DAVID PALMER
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 318
- 1,597
Kisa cha jana
Huku mtaani kwetu bwana kuna nyumba fulani inafanyiwa finishing. Hakuna aliyehamia bado.
So wamemaliza plasta so wanataka anza skimming na rangi. Wameleta ndoo kibao za rangi kwa ajili ya kuanza kazi. Nyumba ina geti so vifaa vinakaa ndani na fundi pia mmoja hulala humo.
So anaelala alitoka so wazee wa kazi wakaja kumuotea nadhan walimsomea raman ni mzee wa gambe.
Kinachonishangaza ni kitu walichoiba[emoji1787].
Eti wamekuta zile ndoo zina rangi, wao wana shida na ndoo.. so wamemwaga rangi kadhaa wakasepa na ndoo.
Rangi zile nyingine zina kost 130k za nje na zingine ni 32k zile za rangi. Lkn wameiba ndoo ya 2k.
Huku mtaani kwetu bwana kuna nyumba fulani inafanyiwa finishing. Hakuna aliyehamia bado.
So wamemaliza plasta so wanataka anza skimming na rangi. Wameleta ndoo kibao za rangi kwa ajili ya kuanza kazi. Nyumba ina geti so vifaa vinakaa ndani na fundi pia mmoja hulala humo.
So anaelala alitoka so wazee wa kazi wakaja kumuotea nadhan walimsomea raman ni mzee wa gambe.
Kinachonishangaza ni kitu walichoiba[emoji1787].
Eti wamekuta zile ndoo zina rangi, wao wana shida na ndoo.. so wamemwaga rangi kadhaa wakasepa na ndoo.
Rangi zile nyingine zina kost 130k za nje na zingine ni 32k zile za rangi. Lkn wameiba ndoo ya 2k.