Nimeshuhudia mwisho wa Barcelona

Nimeshuhudia mwisho wa Barcelona

RIP Barcelona

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Barca hawapo vizur baada wana kazi ya kutafuta viungo type ya iniesta ambaye soka lake linaishia na xavi smbaye alishatoka ili waendeleze mpira wao wa tik taka style@## ukiangalia wanavocheza kwa sasa ni tofauti na walivokuwa wakicheza hapo juma wamemleta raktic lakini hajafit fit na utajua ubovu wa barca feb 13watavocheza na chelsea
 
Kila jambo huwa lina mwisho wake. Nimeshuhudia timu bora ya wakati wote Barcelona ikitamba katika soka la kisasa. Timu zote imara zilinyanyaswa na Barcelona ya kuanzia mwaka 2008-2012. Kisha Barcelona ya 2013 - 2015.

Wote ni mashahidi jinsi Messi, Xavi na Iniesta walivyoipa timu hii mafanikio. Kisha ikaja MSN nayo ikatamba na kunyayasa vilabu vingi vya Ulaya kama sio Dunia.

Na sasa naona mwisho wao Umefika, ni kama nilivyoshuhudia Mandela akifikia mwisho wake hapa Duniani, ni kama nilivyoshuhudia Ukuta wa Berlin ukidondoshwa mwaka 1990, Ni kama tulivyoshuhudia mwisho wa maisha ya Papa John Paul wa II, Ni kama nilivyoshuhudia mwisho wa Barack Obama kuwa Rais wa Marekani na sasa nashuhudia mwisho wa Timu bora ya wakati wote, Barcelona ikifikia ukingoni. Ni ukweli unaouma laikini hatuna budi kuukubali.

Asante mungu nimeishi katika kipindi cha timu bora ya wakati wote, na mimi nitakuja kuwasimulia wajukuu wangu panapomajaliwa.
Mkuu, inabidi unywe maji mangi pombe ikate.
 
Hakuna kitu kamaicho nikukumbuxhe kitu hapo kwamba timu inamifumo yake naubora watimu unakuja kulingana na wachezaji pamoja na mifumo yakocha akijakocha mtaxema tena barcelona ni best team dunia duara ixhikwa kujifunza na sio kwa kukatixha watu tamaa
 
Kila jambo huwa lina mwisho wake. Nimeshuhudia timu bora ya wakati wote Barcelona ikitamba katika soka la kisasa. Timu zote imara zilinyanyaswa na Barcelona ya kuanzia mwaka 2008-2012. Kisha Barcelona ya 2013 - 2015.

Wote ni mashahidi jinsi Messi, Xavi na Iniesta walivyoipa timu hii mafanikio. Kisha ikaja MSN nayo ikatamba na kunyayasa vilabu vingi vya Ulaya kama sio Dunia.

Na sasa naona mwisho wao Umefika, ni kama nilivyoshuhudia Mandela akifikia mwisho wake hapa Duniani, ni kama nilivyoshuhudia Ukuta wa Berlin ukidondoshwa mwaka 1990, Ni kama tulivyoshuhudia mwisho wa maisha ya Papa John Paul wa II, Ni kama nilivyoshuhudia mwisho wa Barack Obama kuwa Rais wa Marekani na sasa nashuhudia mwisho wa Timu bora ya wakati wote, Barcelona ikifikia ukingoni. Ni ukweli unaouma laikini hatuna budi kuukubali.

Asante mungu nimeishi katika kipindi cha timu bora ya wakati wote, na mimi nitakuja kuwasimulia wajukuu wangu panapomajaliwa.
Kila mwisho huwa ni mwanzo wa kingine
 
Kila jambo huwa lina mwisho wake. Nimeshuhudia timu bora ya wakati wote Barcelona ikitamba katika soka la kisasa. Timu zote imara zilinyanyaswa na Barcelona ya kuanzia mwaka 2008-2012. Kisha Barcelona ya 2013 - 2015.

Wote ni mashahidi jinsi Messi, Xavi na Iniesta walivyoipa timu hii mafanikio. Kisha ikaja MSN nayo ikatamba na kunyayasa vilabu vingi vya Ulaya kama sio Dunia.

Na sasa naona mwisho wao Umefika, ni kama nilivyoshuhudia Mandela akifikia mwisho wake hapa Duniani, ni kama nilivyoshuhudia Ukuta wa Berlin ukidondoshwa mwaka 1990, Ni kama tulivyoshuhudia mwisho wa maisha ya Papa John Paul wa II, Ni kama nilivyoshuhudia mwisho wa Barack Obama kuwa Rais wa Marekani na sasa nashuhudia mwisho wa Timu bora ya wakati wote, Barcelona ikifikia ukingoni. Ni ukweli unaouma laikini hatuna budi kuukubali.

Asante mungu nimeishi katika kipindi cha timu bora ya wakati wote, na mimi nitakuja kuwasimulia wajukuu wangu panapomajaliwa.
Nimekumbuka Andiko lko la Kushuhudia mwisho wa Barca...[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Shakira jana alikua anamuwaza mpenzi wake tu. Hakuna chochpte alichofanya. Kwenye ndio wakapotezwa kabisa, bora ya Messi kidogo alijitahidi.

Binafsi Madrid pamoja na Zidane ninawaona wakisumbua zaidi ya misimu minne ijayo kama Zidane hataingiliwa katika mipango yake.

Namuona Asensio akiingia katika ushindani wa Ballon d'Or tena bila ya kupepesa macho. Ni wazi wazi.
tuletee feedback mkuu
 
Kumbe we mtoto mdogo, fire ya Barcelona ni 2004 imeanza uko kina kluivert, kina Gaucho na wengine, Figo, De Lima na wengine, unasema ya xavi ???? Ya juzi
 
Wabongo na statistics zao za kumake😀😀😀😀

King messi ndie baba wa soka mtake msitake ukweli ndio huo
 
Back
Top Bottom