Nimeshuhudia kwa macho yangu, biashara ya photo studio imejaa sana matukio ya ngono

Dunia yaenda kasi sana
 
Kabisa.

Mimi nakutana sana na incident za aina hio, wengine marafiki zake wife na nawalia bati.

Mwisho wa siku wanakuwa na Heshima.
 
Matumizi sahihi ya fahamu ndio vinamuweka mwanadamu mbali na wanyama wa mwituni.....mwanadamu anapoachana na matumizi ya fahamu zake hana tofauti na wanyama wa mwituni........

Think big and take control of your destiny
 
Hapa naona nimekutana na mwenye hii kazi.

Huo ndio ukweli, Instagram na facebook ndio petroli kwenye moto huu wa umaarufu wa kuonekana kwenye mitandao.

Kuna picha nilionyeshwa hadi nikabaki mdomo wazi tu , wazazi wanahangaika kulipa ada vyuoni ila watoto wapo bize kupiga picha za uchi.

Yani nikawa nashangaa tu, ningekuwa na mimi mdau wa hizi ishu hawa ningewala sana tu maana jamaa yule ana group kama nne za studio yake humo ni mademu tu unahichagulia tu, ila tulushapitaga hizo zama saizi tupo bize na familia.

na nilichigundua hawa wanaopigwa picha wengi ni wazoefu sana, yani kilw kitoto kipo 18 tu kinaniminya mnara na kucheka cheka hapo yani ujue kinapelekwa sana moto na watu wengi tu, anyway kwa sisi tuliooa majaribu ni mengi sana tunakutana nayo kwahio tushakua wazoefu, niliwahi kuleta kisa humu cha single mama flani kunifanyia kitu ambacho ni kizito mara tano zaidi ya hicho cha studio.
 
Yakobo 1:14-15
[14]Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.
[15]Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.
 
Aacha kukitetea mzee sema ulishindwa tu kogonga waremb
Sabab ulishikwa na tahamaki.

K Zina itafaut haikalish umezoea au lah.
 
Jamaa wewe mmbea

Acha ufala wewe[emoji849][emoji15]
 
Aacha kukitetea mzee sema ulishindwa tu kogonga waremb
Sabab ulishikwa na tahamaki.

K Zina itafaut haikalish umezoea au lah.
Mshamba wa K wewe ,πŸ˜‚πŸ˜‚

Kapige chabo tu, bafuni ukapige bao la mkono
 
Nilikuw nasikia tu kuhus mioyo ya chum
 
Ukiwa hauna nidhamu na Kazi yako , kujua Ethics zako , integrity n.k you can't grow

Maana kwa akili ya kawaida lengo la kupiga hizo picha ni ili wawanase wanaume mitandao

Means hao mabinti wanafanya Biashara ya ngono

So nothing new kushangaa mzoga katika butcher au ulimaanisha nini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…