Nimesikia / Nimemsikia vibaya peke yangu au?

Nimesikia / Nimemsikia vibaya peke yangu au?

Awamu hii na ya JK kuna tofauti gani kwani?
Ya JK iliajiri sana vijana
Ilitoa sana mikopo ya elimu
Sekta binafsi ilikuwa na kuajiri vizuri
Uhusiano kimataifa ulikuwa mzuri
China Xi alikuja hapa
Obama alikuja hapa
Bush ndio kabisa kama kwake
Clinton alikuwa anakuja kupumzika Arusha n.k
 
Ya JK iliajiri sana vijana
Ilitoa sana mikopo ya elimu
Sekta binafsi ilikuwa na kuajiri vizuri
Uhusiano kimataifa ulikuwa mzuri
China Xi alikuja hapa
Obama alikuja hapa
Bush ndio kabisa kama kwake
Clinton alikuwa anakuja kupumzika Arusha n.k
Nakubaliana na wewe yote uliyoandika. Ila UFISADI na NEPOTISM vilishamiri sana kwenye awamu yake.
 
Nakubaliana na wewe yote uliyoandika. Ila UFISADI na NEPOTISM vilishamiri sana kwenye awamu yake.
Ufisadi umekuwepo mda wote naweza sema kuimaliza imekuwa ngumu labda kutokana na jamii kutowajibika kwa pamoja
Nepotism niliona zaidi wakati wa Magu kipindi Cha kikwete wakwere wale utawapa favour vipi maana wengi hawako interested na siasa na uongozi labda shukuru kawambwa pekee
 
You're a certified Moron.
Mwanzoni nilikuchukulia kama mwenye hekima na busara. Tangu nikufahamu wewe ni nani, ninakuchukulia ni miongoni mwa wanaotudhulumu walipa kodi wa nchi, tozo kila huduma lakini huduma duni kila sekta.

Halafu unatupigia kelele za nchi inafunguka. Labda kama inafungukia kwenu walamba asali.
 
Back
Top Bottom