Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
10 yatosha.
Hapo Chadema Grace Kihwelu ana miaka 20 bungeni sema tu ametangaza kustaafu!Hata kwenye rasimu ya Warioba maoni yetu sisi wananchi ilikuwa mwisho wa ubunge iwe ni miaka 10, lakini wabunge wa ccm wakachezea rasimu ile, na kulazimisha eti mbunge aendelee kukaa madarakani mpaka wananchi wachoke. Kama wameamua hivyo hata ile tabia ya kupitisha sheria za kipuuzi itapungua bungeni.
Hahahaaaa...... Ufipa hamjambo bwashee?!!10 yatosha.
Aliyenena hayo ni mataga kuliko wewe.
Hapo Chadema Grace Kihwelu ana miaka 20 bungeni sema tu ametangaza kustaafu!
Weka wamarekani!
Hapa mataga umeshapanic 🤣🤣🤣Shughulikia Ya Kunya land kwanza