johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kama taarifa hizi ni za kweli basi bungeni kutakuwa na mabadiliko makubwa na hii italeta afya kwenye bunge la 12.
Kwamba wabunge wote waliokaa bungeni kwa tiketi ya CCM kwa miaka 10 au zaidi uwezekano wa kupitishwa na CCM ya chama ni 5% tu na 95% ni kukatwa.
Wenyewe wanasema eti "10 Yatosha"
Maendeleo hayana vyama
cc: Mzee Mgaya, Pascal Mayalla
Kwamba wabunge wote waliokaa bungeni kwa tiketi ya CCM kwa miaka 10 au zaidi uwezekano wa kupitishwa na CCM ya chama ni 5% tu na 95% ni kukatwa.
Wenyewe wanasema eti "10 Yatosha"
Maendeleo hayana vyama
cc: Mzee Mgaya, Pascal Mayalla