Nimeshuhudia kwa macho yangu, biashara ya photo studio imejaa sana matukio ya ngono

Nimeshuhudia kwa macho yangu, biashara ya photo studio imejaa sana matukio ya ngono

Well, hii weekend nlienda kwa mshkaji wangu tuliemaliza nae chuo kimoja, yeye baada ya kusota kitaa akajiongeza hakuenda kusoma masters akafungua studio ya picha na maisha yakawa yanaenda.

Sasa huyu rafiki hadi leo hajaoa na hua namtania sana aoe aache ubachela umri unaenda na kazi anayo tayari hana kisingizio.

Nimeenda kumtembelea ndio nikajua sababu inayopelekea kupata wakati mgumu kufunga ndoa, jibu ni kwamba kazi anayofanya ina majaribu sana ya ngono.

Mida ya jioni, kuna mabinti kama wanne hivi walikuja kupigwa picha, basi nakwambia wakaenda kubadili nguo kuna kachumba flani hivi, , wamekuja na vikanga vufupi balaa bra nazo za vitenge, wakaanza kupigwa picha, Rafiki yangu basi anawategesha mapozi flani ivi ya kimitego.

Nilizani nimeona kila kitu kumbe bado, Kali kuzidi zote ikaja hio wenyewe wanaita mgongo wazi, yani walivua zile sidiria wanageukia mgongo kupigwa picha, mh,mh, mh jamani, yani kabla picha hazijapigwa wao wapo huru kabisa kutuonyesha matiti yao, na ni mabinti wadogo kama miaka 18 hadi 21 ivi, yani nyonyo bado zina afya, Jamaaniii eeeeh heheh basi tu lakini hii dunia tunakoenda, basi yani picha ikipigwa ile wanakuja kuicheki kama imetoka vizuri wanakuja ivyo ivyo na tits zipo wazi.

Rafiki yule na mwenzake wakaanza kutupia saundi, watoto wa watu wakageuka vitoweo bwana, kuna kachumba kengine humo studio nikaona jamaa kiulaini kabisa wanawavutia mule ndani wawili, huku wamebaki wawili na mimi, Nligeuka kuwa mlinzi tu pale, niliwaambia wavae sidiria zao ila bado kuna vimichezo moja wao alikuwa akinichezea, mara nikonyezwe, mara hivi mara vike, mi nikawa nachezea tu simu, mara akaja kunikalia akaniminya mnara, mh mh mh mh basi nikapiga moyo konde huyu ni shetani tu, Niseme tu ya kwamba wanaume tuliooa tunapatwa na majaribu mengi sana, Binafsi nimekutana na vimbwanga zaidi ya hivi na havikupata nafasi, hiki kilikuwa cha kapita tu, Nilimkata jicho flani ivi yule mtoto mwenyewe akaondoka nikaendelea kuperuzi simu.

Basi jamaa wametoka huko baada ya kama dakika 40 washafanya yao, nikabaki najiuliza tu kweli kwa niliyoyaona jamaa ataoa hapa 😂😂.

Jamaa basi akawa anancheka nimewahi kuoa naacha vinono nmeshindwa hata kushughulika na walio niacha nao, yule dem alieniminya mnara nae akavimba kichwa akaanza kunitania nimeacha juisi ya mtende kizembe sana na yeye kanielewa ,,😂😂 vitoto hivi.

Nakumbuka usiku ule jamaa alinitumia picha za mabinti wengine wapo uchi kabisa, wengine wamevaa tu ch*p* ila matiti wazi, n.k akaniambia nichague moja anipe namba 😂😂 mi nikabaki namsikitikia tu jamaa huenda asioe kabisa ashamilikiwa na pepo hili

Usiku kama kawa nikaamsha kwa wife kamoja ka afya (tukiacha na kamoja ka asubuhi 😁) basi siku ikaisha, Wife yupo tena mzuri kwanini nigonge vitoto vya watu huko 😂

Ile siku nikawa nimejifunza kwamba hii kazi ina changamoto sana.
Dunia yaenda kasi sana
 
Ujue tatizo humu wengi wanaolaumu nimeliacha tunda wengi wao bado ni wageni sana na wengi hawana hata game za uhakika maana hawana wake au hata girlfriends.

Vijana aina hii ni washamba sana kwa wanawake, bado hawana uzoefu kabisa, filimbi za chini ndio zinakuwa na mamlaka kuzidi hata ubongo 😂😂
Kabisa.

Mimi nakutana sana na incident za aina hio, wengine marafiki zake wife na nawalia bati.

Mwisho wa siku wanakuwa na Heshima.
 
Matumizi sahihi ya fahamu ndio vinamuweka mwanadamu mbali na wanyama wa mwituni.....mwanadamu anapoachana na matumizi ya fahamu zake hana tofauti na wanyama wa mwituni........

Think big and take control of your destiny
 
mi nafanya hii kazi ila sijui vijana wangu maana na studio zaidi ya moja...sijawahi kula mteja japo za uchi nshapiga sana hasa hawa wanaoshirikigi umiss... nachofanya mimi ni fedha mbele maana nao fedha mbele ukimla tu utapelekwa malocation bila hele yoyote ukitoka huko unaenda kuvujishwa jasho na manii...bila fedha...sio biashara ya studio una ufuska ufuska umetamalaki zama hizi za insta...wanaiga sana wale ma porn star na mastaa wa bongo so fedha inahitajika sana mabint hawana hela ya show off ...picha zenyewe bei rahisi ni elfu3...kila wiki apost tatu..
Hapa naona nimekutana na mwenye hii kazi.

Huo ndio ukweli, Instagram na facebook ndio petroli kwenye moto huu wa umaarufu wa kuonekana kwenye mitandao.

Kuna picha nilionyeshwa hadi nikabaki mdomo wazi tu , wazazi wanahangaika kulipa ada vyuoni ila watoto wapo bize kupiga picha za uchi.

Yani nikawa nashangaa tu, ningekuwa na mimi mdau wa hizi ishu hawa ningewala sana tu maana jamaa yule ana group kama nne za studio yake humo ni mademu tu unahichagulia tu, ila tulushapitaga hizo zama saizi tupo bize na familia.

na nilichigundua hawa wanaopigwa picha wengi ni wazoefu sana, yani kilw kitoto kipo 18 tu kinaniminya mnara na kucheka cheka hapo yani ujue kinapelekwa sana moto na watu wengi tu, anyway kwa sisi tuliooa majaribu ni mengi sana tunakutana nayo kwahio tushakua wazoefu, niliwahi kuleta kisa humu cha single mama flani kunifanyia kitu ambacho ni kizito mara tano zaidi ya hicho cha studio.
 
Yakobo 1:14-15
[14]Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.
[15]Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.
 
Hapa naona nimekutana na mwenye hii kazi.

Huo ndio ukweli, Instagram na facebook ndio petroli kwenye moto huu wa umaarufu wa kuonekana kwenye mitandao.

Kuna picha nilionyeshwa hadi nikabaki mdomo wazi tu , wazazi wanahangaika kulipa ada vyuoni ila watoto wapo bize kupiga picha za uchi.

Yani nikawa nashangaa tu, ningekuwa na mimi mdau wa hizi ishu hawa ningewala sana tu maana jamaa yule ana group kama nne za studio yake humo ni mademu tu unahichagulia tu, ila tulushapitaga hizo zama saizi tupo bize na familia.

na nilichigundua hawa wanaopigwa picha wengi ni wazoefu sana, yani kilw kitoto kipo 18 tu kinaniminya mnara na kucheka cheka hapo yani ujue kinapelekwa sana moto na watu wengi tu, anyway kwa sisi tuliooa majaribu ni mengi sana tunakutana nayo kwahio tushakua wazoefu, niliwahi kuleta kisa humu cha single mama flani kunifanyia kitu ambacho ni kizito mara tano zaidi ya hicho cha studio.
Aacha kukitetea mzee sema ulishindwa tu kogonga waremb
Sabab ulishikwa na tahamaki.

K Zina itafaut haikalish umezoea au lah.
 
Aacha kukitetea mzee sema ulishindwa tu kogonga waremb
Sabab ulishikwa na tahamaki.

K Zina itafaut haikalish umezoea au lah.
Mshamba wa K wewe ,😂😂

Kapige chabo tu, bafuni ukapige bao la mkono
 
Well, hii weekend nlienda kwa mshkaji wangu tuliemaliza nae chuo kimoja, yeye baada ya kusota kitaa akajiongeza hakuenda kusoma masters akafungua studio ya picha na maisha yakawa yanaenda.

Sasa huyu rafiki hadi leo hajaoa na hua namtania sana aoe aache ubachela umri unaenda na kazi anayo tayari hana kisingizio.

Nimeenda kumtembelea ndio nikajua sababu inayopelekea kupata wakati mgumu kufunga ndoa, jibu ni kwamba kazi anayofanya ina majaribu sana ya ngono.

Mida ya jioni, kuna mabinti kama wanne hivi walikuja kupigwa picha, basi nakwambia wakaenda kubadili nguo kuna kachumba flani hivi, , wamekuja na vikanga vufupi balaa bra nazo za vitenge, wakaanza kupigwa picha, Rafiki yangu basi anawategesha mapozi flani ivi ya kimitego.

Nilizani nimeona kila kitu kumbe bado, Kali kuzidi zote ikaja hio wenyewe wanaita mgongo wazi, yani walivua zile sidiria wanageukia mgongo kupigwa picha, mh,mh, mh jamani, yani kabla picha hazijapigwa wao wapo huru kabisa kutuonyesha matiti yao, na ni mabinti wadogo kama miaka 18 hadi 21 ivi, yani nyonyo bado zina afya, Jamaaniii eeeeh heheh basi tu lakini hii dunia tunakoenda, basi yani picha ikipigwa ile wanakuja kuicheki kama imetoka vizuri wanakuja ivyo ivyo na tits zipo wazi.

Rafiki yule na mwenzake wakaanza kutupia saundi, watoto wa watu wakageuka vitoweo bwana, kuna kachumba kengine humo studio nikaona jamaa kiulaini kabisa wanawavutia mule ndani wawili, huku wamebaki wawili na mimi, Nligeuka kuwa mlinzi tu pale, niliwaambia wavae sidiria zao ila bado kuna vimichezo moja wao alikuwa akinichezea, mara nikonyezwe, mara hivi mara vike, mi nikawa nachezea tu simu, mara akaja kunikalia akaniminya mnara, mh mh mh mh basi nikapiga moyo konde huyu ni shetani tu, Niseme tu ya kwamba wanaume tuliooa tunapatwa na majaribu mengi sana, Binafsi nimekutana na vimbwanga zaidi ya hivi na havikupata nafasi, hiki kilikuwa cha kapita tu, Nilimkata jicho flani ivi yule mtoto mwenyewe akaondoka nikaendelea kuperuzi simu.

Basi jamaa wametoka huko baada ya kama dakika 40 washafanya yao, nikabaki najiuliza tu kweli kwa niliyoyaona jamaa ataoa hapa 😂😂.

Jamaa basi akawa anancheka nimewahi kuoa naacha vinono nmeshindwa hata kushughulika na walio niacha nao, yule dem alieniminya mnara nae akavimba kichwa akaanza kunitania nimeacha juisi ya mtende kizembe sana na yeye kanielewa ,,😂😂 vitoto hivi.

Nakumbuka usiku ule jamaa alinitumia picha za mabinti wengine wapo uchi kabisa, wengine wamevaa tu ch*p* ila matiti wazi, n.k akaniambia nichague moja anipe namba 😂😂 mi nikabaki namsikitikia tu jamaa huenda asioe kabisa ashamilikiwa na pepo hili

Usiku kama kawa nikaamsha kwa wife kamoja ka afya (tukiacha na kamoja ka asubuhi 😁) basi siku ikaisha, Wife yupo tena mzuri kwanini nigonge vitoto vya watu huko 😂

Ile siku nikawa nimejifunza kwamba hii kazi ina changamoto sana.
Nilikuw nasikia tu kuhus mioyo ya chum
 
Ukiwa hauna nidhamu na Kazi yako , kujua Ethics zako , integrity n.k you can't grow

Maana kwa akili ya kawaida lengo la kupiga hizo picha ni ili wawanase wanaume mitandao

Means hao mabinti wanafanya Biashara ya ngono

So nothing new kushangaa mzoga katika butcher au ulimaanisha nini ?
 
Back
Top Bottom