Nimeshtuka raia wengi wa Afrika Magharibi wanaweka picha ya Rais Magufuli kwenye profile zao

Nimeshtuka raia wengi wa Afrika Magharibi wanaweka picha ya Rais Magufuli kwenye profile zao

Huyu alikuwa mwanaume ambaye hatetemekei mzungu sio wengine kurusha rusha pu..u tu hayana misimamo hebu ona kina Nduggy wanavyotia aibu...mwanaume ni simba unatakiwa msimamo kabla ya kuongea tafakari sio unaongea hili kesho lile mzee pamoja na.mapungufu alikuwa mwanaume kiuhalisia...kuzima.legacy yake bado sana yani
 
Hata sisi tulikua tunampenda MUGABE na kumuita ni simba wa Afrika, ila nyuma ya pazia wazimbabwe ndio walikua wanajua kiongozi wao alikua ni dikteta na fisadi wa kiwango gani.
 
Back
Top Bottom