Nimeshuhudia wizi wa ajabu huku kwetu

DAVID PALMER

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2020
Posts
318
Reaction score
1,597
Kisa cha jana

Huku mtaani kwetu bwana kuna nyumba fulani inafanyiwa finishing. Hakuna aliyehamia bado.

So wamemaliza plasta so wanataka anza skimming na rangi. Wameleta ndoo kibao za rangi kwa ajili ya kuanza kazi. Nyumba ina geti so vifaa vinakaa ndani na fundi pia mmoja hulala humo.

So anaelala alitoka so wazee wa kazi wakaja kumuotea nadhan walimsomea raman ni mzee wa gambe.

Kinachonishangaza ni kitu walichoiba[emoji1787].

Eti wamekuta zile ndoo zina rangi, wao wana shida na ndoo.. so wamemwaga rangi kadhaa wakasepa na ndoo.

Rangi zile nyingine zina kost 130k za nje na zingine ni 32k zile za rangi. Lkn wameiba ndoo ya 2k.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] sijui wametumia hesabu ya darasa la ngapi
 
Kwa hiyo soo
Ulitaka soo waibe na rangi soo?
Ulijuaje soo kwamba soo wana shida na rangi soo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…