Tetesi: Nimesikia Lumumba wanasema kwa wabunge "10 Yatosha"

Tetesi: Nimesikia Lumumba wanasema kwa wabunge "10 Yatosha"

Mbunge aliekaa Bungeni kwa muda mrefu zaid ni Dr Mary Nagu ambae amekaa kwa vipindi vinne (Miaka 20)

Na Mtu aliekaa Bungeni kwa Muda mrefu zaid ni Mtemi Andrew Chenge ambae ameingia kwa mara ya kwanza 1993 kama Mwanasheria Mkuu hadi 2005 ambapo aliendelea kama Mbunge wa Bariadi hadi leo, so ana miaka 27 mfululizo Bungeni na huenda akaendelea kama Demokrasia itaachwa iamue
Kama Magu hapendi Mafisadi Kiukweli kweli basi mtu wa kwanza kukata anatakiwa awe Chenge. Inawezekana kabisa jamaa akawa ni fisadi number moja na mkubwa kwenye historia ya nchi yetu. Akiwa AG ameshiriki kwenye mikataba mingi ya kifisadi.
 
Kama Magu hapendi Mafisadi Kiukweli kweli basi mtu wa kwanza kukata anatakiwa awe Chenge. Inawezekana kabisa jamaa akawa ni fisadi number moja na mkubwa kwenye historia ya nchi yetu. Akiwa AG ameshiriki kwenye mikataba mingi ya kifisadi.
Amewahi kushtakiwa kwa ufisadi?
 
Nancy Pelosi ana miaka mingapi?Kwanini wamarekani wanamwamini zaidi? Sio tu kuwa mbunge bado ni spika.
Experience is the best teacher.
Sisi hatuwaigi Marekani.........Hata Corona tumeifurusha kivyetu hatukuiga!
 
Pesa wanazopata kwa mtu mwenye mipango miaka 10 umaskini kwisha ila wanakalia kununua magari ya kifahari na mwishoe wanakosa hata pesa ya mafuta.
 
Tunafahamu kuwa wapo wafanyabiashara wanatafuta ubunge ili walinde mali zao,ila wapo ambao wao ubunge kwao ni lazima kwa kuwa hawana ujanja wa kuzungusha pesa izae pesa ili hasiwe tegemezi wa ubunge na hawa ndio watakaopishana kauli na mwenyekiti.
 
Vijana Ni taifa la kesho... Lakini hiyo kesho ya vijana Kila siku inakuwa kesho kwa sababu wazee Hadi kesho wanataka kuwepo ktk madaraka...

Naunga mkono hoja % zote.
 
Sio kweli kwa kifupi ccm wanataka kulidhibiti bunge huo mpango unaousema ulikuwa unawahusu wabunge wa viti maalumu ndio maana umewaona wengi wamejitosa kuwania majimbo
 
Back
Top Bottom