Usiwalaumu sana eti ndoo ikiwa na rangi ni nzito atiHao wezi ni wapumbavu sana, bora wangeiba rangi tu ijulikane tu ila kumwaga inaonyesha hilo eneo unaloishi watu bado wanaishi maisha ya old stone age
SureBora wangeiba rangi waache ndoo
Ushamba sana huoUsiwalaumu sana eti ndoo ikiwa na rangi ni nzito ati
kariakooUnapatikana wapi bosi??
Duh...hii fix sasa.Hizo ndoo ni dili kama ni sehemu ya ununuzi wa mazao hutumika kupimia mahindi, mpunga nk. Ndoo moja huuzwa hadi laki moja nakidogo.
Aina hii ya wezi huwa wanaitwa "amateur thieves". Hawa wanaweza kuingia ndani nyumbani kwako halafu wakaiba kiatu kimoja cha mguu wa kushoto, wakakuachia kingine kile cha mguu wa kulia. Wao kuiba ni aina ya mchezo fulani wa burudani kama vile mtu kucheza mpira au draftKisa cha jana
Huku mtaani kwetu bwana kuna nyumba fulani inafanyiwa finishing. Hakuna aliyehamia bado.
So wamemaliza plasta so wanataka anza skimming na rangi. Wameleta ndoo kibao za rangi kwa ajili ya kuanza kazi. Nyumba ina geti so vifaa vinakaa ndani na fundi pia mmoja hulala humo.
So anaelala alitoka so wazee wa kazi wakaja kumuotea nadhan walimsomea raman ni mzee wa gambe.
Kinachonishangaza ni kitu walichoiba[emoji1787].
Eti wamekuta zile ndoo zina rangi, wao wana shida na ndoo.. so wamemwaga rangi kadhaa wakasepa na ndoo.
Rangi zile nyingine zina kost 130k za nje na zingine ni 32k zile za rangi. Lkn wameiba ndoo ya 2k.
Aina hii ya wezi huwa wanaitwa "amateur thieves". Hawa wanaweza kuingia ndani nyumbani kwako halafu wakaiba kiatu kimoja cha mguu wa kushoto, wakakuachia kingine kile cha mguu wa kulia. Wao kuiba ni aina ya mchezo fulani wa burudani kama vile mtu kucheza mpira au draft
🤣 🤣 🤣 🤣854 at work
umeniacha hapo mkuu..una maana gani854 at work
Mkuu kula like[emoji106]Kwa hiyo soo
Ulitaka soo waibe na rangi soo?
Ulijuaje soo kwamba soo wana shida na rangi soo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Ndoo ikiwa na rangi iuzwe 32k alafu ikiwa tupu iuzwe 100k sasa watengeneza rangi si wangeacha kuuza ranga wauze ndooDuh...hii fix sasa.