Nimeshuhudia mwisho wa Barcelona

Nimeshuhudia mwisho wa Barcelona

Barca anabebwa na ubovu wa ligi ya hispania yaani akishamfunga atletico na real basi ashachukua ligi automatically ni sawa tu na psg vs monaco au celtic vs rangers hivyo ubovu wa la liga ndio unaipa umaarufu barca

Hivyo basi competition imebaki champions league na nimeshatoa ubashiri hapa kwamba mna ukuta mwepesi sana hivyo ndoto za kuchukua UCL ni finyu..... Mtatoa povu ila ntarudi kuwakumbusha baada ya kupigwa 7 na bayern au PSG
I just wish ungeweka emotions pembeni!

Barcelona afungwe saba na PSG?

Next joke please!
 
Nmeshasema la liga ina timu 6 tu nzuri sana ila hizo 14 vibonde tu ndio maana haziwezi panda top 4 mwaka wa 20 sasa yaani la liga ni
Real madrid
Atletico madrid
Barcelona
Valencia
Athletic club
Real sociedad(ingawa imeshakufa)
Villareal

Basi hizo nyingine kuanzia real betis mpaka leganes zero kabisa hazina ubavu wa kupambana na hiyo miamba 6 ila premier league hakuna timu ya bottom 10 ambayo haina ubavu wa kuifunga team ya top 4 yeyote..... Watford swansea west brom n.k zina uwezo wa kuitandika man u au chelsea sasa hapo huoni level ya mpira wa ligi ya uingereza ipo juu

Niambie lini mara ya mwisho bingwa katoka nje ya madrid na Barcelona???
Malaga , sevilla mbona siwaoni ?


Mkuu hujajitambua,Bilbao kamtoa man 2013 UEFA ulikuwa hujaanza kushabikia mpira?
 
Barca anabebwa na ubovu wa ligi ya hispania yaani akishamfunga atletico na real basi ashachukua ligi automatically ni sawa tu na psg vs monaco au celtic vs rangers hivyo ubovu wa la liga ndio unaipa umaarufu barca

Hivyo basi competition imebaki champions league na nimeshatoa ubashiri hapa kwamba mna ukuta mwepesi sana hivyo ndoto za kuchukua UCL ni finyu..... Mtatoa povu ila ntarudi kuwakumbusha baada ya kupigwa 7 na bayern au PSG
Wewe ni shabiki wa team gani?
 
I just wish ungeweka emotions pembeni!

Barcelona afungwe saba na PSG?

Next joke please!
Tusubiri mkuu utakuja niambia..... Tutafufua hii post maana unaitetea sana defence mbovu ya vikina digne na roberto cjui vidal na samedo umtiti haaahaaaa dah nacheka kihispaniola!! anyway yetu macho
 
Malaga , sevilla mbona siwaoni ?


Mkuu hujajitambua,Bilbao kamtoa man 2013 UEFA ulikuwa hujaanza kushabikia mpira?
Sevilla ukiiweka hapo itoe villareal maana zinazungukiana tu..... Malaga ipi hii iliyofungwa mechi 7 za kwanza??? Malaga toka wamuuze cazorla monreal, isco na sasa castillejo na fornals hakuna kitu tena ishajifia

Bilbao nimeiweka mbona hyo athletic club ya basque country kwangu ndio timu bora kabisa spain sababu inazalisha wachezaji wake wa huko huko basque sio haya matimu mengine kazi kununua wachezaji mabilioni hku vipaji vikiishia Kwenda Segunda B!!!!

Back to topic..... Nlichosema mna timu nzuri ila chache tofauti na la liga ambako timu zote ziko on fire ila la liga timu za below 10 zikikutana na top6 hazifurukuti ndio maana nikauliza mara ya mwisho ligi kutoka nje ya madrid na barcelona ni lini??? Hata champions league ni madrids na barca ndio zinaibeba spain ila cjawah ona malaga au sevilla ifike nusu fainali ya champions league katika muongo huu

Kifupi spain hakuna competition kabisa
 
Sasa nimeelewa kwanini unaichukia Barcelona!

Sio kosa lako mkuu.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
😀😀😀😀 ila ndio Tumerudi sasa kwa line up hii ya aubameyang mikhi ozil na lacazette..... Tegemeeni maangamizi UEFA msimu ujao tukikutana maana kwa defence yenu hii mkutane na kina mikhi mtaumia
 
😀😀😀😀 ila ndio Tumerudi sasa kwa line up hii ya aubameyang mikhi ozil na lacazette..... Tegemeeni maangamizi UEFA msimu ujao tukikutana maana kwa defence yenu hii mkutane na kina mikhi mtaumia
Kuna dogo aliniuliza eti uncle kwani arsenal ni movie?

Nikamuuliza kwanini, akasema arsenal fans are always waiting for the next season!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Anyway, nakusubiri kule kwenye miferej ya damu iendayo Ethiopia, jamaa ameshusha kitu!
 
Messi ndiye engine ya Barca. Kama si yeye kuingia haki ya nani mchezo ungeisha Espanyola 1-0 Barca.


Mungu aendelee kumlinda kiumbe huyu kuwahi kutokea. Bado sijaona wa kulingananae tokea soka lianze kuchezwa.

Asante mfalme.
 
PSG hii ni tofauti na ya msimu uliopita... But still kuwafunga goli 5 sio kitu kidogo ili prove defence yenu iko vulnerable ndio sembuse sahvi wana neymar na mbappe-lottin??

Hakuna kitu kma barca na madrid wakienda la liga watatesa.... Hivi stoke au swansea wanaweza fungwa kizembe vile kma inavyofunga levante au eibar?? Ukweli usemwe EPL kuna competition kuliko la liga ndio maana EPL ina msisimko sana..... La liga ukishaona barca vs getafe matokeo ulishayajua kichwani tofauti ukiskia Chelsea vs Bournemouth yaani unakuwa ngumu kubashiri

Anyway tuweke akiba ya maneno.... Mtoano UCL huo unawadia tutajua mbivu na mbichi msije tu kukimbia uzi
Vp ukiskia man u vs barca matokeo mkuu
 
Mkuu unachekesha. Yani unaweka stoke city na Barcelona on the same sentence? That's too disrespectful!

The big fishes wa EPL wakikutana na Barcelona au Madrid hua wanaloana. Alafu wewe unasema stoke city hawezi kubali kufungwa, hauko serious mkuu!

Hao man city wanao wanyanyasa hapo, barca hua anajipigia anvyotaka, au waulize vijana wa Wenger na manure united. Hapo hatujaongelea watoto kama sevilla ambao Liverpool imewashindwa twice in UCL this season.

Hapo EPL hakuna kitu mkuu. Barcelona na Madrid ndio the highest peaks of football. Kila mchezaji ana ndoto ya kucheza katika moja ya hizi team. Ni kwa sababu ndio vinara!

Na bado hatujasahau vile man city amewanyoosha hapo EPL. Kama EPL kuna competition mbona mmeruhusu guadiola acheze mechi nyingi namna ile bila kufungwa?

Team za EPL zote ni za kawaida sana, competition inasababishwa na kua na team nyingi zenye uwezo unao lingana (ambao ni mdogo).

Ile domination ya Barcelona na Madrid Laliga inatokana na hawa jamaa kua na uwezo mkubwa kupitiliza, ambao hata wakija EPL watawaburuza tu!
Haya maneno ndio maneno ban, kama ulikua na mimi vile
 
Sasa hao wachezaji utamlinganisha na nani EPL?

Chelsea walimtaka Roberto kwa ngapi wakakataliwa?


Man city walimtaka umtiti kwa ngapi wakakataliwa?


Acha ushabiki maandazi barca ya sasa ipo vizuri mno huyo bingwa wako wa UEFA aligongwa kwake 3 kwa 0 au umesahau?

Aya poa subiri Lukaku,Lingard, Giroud,Bakayoko,na Phil Jones wachukue UEFA
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
UEFA kwa defence ipi??? Nyie mechi huwa mbili tu msima mzima yaani mkicheza na timu 2 za madrid hizo zingine cjui getafe ni mazoezi tu ila UEFA mkikutana na vigingi kma juve au bayern lazma mtolewe


Hapo kwenye RED dah nimeamua kucheka tu mbunge wangu😀😀😀
Yani unaongea kama vile mnakutana na Singida united😀😀😀
 
Hapo kwenye RED dah nimeamua kucheka tu mbunge wangu😀😀😀
Yani unaongea kama vile mnakutana na Singida united😀😀😀
Hehhehee haya knockout stage zimewadia ntakuja kufufua hizi kejeli zenu mkishakula goli 4 mpaka 7..... Mtatia akili
 
Msimu huu mna defence mbovu sana huo ni ukweli hivyo champions league msahau kabisa kwanza mkikutana na free scoring team kma PSG hii ya sasa..... Mnaweza kuliwa hata 8 naomba utunze hii comment tutakuja kukumbushana come april

Hahahaa sasa ndio unaharibu kabisa cv yako 😀😀😀.yani PSG!! Anacheza na tim ambazo hata wakikutana na tim zetu za bongo zitapata tabu!!!!! Hahahaa kuwa serious kamanda. Madrid na ubovu wake lakini hawezi kuifunga. Sasa kwa Barca,Man city,Tottenham, Juve ataweza???
 
Hahahaa sasa ndio unaharibu kabisa cv yako 😀😀😀.yani PSG!! Anacheza na tim ambazo hata wakikutana na tim zetu za bongo zitapata tabu!!!!! Hahahaa kuwa serious kamanda. Madrid na ubovu wake lakini hawezi kuifunga. Sasa kwa Barca,Man city,Tottenham, Juve ataweza???
Tuwe na subira mkuu ntakuja kuwakumbusha kuhusu udhaifu wa ukuta wenu kma biskuti ndio mnawaza treble!!! Yaani umtiti na digne cjui samedo na roberto teh teh teh ?? Duh itakuwa world record
 
Ila ukweli usemwe msimu huu sababu tu real na atletico ni wabovu ila msingechukua ligi..... Competition ipo champions league hamvuki robo fainali kwa defence hii ya samedo na sergi roberto cjui umtiti alafu mnaota champions league..... U gotta be kiddin me 😀😀😀

Weka na akiba ya maneno kamanda. Pls Hii comment usiifute!
 
Back
Top Bottom