Nimeshuhudia kwa macho yangu chakula kikipimwa temperature pale Serena Hotel, maana yake nini?

Nimeshuhudia kwa macho yangu chakula kikipimwa temperature pale Serena Hotel, maana yake nini?

Huu utaratibu wa kukipima joto chakula kwa kutumia thermometer kama mgonjwa wa homa maana yake nini?
Du nimecheka. Wenzetu vyakula kama minofu ya nyama inapopikwa huwa na vipima joto maalum huingiza kwenye mnofu ili kujua joto la ndani ya mnofu ili kuweza kujua kama nyama imeiva kwa ndani. Jitahidi kuingia youtube utafute mapishi ya nyama (beef steak) unaone wenzatu wanavyopika na siyo sisi tunachemsha kama ya mbwa
 
Du nimecheka. Wenzetu vyakula kama minofu ya nyama inapopikwa huwa na vipima moto maalum huingiza kwenye mnofu ili kujua joto la ndani ya mnofu ili kuweza kujua kama nyama imeiva kwa ndani. Jitahidi kuingia youtube utafute mapishi ya nyama (beef steak) unaone wenzatu wanavyopika na siyo sisi tunachemsha kama ya mbwa
Hahahahahahahahahah😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😅😅😅😅
 
Hahaha..., kwahiyo huku majumbani kwetu tunakula vibichi😂😂
Siyo lazima tatizo liwe ubichi. Tatizo linaweza kuwa kuiva zaidi ya inavyotakiwa. Halafu siyo vyakula vyote wanatumia vipima joto! Wanatumia kwenye vitu kama minofu ya nyama ambayo kukisia kama imeiva kwa ndani ni vigumu. Hata vitu kama keki unaweza kutumia
 
Du nimecheka. Wenzetu vyakula kama minofu ya nyama inapopikwa huwa na vipima joto maalum huingiza kwenye mnofu ili kujua joto la ndani ya mnofu ili kuweza kujua kama nyama imeiva kwa ndani. Jitahidi kuingia youtube utafute mapishi ya nyama (beef steak) unaone wenzatu wanavyopika na siyo sisi tunachemsha kama ya mbwa
Tunachemsha kama ya?????????????????
 
Kwenye hotel nyingi hasa nchi za ughaibuni ni kawaida kuangalia joto la chakula.Sababu ni kuwa vyakula vinakuwa na bacteria ambao ili wafe na wasiweze kudhuru ni lazima joto flani lifike.Mfano nyama ya kuku safe temperature ni kuanzia 75c mpaka 80c.chini ya joto hilo sio salama kuliwa.joto hutofautiana chakula na chakula.pia vyakula ambavyo vinauzwa vishapikwa kuna joto salama lake,hali kadhalika vinavyouzwa moto kama kwenye ma canteen.
Kwa ufupi kuna system kubwa ya kuhakikisha chakula salama ,kuanzia kinapotoka,kinapofika,upishi na ku 'serve kwake na kuhifadhi.yote hii inakuwa una record na kuweka faili ili,uweze ku trace.
Kwa uk hii wanaita FOOD HYGINE AND SAFETY.
 
Du nimecheka. Wenzetu vyakula kama minofu ya nyama inapopikwa huwa na vipima joto maalum huingiza kwenye mnofu ili kujua joto la ndani ya mnofu ili kuweza kujua kama nyama imeiva kwa ndani. Jitahidi kuingia youtube utafute mapishi ya nyama (beef steak) unaone wenzatu wanavyopika na siyo sisi tunachemsha kama ya mbwa

Umeeleza vema. ni kawaida sema mleta uzi hana exposure na jambo hilo ndo maana kaona kama kitu cha ajabu
 
Kwenye hotel nyingi hasa nchi za ughaibuni ni kawaida kuangalia joto la chakula.Sababu ni kuwa vyakula vinakuwa na bacteria ambao ili wafe na wasiweze kudhuru ni lazima joto flani lifike.Mfano nyama ya kuku safe temperature ni kuanzia 75c mpaka 80c.chini ya joto hilo sio salama kuliwa.joto hutofautiana chakula na chakula.pia vyakula ambavyo vinauzwa vishapikwa kuna joto salama lake,hali kadhalika vinavyouzwa moto kama kwenye ma canteen.
Kwa ufupi kuna system kubwa ya kuhakikisha chakula salama ,kuanzia kinapotoka,kinapofika,upishi na ku 'serve kwake na kuhifadhi.yote hii inakuwa una record na kuweka faili ili,uweze ku trace.
Kwa uk hii wanaita FOOD HYGINE AND SAFETY.
Mafaili (hard copies)? Mbona hoteli 🏨 itajaa mafaili? Karibu Mbeya Mjini uone Tulia anavyomstaafisha Siasa Sugu.
 
Du nimecheka. Wenzetu vyakula kama minofu ya nyama inapopikwa huwa na vipima joto maalum huingiza kwenye mnofu ili kujua joto la ndani ya mnofu ili kuweza kujua kama nyama imeiva kwa ndani. Jitahidi kuingia youtube utafute mapishi ya nyama (beef steak) unaone wenzatu wanavyopika na siyo sisi tunachemsha kama ya mbwa

Umeeleza vema. ni kawaida sema mleta uzi hana exposure na jambo hilo ndo maana kaona kama kitu cha ajabu
So mleta mada ana exposure kama ya jiwe
 
Du nimecheka. Wenzetu vyakula kama minofu ya nyama inapopikwa huwa na vipima joto maalum huingiza kwenye mnofu ili kujua joto la ndani ya mnofu ili kuweza kujua kama nyama imeiva kwa ndani. Jitahidi kuingia youtube utafute mapishi ya nyama (beef steak) unaone wenzatu wanavyopika na siyo sisi tunachemsha kama ya mbwa
Hahahahaaaa mkuu acha hizo
 
Back
Top Bottom