Achana nalo jinga moja hilo iq ndogo za wengi wanaopelekwapelekwa.Mkuu tangu lni mleta information akawa kwnye matatizo?
Au wewe ndy unajaribu kumziba mdomo?
COCAINE Ni kweli ndy zinzouzwa Sana kwa sasa.
Especially wasanii na celebrities wengi wanatumia.
COCAINE inamfanya mtu atoe aibu na achangamke.
Na kwenye SEX NI BALAA KUBWA
Mfano wanamuziki wengi wa marekani na Dunia nzima wanatumia hyo especially wakiwa ktk stage
Mleta habari ameleta taarifa kueleza umma ana hoja asikilizwe
Ni kweli hilo Jambo lipo.
Sawa mkuuA
Achana nalo jinga moja hilo iq ndogo za wengi wanaopelekwapelekwa.
Toa taarifa kamiliSema hujui.
Polisi? 🤣 🤣 Haupo serious wewe. Alafu watawapima damu ama? Yani niwatengenezee mazingira ya rushwa?Umefanya makosa unge ita police faster wawakamate Ila hukufanya hvyo ukaamua kuja kuleta huku
Sipo kwa ajili ya kumripoti mtu, elewa, ninatoa na kushare observation ya kitu ambacho nimekiona na sio kawaida kwetu Tanzania.Toa taarifa kamili
Skunks ndo nini?Wapo wengi sana baada ya kusnifu wanapooza na skunks ili watulize mapigo ya moyo...
Kama huta pendekezwa kuwa mtu kwenye sehemu husika basi wewe hukuona na wala hujawahi weka malengo kwenye hayo maeneo... Diaspora tu ndio walio weza kuwaza na kupaza sauti zao kwani wewe Zemanda ulikua wapi!?Ila hiki kizazi cha miaka hii sijui kama kitatoboa utu uzima. Maana vijana na mabinti wa sasa maisha wanayoishi huwa najiuliza wanafuture gani hapo baadae.
Kubwia cocaine ni show off kumbe? Naendelea kujifunza.Vijana 12 wanaochangishana kununua hennessy hawawezi mudu gharama za Cocaine. Dola elfu 2 - 4 wanazolipwa kwa kusafirisha ngada hazitoshi kufanya showoff mjini na kubwia cocaine
Unatakujua shule kuhusu nini!? Hapa marijuana au! Powered shit💡Skunks ndo nini?
Unajuwa gram moja ya COCAINE Ni sh ngp za kitanzania bei yake?Vijana 12 wanaochangishana kununua hennessy hawawezi mudu gharama za Cocaine. Dola elfu 2 - 4 wanazolipwa kwa kusafirisha ngada hazitoshi kufanya showoff mjini na kubwia cocaine
Kuleta huku ni vizuri ili Dunia nzima na watanzania wote kwa ujumla wafahamu kinachotendeka.Umefanya makosa unge ita police faster wawakamate Ila hukufanya hvyo ukaamua kuja kuleta huku
Wala hakuna show off yeyote.Kubwia cocaine ni show off kumbe? Naendelea kujifunza.
Mtu anajuaje ni cocaine kweli au ni kitu kingine?Wala hakuna show off yeyote.
Gram moja cocaine Ni sh 50000 ya tanzania.
Ambayo mtu mmoja anaweza akavuta siku 3 au week kutegemea na dose yake ya uteja.
.hapo Pana show off gani.
Unajuwaje kama huu Ni unga wa ngano na huu Ni sembe na huu unga wa mtama.Mtu anajuaje ni cocaine kweli au ni kitu kingine?