Nimeshuhudia mwisho wa Barcelona

I just wish ungeweka emotions pembeni!

Barcelona afungwe saba na PSG?

Next joke please!
 
Malaga , sevilla mbona siwaoni ?


Mkuu hujajitambua,Bilbao kamtoa man 2013 UEFA ulikuwa hujaanza kushabikia mpira?
 
Wewe ni shabiki wa team gani?
 
I just wish ungeweka emotions pembeni!

Barcelona afungwe saba na PSG?

Next joke please!
Tusubiri mkuu utakuja niambia..... Tutafufua hii post maana unaitetea sana defence mbovu ya vikina digne na roberto cjui vidal na samedo umtiti haaahaaaa dah nacheka kihispaniola!! anyway yetu macho
 
Malaga , sevilla mbona siwaoni ?


Mkuu hujajitambua,Bilbao kamtoa man 2013 UEFA ulikuwa hujaanza kushabikia mpira?
Sevilla ukiiweka hapo itoe villareal maana zinazungukiana tu..... Malaga ipi hii iliyofungwa mechi 7 za kwanza??? Malaga toka wamuuze cazorla monreal, isco na sasa castillejo na fornals hakuna kitu tena ishajifia

Bilbao nimeiweka mbona hyo athletic club ya basque country kwangu ndio timu bora kabisa spain sababu inazalisha wachezaji wake wa huko huko basque sio haya matimu mengine kazi kununua wachezaji mabilioni hku vipaji vikiishia Kwenda Segunda B!!!!

Back to topic..... Nlichosema mna timu nzuri ila chache tofauti na la liga ambako timu zote ziko on fire ila la liga timu za below 10 zikikutana na top6 hazifurukuti ndio maana nikauliza mara ya mwisho ligi kutoka nje ya madrid na barcelona ni lini??? Hata champions league ni madrids na barca ndio zinaibeba spain ila cjawah ona malaga au sevilla ifike nusu fainali ya champions league katika muongo huu

Kifupi spain hakuna competition kabisa
 
Sasa nimeelewa kwanini unaichukia Barcelona!

Sio kosa lako mkuu.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ila ndio Tumerudi sasa kwa line up hii ya aubameyang mikhi ozil na lacazette..... Tegemeeni maangamizi UEFA msimu ujao tukikutana maana kwa defence yenu hii mkutane na kina mikhi mtaumia
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ila ndio Tumerudi sasa kwa line up hii ya aubameyang mikhi ozil na lacazette..... Tegemeeni maangamizi UEFA msimu ujao tukikutana maana kwa defence yenu hii mkutane na kina mikhi mtaumia
Kuna dogo aliniuliza eti uncle kwani arsenal ni movie?

Nikamuuliza kwanini, akasema arsenal fans are always waiting for the next season!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Anyway, nakusubiri kule kwenye miferej ya damu iendayo Ethiopia, jamaa ameshusha kitu!
 
Messi ndiye engine ya Barca. Kama si yeye kuingia haki ya nani mchezo ungeisha Espanyola 1-0 Barca.


Mungu aendelee kumlinda kiumbe huyu kuwahi kutokea. Bado sijaona wa kulingananae tokea soka lianze kuchezwa.

Asante mfalme.
 
Vp ukiskia man u vs barca matokeo mkuu
 
Haya maneno ndio maneno ban, kama ulikua na mimi vile
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
UEFA kwa defence ipi??? Nyie mechi huwa mbili tu msima mzima yaani mkicheza na timu 2 za madrid hizo zingine cjui getafe ni mazoezi tu ila UEFA mkikutana na vigingi kma juve au bayern lazma mtolewe


Hapo kwenye RED dah nimeamua kucheka tu mbunge wanguπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Yani unaongea kama vile mnakutana na Singida unitedπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hapo kwenye RED dah nimeamua kucheka tu mbunge wanguπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Yani unaongea kama vile mnakutana na Singida unitedπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hehhehee haya knockout stage zimewadia ntakuja kufufua hizi kejeli zenu mkishakula goli 4 mpaka 7..... Mtatia akili
 
Msimu huu mna defence mbovu sana huo ni ukweli hivyo champions league msahau kabisa kwanza mkikutana na free scoring team kma PSG hii ya sasa..... Mnaweza kuliwa hata 8 naomba utunze hii comment tutakuja kukumbushana come april

Hahahaa sasa ndio unaharibu kabisa cv yako πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.yani PSG!! Anacheza na tim ambazo hata wakikutana na tim zetu za bongo zitapata tabu!!!!! Hahahaa kuwa serious kamanda. Madrid na ubovu wake lakini hawezi kuifunga. Sasa kwa Barca,Man city,Tottenham, Juve ataweza???
 
Tuwe na subira mkuu ntakuja kuwakumbusha kuhusu udhaifu wa ukuta wenu kma biskuti ndio mnawaza treble!!! Yaani umtiti na digne cjui samedo na roberto teh teh teh ?? Duh itakuwa world record
 

Weka na akiba ya maneno kamanda. Pls Hii comment usiifute!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…