ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Acheni umalaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli kabisaaa yaan. Au Nasema uongo ndugu yangu[emoji23][emoji23]
Jina la studio tafadhali na mimi nikapoteze stressWell, hii weekend nlienda kwa mshkaji wangu tuliemaliza nae chuo kimoja, yeye baada ya kusota kitaa akajiongeza hakuenda kusoma masters akafungua studio ya picha na maisha yakawa yanaenda.
Sasa huyu rafiki hadi leo hajaoa na hua namtania sana aoe aache ubachela umri unaenda na kazi anayo tayari hana kisingizio.
Nimeenda kumtembelea ndio nikajua sababu inayopelekea kupata wakati mgumu kufunga ndoa, jibu ni kwamba kazi anayofanya ina majaribu sana ya ngono.
Mida ya jioni, kuna mabinti kama wanne hivi walikuja kupigwa picha, basi nakwambia wakaenda kubadili nguo kuna kachumba flani hivi, , wamekuja na vikanga vufupi balaa bra nazo za vitenge, wakaanza kupigwa picha, Rafiki yangu basi anawategesha mapozi flani ivi ya kimitego.
Nilizani nimeona kila kitu kumbe bado, Kali kuzidi zote ikaja hio wenyewe wanaita mgongo wazi, yani walivua zile sidiria wanageukia mgongo kupigwa picha, mh,mh, mh jamani, yani kabla picha hazijapigwa wao wapo huru kabisa kutuonyesha matiti yao, na ni mabinti wadogo kama miaka 18 hadi 21 ivi, yani nyonyo bado zina afya, Jamaaniii eeeeh heheh basi tu lakini hii dunia tunakoenda, basi yani picha ikipigwa ile wanakuja kuicheki kama imetoka vizuri wanakuja ivyo ivyo na tits zipo wazi.
Rafiki yule na mwenzake wakaanza kutupia saundi, watoto wa watu wakageuka vitoweo bwana, kuna kachumba kengine humo studio nikaona jamaa kiulaini kabisa wanawavutia mule ndani wawili, huku wamebaki wawili na mimi, Nligeuka kuwa mlinzi tu pale, niliwaambia wavae sidiria zao ila bado kuna vimichezo moja wao alikuwa akinichezea, mara nikonyezwe, mara hivi mara vike, mi nikawa nachezea tu simu, mara akaja kunikalia akaniminya mnara, mh mh mh mh basi nikapiga moyo konde huyu ni shetani tu, Niseme tu ya kwamba wanaume tuliooa tunapatwa na majaribu mengi sana, Binafsi nimekutana na vimbwanga zaidi ya hivi na havikupata nafasi, hiki kilikuwa cha kapita tu, Nilimkata jicho flani ivi yule mtoto mwenyewe akaondoka nikaendelea kuperuzi simu.
Basi jamaa wametoka huko baada ya kama dakika 40 washafanya yao, nikabaki najiuliza tu kweli kwa niliyoyaona jamaa ataoa hapa 😂😂.
Jamaa basi akawa anancheka nimewahi kuoa naacha vinono nmeshindwa hata kushughulika na walio niacha nao, yule dem alieniminya mnara nae akavimba kichwa akaanza kunitania nimeacha juisi ya mtende kizembe sana na yeye kanielewa ,,😂😂 vitoto hivi.
Nakumbuka usiku ule jamaa alinitumia picha za mabinti wengine wapo uchi kabisa, wengine wamevaa tu ch*p* ila matiti wazi, n.k akaniambia nichague moja anipe namba 😂😂 mi nikabaki namsikitikia tu jamaa huenda asioe kabisa ashamilikiwa na pepo hili
Usiku kama kawa nikaamsha kwa wife kamoja ka afya (tukiacha na kamoja ka asubuhi 😁) basi siku ikaisha, Wife yupo tena mzuri kwanini nigonge vitoto vya watu huko 😂
Ile siku nikawa nimejifunza kwamba hii kazi ina changamoto sana.
[emoji23][emoji23][emoji23] subr ..akusikieUkweli kabisaaa yaan
Real ManWell, hii weekend nlienda kwa mshkaji wangu tuliemaliza nae chuo kimoja, yeye baada ya kusota kitaa akajiongeza hakuenda kusoma masters akafungua studio ya picha na maisha yakawa yanaenda.
Sasa huyu rafiki hadi leo hajaoa na hua namtania sana aoe aache ubachela umri unaenda na kazi anayo tayari hana kisingizio.
Nimeenda kumtembelea ndio nikajua sababu inayopelekea kupata wakati mgumu kufunga ndoa, jibu ni kwamba kazi anayofanya ina majaribu sana ya ngono.
Mida ya jioni, kuna mabinti kama wanne hivi walikuja kupigwa picha, basi nakwambia wakaenda kubadili nguo kuna kachumba flani hivi, , wamekuja na vikanga vufupi balaa bra nazo za vitenge, wakaanza kupigwa picha, Rafiki yangu basi anawategesha mapozi flani ivi ya kimitego.
Nilizani nimeona kila kitu kumbe bado, Kali kuzidi zote ikaja hio wenyewe wanaita mgongo wazi, yani walivua zile sidiria wanageukia mgongo kupigwa picha, mh,mh, mh jamani, yani kabla picha hazijapigwa wao wapo huru kabisa kutuonyesha matiti yao, na ni mabinti wadogo kama miaka 18 hadi 21 ivi, yani nyonyo bado zina afya, Jamaaniii eeeeh heheh basi tu lakini hii dunia tunakoenda, basi yani picha ikipigwa ile wanakuja kuicheki kama imetoka vizuri wanakuja ivyo ivyo na tits zipo wazi.
Rafiki yule na mwenzake wakaanza kutupia saundi, watoto wa watu wakageuka vitoweo bwana, kuna kachumba kengine humo studio nikaona jamaa kiulaini kabisa wanawavutia mule ndani wawili, huku wamebaki wawili na mimi, Nligeuka kuwa mlinzi tu pale, niliwaambia wavae sidiria zao ila bado kuna vimichezo moja wao alikuwa akinichezea, mara nikonyezwe, mara hivi mara vike, mi nikawa nachezea tu simu, mara akaja kunikalia akaniminya mnara, mh mh mh mh basi nikapiga moyo konde huyu ni shetani tu, Niseme tu ya kwamba wanaume tuliooa tunapatwa na majaribu mengi sana, Binafsi nimekutana na vimbwanga zaidi ya hivi na havikupata nafasi, hiki kilikuwa cha kapita tu, Nilimkata jicho flani ivi yule mtoto mwenyewe akaondoka nikaendelea kuperuzi simu.
Basi jamaa wametoka huko baada ya kama dakika 40 washafanya yao, nikabaki najiuliza tu kweli kwa niliyoyaona jamaa ataoa hapa 😂😂.
Jamaa basi akawa anancheka nimewahi kuoa naacha vinono nmeshindwa hata kushughulika na walio niacha nao, yule dem alieniminya mnara nae akavimba kichwa akaanza kunitania nimeacha juisi ya mtende kizembe sana na yeye kanielewa ,,😂😂 vitoto hivi.
Nakumbuka usiku ule jamaa alinitumia picha za mabinti wengine wapo uchi kabisa, wengine wamevaa tu ch*p* ila matiti wazi, n.k akaniambia nichague moja anipe namba 😂😂 mi nikabaki namsikitikia tu jamaa huenda asioe kabisa ashamilikiwa na pepo hili
Usiku kama kawa nikaamsha kwa wife kamoja ka afya (tukiacha na kamoja ka asubuhi 😁) basi siku ikaisha, Wife yupo tena mzuri kwanini nigonge vitoto vya watu huko 😂
Ile siku nikawa nimejifunza kwamba hii kazi ina changamoto sana.
hahaha yani hadi unapia bao kwa mkono inaonyesha huna mwanamke wewe, Wewe ndio aina za hao ambao bado ni washamba wa haya mambo, tafuta dem au mke oa uwe na uhakika wa mechi uone kama filimbi ya chini itakubabaisha 😂,Huyu bwege hadindishi.
Wakati wengine akina sisi ili kuepuka fedheha na kesi za ubakaji, inabidi tupunguze genye kwa kupiga bao la mkono.
Eti yeye Hadi akakaliwa na akaminywa Bado hajadindisha tu!!
Fungua yako mkuuJina la studio tafadhali na mimi nikapoteze stress
Ujue tatizo humu wengi wanaolaumu nimeliacha tunda wengi wao bado ni wageni sana na wengi hawana hata game za uhakika maana hawana wake au hata girlfriends.Real Man
Ningefana ukauzu kama wewe
Oa mkuu, kwa tuliooa mambo ya kugegedana yamekuwa ya kawaida sana kama kupumua tu, kazi kwenu ambao bado mnaranda randa hakuna hata uhakika wa game 😂 kwanza nimekupaisha sana wewe, wewe bado inaonekana unapiga punyeto hadi leo maana bado una kaushamba flani ka K bado hujazizoeaHongera kwa kupishana na Gari la mshahara.
DizastaDada baki shule bila elimu utateseka, kutegemea urembo ipo siku utazeeka.../
Kama ukiweka mwili wako hisani, ukizeeka tutajali ulicho nacho kichwani.../
Urembo nao ni power ila ni power na uiogope, maana ni upanga unaokata pande zote.../
Ngoma ya uzuri haitavuma milele, ukitumia urembo vibaya utakuvunja mwenyewe.../
The verteller
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtoa post ......umeshindwa kutuambia kua jogoo ako hawiki ...........unaznguka zunguka tu
mkuu inaitwaje hiiDada baki shule bila elimu utateseka, kutegemea urembo ipo siku utazeeka.../
Kama ukiweka mwili wako hisani, ukizeeka tutajali ulicho nacho kichwani.../
Urembo nao ni power ila ni power na uiogope, maana ni upanga unaokata pande zote.../
Ngoma ya uzuri haitavuma milele, ukitumia urembo vibaya utakuvunja mwenyewe.../
The verteller
mascular feministmkuu inaitwaje hii
Kuna ela naiskilizia 🚶🚶Fungua yako mkuu