Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

Kilo moja ya cocaine Brazil Dola ngp?
 
Kwa kweli, ndio maana wanao uza haya ma drugs wanapesa vibaya.. yaani kilo 1 ya heroin ni mil 18...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].... Tutafute koneksheni tu
Hapo imeshuka bei.

Ikiwa Mali mjini imeadimika 1 kg heroine unafika $10000.

Means muuzaji wa mtaani atauza 1 gram $ 10. Au $ 12 apate faida.
 
😀 😀 😀 😀 TZ kuna Cocaine ya 50K mkuu
Kama Brazil 1 kg Ni $ 4000 hivi ukija nayo tanzania ukauza 1 kg $ 20000
Hupati faida?

Punda umemlipia $ 5000.

Kwann usiuze 1 gram $20 na kupata faida?

Pakistan 1 kg pure heroin Ni $ 2500.
Utauza tanzani $ 10000 hupati faida?


Haya umepata kilo 100 unauza mjini hupati faida?

Wacheni kupayuka vitu hamjuwi.
 
Marekani 1 kg heroine $60000.
Wakati COCAINE Ni $ 40000.

Why?
Sababu marekani Ni rahisi Zaidi kupata COCAINE kuliko heroine.
Mexico,
Brazil,
Prtorico,
Chile,
Peru,
Argentina..
Kwao Ni karibu zaidi kupeleka cocaine MAREKANI kuliko kuleta COCAINE Africa.

Heroin kwann imejaa huku kwetu Africa?

Sababu ndy njia kuu ya kusafisha kutoka Pakistan na kupeleka kote duniani.

Africa especially east Africa ndy GHALA LA HEROINE KWA SASA..
 
Ulijuaje kama ni cocaine ??
 
Usisahau kuhusu addiction plus coca ni expensive once you can't afford unaangukia pinch za nyeupe aka heroin aka pepo na kifo juu
 
Hivi kilo moja anaibebaje, maana naskia wanameza.

Kama ni kumeza, kilo moja mbona utakua mzigo mkubwa sana ..au density yake ni kubwa, means itachukua eneo dogo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu unapata faida. Good job
 
Heroin ni uuaji kabisa mkuu. Nenda SA mateja ni wengi ni balaa wengine pisi kali, bongo tunasubiri. Sema bongo ndio bandari au dampo yaani mizigo inatua hapa then inashuka nchi za kusini, kule ndio consumers haswaa. Chakushukuru mungu bongo tunasheria kali sana dhidi ya madawa nenda sauz uone madawa yanavyouzwa nje ya police station utafurahi na roho yako.
Heroin ndio dawa inayotembea sana ndio maana io on demand sana
 
Why heroine ina demand kuliko other drugs , je sababu ni bei au stim?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv madhara ya cocaine ni baada ya muda Gani?
 
Tatizo la tanzania ni RUSHWA..

Kama police watakuwa serious na hii biashara haitakuwapo tena.
 
Hiv madhara ya cocaine ni baada ya muda Gani?
Inategemea na dose yako unayotumia.

Kuna watu wanatumia gram 5 ya COCAINE kwa siku.

Mtu kama hyo Ni rahisi Sana kuwa teja kwa mda mfupi.

Heroine sio rahisi kutumia kiwango hicho cha madawa..
Utakufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…