Kilo moja ya cocaine Brazil Dola ngp?Huo mziki hawawezi ni maponjoro wanaweza.
Mzigo hapo unasukwa watu wanakula ,ndo hao Europe.
Huyu mpumbavu anasema Brazil unapeleka nini?
Tuliofika huko wanavuta mpk petroli acha hata heroin, Pakistan, India kote huko ni heroin au petrol ya 500.
Cocaine huko hugusi.
Analeta upuuzi hapa
Hapo imeshuka bei.Kwa kweli, ndio maana wanao uza haya ma drugs wanapesa vibaya.. yaani kilo 1 ya heroin ni mil 18...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].... Tutafute koneksheni tu
Kama Brazil 1 kg Ni $ 4000 hivi ukija nayo tanzania ukauza 1 kg $ 20000😀 😀 😀 😀 TZ kuna Cocaine ya 50K mkuu
Ulijuaje kama ni cocaine ??Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Usisahau kuhusu addiction plus coca ni expensive once you can't afford unaangukia pinch za nyeupe aka heroin aka pepo na kifo juuMkuu tangu lni mleta information akawa kwnye matatizo?
Au wewe ndy unajaribu kumziba mdomo?
COCAINE Ni kweli ndy zinazouzwa Sana kwa sasa hapa mjini Daresalaam.
Especially wasanii na celebrities wengi wanatumia hiyo.
COCAINE inamfanya mtu atoe aibu na achangamke.
Na kwenye SEX NI BALAA KUBWA
Mfano wanamuziki wengi wa marekani na Dunia nzima wanatumia hyo especially wakiwa ktk stage
Mleta habari ameleta taarifa kueleza umma ana hoja asikilizwe
Ni kweli hilo Jambo lipo.
Mbona kama retailer hapati kitu, kama kanunua 1kg $10k akiuza 1g $10 mbona hapati faida yoyote, au mi ndio sijaelewa.Hapo imeshuka bei.
Ikiwa Mali mjini imeadimika 1 kg heroine unafika $10000.
Means muuzaji wa mtaani atauza 1 gram $ 10. Au $ 12 apate faida.
Hivi kilo moja anaibebaje, maana naskia wanameza.Kama Brazil 1 kg Ni $ 4000 hivi ukija nayo tanzania ukauza 1 kg $ 20000
Hupati faida?
Punda umemlipia $ 5000.
Kwann usiuze 1 gram $20 na kupata faida?
Pakistan 1 kg pure heroin Ni $ 2500.
Utauza tanzani $ 10000 hupati faida?
Haya umepata kilo 100 unauza mjini hupati faida?
Wacheni kupayuka vitu hamjuwi.
Sawa mkuu unapata faida. Good jobKama Brazil 1 kg Ni $ 4000 hivi ukija nayo tanzania ukauza 1 kg $ 20000
Hupati faida?
Punda umemlipia $ 5000.
Kwann usiuze 1 gram $20 na kupata faida?
Pakistan 1 kg pure heroin Ni $ 2500.
Utauza tanzani $ 10000 hupati faida?
Haya umepata kilo 100 unauza mjini hupati faida?
Wacheni kupayuka vitu hamjuwi.
Heroin ni uuaji kabisa mkuu. Nenda SA mateja ni wengi ni balaa wengine pisi kali, bongo tunasubiri. Sema bongo ndio bandari au dampo yaani mizigo inatua hapa then inashuka nchi za kusini, kule ndio consumers haswaa. Chakushukuru mungu bongo tunasheria kali sana dhidi ya madawa nenda sauz uone madawa yanavyouzwa nje ya police station utafurahi na roho yako.Marekani 1 kg heroine $60000.
Wakati COCAINE Ni $ 40000.
Why?
Sababu marekani Ni rahisi Zaidi kupata COCAINE kuliko heroine.
Mexico,
Brazil,
Prtorico,
Chile,
Peru,
Argentina..
Kwao Ni karibu zaidi kupeleka cocaine MAREKANI kuliko kuleta COCAINE Africa.
Heroin kwann imejaa huku kwetu Africa?
Sababu ndy njia kuu ya kusafisha kutoka Pakistan na kupeleka kote duniani.
Africa especially east Africa ndy GHALA LA HEROINE KWA SASA..
Why heroine ina demand kuliko other drugs , je sababu ni bei au stim?Heroin ni uuaji kabisa mkuu. Nenda SA mateja ni wengi ni balaa wengine pisi kali, bongo tunasubiri. Sema bongo ndio bandari au dampo yaani mizigo inatua hapa then inashuka nchi za kusini, kule ndio consumers haswaa. Chakushukuru mungu bongo tunasheria kali sana dhidi ya madawa nenda sauz uone madawa yanavyouzwa nje ya police station utafurahi na roho yako.
Heroin ndio dawa inayotembea sana ndio maana io on demand sana
Watu wanameza hadi 2 kg..Hivi kilo moja anaibebaje, maana naskia wanameza.
Kama ni kumeza, kilo moja mbona utakua mzigo mkubwa sana ..au density yake ni kubwa, means itachukua eneo dogo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiv madhara ya cocaine ni baada ya muda Gani?Mkuu tangu lni mleta information akawa kwnye matatizo?
Au wewe ndy unajaribu kumziba mdomo?
COCAINE Ni kweli ndy zinazouzwa Sana kwa sasa hapa mjini Daresalaam.
Especially wasanii na celebrities wengi wanatumia hiyo.
COCAINE inamfanya mtu atoe aibu na achangamke.
Na kwenye SEX NI BALAA KUBWA
Mfano wanamuziki wengi wa marekani na Dunia nzima wanatumia hyo especially wakiwa ktk stage
Mleta habari ameleta taarifa kueleza umma ana hoja asikilizwe
Ni kweli hilo Jambo lipo.
Tatizo la tanzania ni RUSHWA..Heroin ni uuaji kabisa mkuu. Nenda SA mateja ni wengi ni balaa wengine pisi kali, bongo tunasubiri. Sema bongo ndio bandari au dampo yaani mizigo inatua hapa then inashuka nchi za kusini, kule ndio consumers haswaa. Chakushukuru mungu bongo tunasheria kali sana dhidi ya madawa nenda sauz uone madawa yanavyouzwa nje ya police station utafurahi na roho yako.
Heroin ndio dawa inayotembea sana ndio maana io on demand sana
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanameza hadi 2 kg..
Kila mtu na weledi wake ktk Kazi zake.
Inategemea na dose yako unayotumia.Hiv madhara ya cocaine ni baada ya muda Gani?
Hiv ukivuta unajisikiaje mpaka iwe ngumu kutokaSawa mkuu..
Ila ukianza ni kama utani lakini gari likisha Waka kutoka huwezi tena,,
Kuwa makini mkuu,,
Sumu haionjwi.
Hiv inaleta nini?Inategemea na dose yako unayotumia.
Kuna watu wanatumia gram 5 kwa siku.
Mtu kama hyo Ni rahisi Sana kuwa teja kwa mda mfupi.