto wenu majina ya Wanyonyadamu, wakikuwa wakawa wauaji na kuishia jela mbaki mnalalamika.Kuna Mtoto kazaliwa huku Kapewa jina MAGUFULI, Nimefurahi sana
GOD IS GREAT
Mzuka wanajamvi!
Hii imekkaje? CCM kwa propaganda nimewaanyooshea mkono. Yani walianza tangu enzi zile Rais Magufuli alipokuwa anatembelea mahospitali na madawati hii ilitangazwa sana huko Africa Magharibi ikawafanya watu wampende na kumkubali.
Hata ukiwaambia kajenga international Airport kijijini kwao, anakandamiza demokrasia hawakuelewi.
Sasa hivi baada ya msiba kwenye whatsapp na Facebook zao ni picha za Magufuli tu.
Halafu ile nyomi ilioenda kuthibitisha.
CCM ni hatari kwa propaganda.
Bloody hell,You mean UK kuwapiga chanjo wananchi wake na kuanza kuruhusu shughuli ziendelee wameiga kwa uyo mtu wako..Angalia walichofanya uingereza sasa hivi baada ya corona kuwanyanyasa sana!
Hatua hii waliyoichukua uingereza yeye Magu aliiona tangu corona inaingia.
Sasa raia za huko zikiona hali hii lazima zimkumbuke Magu
Jiwe simpendi na sitawahi kumpenda. Kinachoniumiza hawa watu kumkubali. Nimewaambia Jiwe alikuwa katili. Kaua watu, mwizi wa Rambirambi anaminya demokrasia kaiba matrilion hawaelewi wamerogwa na mataga na propaganda zao laiti wangemjua marehemuChanzo cha habari usije ukawa unatuaminisha ujinga
Nabii hakubaliki homewana haki ya kuweka kwa sababu HAWAJAKAA NAE HAJAWAHI KUWA HATA KUWA KILANJA WAO SHULENI.
Mtanzania mwenye hakili timamu na ari ya kuiona nchi yake ktk mwonekano mpya na wa kisasa huitwa mdau wa MATAGA , je wew ni nani?Mataga
Nabii muuajiNabii hakubaliki home
Utendaji upi muuaji mkubwa huyo?Sio propaganda za CCM ila JUA CCM kabla Magufuli hajawa chairman ndo ile ulikuwa ukipita mtaani shati lako la CCM unazomewa ila kiutendaji Magu alikuwa Vizuri na ndio maana sasahivi CCM wanapita na mashati yao huku hawana ata kiwewe cha kuzomewa.
Ntajie kiongoz yeyote ktoka nchi yoyote alieingia na kutoka madarakani pasipo kuchafuka mikono kwa wino mwekunduNabii muuaji
Waafrika wengi ni watu wa kwenda kishabiki kwa hisia bila kuchambua hoja kwa mantiki, hivyo sishangai.Mzuka wanajamvi!
Hii imekkaje? CCM kwa propaganda nimewaanyooshea mkono. Yani walianza tangu enzi zile Rais Magufuli alipokuwa anatembelea mahospitali na madawati hii ilitangazwa sana huko Africa Magharibi ikawafanya watu wampende na kumkubali.
Hata ukiwaambia kajenga international Airport kijijini kwao, anakandamiza demokrasia hawakuelewi.
Sasa hivi baada ya msiba kwenye whatsapp na Facebook zao ni picha za Magufuli tu.
Halafu ile nyomi ilioenda kuthibitisha.
CCM ni hatari kwa propaganda.
Mungu akikupa kibali ndo kakupa hivyo.Magu alipewa uwezo wa kuona mbali sana..we imagine marais wote duniani walikuwa wanaikubali Lockdown...Magu kakataa watu wanamwona kama mwehu fulani afu badae wanamkubali..Angalia walichofanya uingereza sasa hivi baada ya corona kuwanyanyasa sana!
Hatua hii waliyoichukua uingereza yeye Magu aliiona tangu corona inaingia.
Sasa raia za huko zikiona hali hii lazima zimkumbuke Magu