Nimesikia / Nimemsikia vibaya peke yangu au?

Nimesikia / Nimemsikia vibaya peke yangu au?

Dakika chache zilizopita Rais Samia ametoka kumtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa Rais badala ya kumtaja kama Rais Mstaafu katika Utambulisho wake kabla ya kuanza kutoa Hotuba yake. Kama kawaida najua kuna wale Watetezi hovyo watakuja Kubisha hivyo naomba warejee matangazo ya TBC1 ili waweze Kujiridhisha.

hata hivyo GENTAMYCINE wala sijamshangaa sana Rais Samia alipomtaja Kikwete kama Rais badala ya Rais Mstaafu.
Jamani! SSH ni mwanamke! Lazima pawepo wa kumpelekea moto!
 
Dakika chache zilizopita Rais Samia ametoka kumtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa Rais badala ya kumtaja kama Rais Mstaafu katika Utambulisho wake kabla ya kuanza kutoa Hotuba yake. Kama kawaida najua kuna wale Watetezi hovyo watakuja Kubisha hivyo naomba warejee matangazo ya TBC1 ili waweze Kujiridhisha.

hata hivyo GENTAMYCINE wala sijamshangaa sana Rais Samia alipomtaja Kikwete kama Rais badala ya Rais Mstaafu.
Kama anamsaidia kuongoza nchi kwanini amwite Rais Mstaafu wakati mwenzetu yuko naye?
 
Kuna Watu mnajiachia tu ku comment mtakavyo, ukitafutwa na wenyewe utakuwa peke yako huko kila Mwana jf yuko kwake.
 
Mifumo ya nchi ingeruhusu ningependekeza agombee tena Mh Rais Jk
Ili afanye mauaji na utekaji? Alikuwa mwasisi wa mauaji, kumbuka mauaji ya yule mwandishi wa habari kule iringa, pia utekaji na utesaji wa Dr. Ulimboka
 
Dakika chache zilizopita Rais Samia ametoka kumtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa Rais badala ya kumtaja kama Rais Mstaafu katika Utambulisho wake kabla ya kuanza kutoa Hotuba yake. Kama kawaida najua kuna wale Watetezi hovyo watakuja Kubisha hivyo naomba warejee matangazo ya TBC1 ili waweze Kujiridhisha.

hata hivyo GENTAMYCINE wala sijamshangaa sana Rais Samia alipomtaja Kikwete kama Rais badala ya Rais Mstaafu.
Acha kufuatilia mambo ya kipuuzi, inawezekana ameteleza ulimi. Mwanaume mzima na mapumbu yako huu ni uzi? Mnaitumia JF vibaya
 
Ili afanye mauaji na utekaji? Alikuwa mwasisi wa mauaji, kumbuka mauaji ya yule mwandishi wa habari kule iringa, pia utekaji na utesaji wa Dr. Ulimboka
Awamu gani haijawa na mauaji!?
 
Ili afanye mauaji na utekaji? Alikuwa mwasisi wa mauaji, kumbuka mauaji ya yule mwandishi wa habari kule iringa, pia utekaji na utesaji wa Dr. Ulimboka
Bomu la Olasiti maandamano ya CHADEMA watu walipoteza maisha.
 
Dakika chache zilizopita Rais Samia ametoka kumtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa Rais badala ya kumtaja kama Rais Mstaafu katika Utambulisho wake kabla ya kuanza kutoa Hotuba yake. Kama kawaida najua kuna wale Watetezi hovyo watakuja Kubisha hivyo naomba warejee matangazo ya TBC1 ili waweze Kujiridhisha.

hata hivyo GENTAMYCINE wala sijamshangaa sana Rais Samia alipomtaja Kikwete kama Rais badala ya Rais Mstaafu.
Kashikilia remote huyo 😄

Ova
 
Back
Top Bottom