Huyu alikuwa mwanaume ambaye hatetemekei mzungu sio wengine kurusha rusha pu..u tu hayana misimamo hebu ona kina Nduggy wanavyotia aibu...mwanaume ni simba unatakiwa msimamo kabla ya kuongea tafakari sio unaongea hili kesho lile mzee pamoja na.mapungufu alikuwa mwanaume kiuhalisia...kuzima.legacy yake bado sana yani