GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Labda Wewe ndiyo ulikuwa hujui.Hujui kama ni mke na mme hao?
Unashida gani wewe kwani si Rais ndio asiye na ofisini kwa sasa amestaafu..ila cheo hicho ni chake kweliDakika chache zilizopita Rais Samia ametoka kumtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa Rais badala ya kumtaja kama Rais Mstaafu katika Utambulisho wake kabla ya kuanza kutoa Hotuba yake. Kama kawaida najua kuna wale Watetezi hovyo watakuja Kubisha hivyo naomba warejee matangazo ya TBC1 ili waweze Kujiridhisha.
hata hivyo GENTAMYCINE wala sijamshangaa sana Rais Samia alipomtaja Kikwete kama Rais badala ya Rais Mstaafu.
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE🧐🧐
Purely talented and charismatic fella 🧐🧐
Una Akili sawa sawa Kichwani? Yaani Yeye ndiyo Rais Kikatiba lakini kwa kuchanganya Madesa kamtaja Kikwete kuwa Rais. Kwahiyo na Wewe Kichwa tupu unakubali Kikwete (ambaye ni Rais Mstaafu) kuitwa Mheshimiwa Rais wakati Kikwete sasa ni Mstaafu?Unashida gani wewe kwani si Rais ndio asiye na ofisini kwa sasa amestaafu..ila cheo hicho ni chake kweli
Jamaa anaonekana kichwani hakuna kitu,hajui tofauti iliyopo kati ya Rais mstaafu na aliyepo madarakani.Bilashaka akiambiwa na waziri mkuu kua nenda kamuone Rais,ataenda kwa Kikwete Chalinze,akiamini bado ni Rais,na kumwambia shida yake.Una Akili sawa sawa Kichwani? Yaani Yeye ndiyo Rais Kikatiba lakini kwa kuchanganya Madesa kamtaja Kikwete kuwa Rais. Kwahiyo na Wewe Kichwa tupu unakubali Kikwete (ambaye ni Rais Mstaafu) kuitwa Mheshimiwa Rais wakati Kikwete sasa ni Mstaafu?
Aisee!Dakika chache zilizopita Rais Samia ametoka kumtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa Rais badala ya kumtaja kama Rais Mstaafu katika Utambulisho wake kabla ya kuanza kutoa Hotuba yake. Kama kawaida najua kuna wale Watetezi hovyo watakuja Kubisha hivyo naomba warejee matangazo ya TBC1 ili waweze Kujiridhisha.
hata hivyo GENTAMYCINE wala sijamshangaa sana Rais Samia alipomtaja Kikwete kama Rais badala ya Rais Mstaafu.
Hujamwelewa tu, ila yuko sahihi. Samia ni alama ya rais, anapokea maelekezo ya namna nchi inavyotakiwa kwenda kutoka kwa kikwete.Una Akili sawa sawa Kichwani? Yaani Yeye ndiyo Rais Kikatiba lakini kwa kuchanganya Madesa kamtaja Kikwete kuwa Rais. Kwahiyo na Wewe Kichwa tupu unakubali Kikwete (ambaye ni Rais Mstaafu) kuitwa Mheshimiwa Rais wakati Kikwete sasa ni Mstaafu?
Badili jina la ID yako na ujiite hovyo hovyo brain sawa? Nilijua tu kuwa katika huu Uzi kuna Watetezi wake Majuha mtakuja.Hujamwelewa tu, ila yuko sahihi. Samia ni alama ya rais, anapokea maelekezo ya namna nchi inavyotakiwa kwenda kutoka kwa kikwete.
Asubuhi na mapema utawakuta wazee wa eagle wavaa mawani mlangoni kwako wanakunywa gahawa uwaeleze vizuriHujui kama ni mke na mme hao?
Acha bhana..Hujui kama ni mke na mme hao?
Kwa kidhungu za leti presidento yaani aliyekuwa.Dakika chache zilizopita Rais Samia ametoka kumtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa Rais badala ya kumtaja kama Rais Mstaafu katika Utambulisho wake kabla ya kuanza kutoa Hotuba yake. Kama kawaida najua kuna wale Watetezi hovyo watakuja Kubisha hivyo naomba warejee matangazo ya TBC1 ili waweze Kujiridhisha.
hata hivyo GENTAMYCINE wala sijamshangaa sana Rais Samia alipomtaja Kikwete kama Rais badala ya Rais Mstaafu.
Hovyoooooo......!!Kwa kidhungu za leti presidento yaani aliyekuwa.