Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Jamani! SSH ni mwanamke! Lazima pawepo wa kumpelekea moto!Dakika chache zilizopita Rais Samia ametoka kumtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa Rais badala ya kumtaja kama Rais Mstaafu katika Utambulisho wake kabla ya kuanza kutoa Hotuba yake. Kama kawaida najua kuna wale Watetezi hovyo watakuja Kubisha hivyo naomba warejee matangazo ya TBC1 ili waweze Kujiridhisha.
hata hivyo GENTAMYCINE wala sijamshangaa sana Rais Samia alipomtaja Kikwete kama Rais badala ya Rais Mstaafu.
Huko kutoshangaa kwako ndipo jibu lilipohata hivyo GENTAMYCINE wala sijamshangaa sana Rais Samia alipomtaja Kikwete kama Rais badala ya Rais Mstaafu.
Here I am, stay away you idiot. Let's tell the truth.Badili jina la ID yako na ujiite hovyo hovyo brain sawa? Nilijua tu kuwa katika huu Uzi kuna Watetezi wake Majuha mtakuja.
You're a certified Moron.Here I am, stay away you idiot. Let's tell the truth.
Kama anamsaidia kuongoza nchi kwanini amwite Rais Mstaafu wakati mwenzetu yuko naye?Dakika chache zilizopita Rais Samia ametoka kumtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa Rais badala ya kumtaja kama Rais Mstaafu katika Utambulisho wake kabla ya kuanza kutoa Hotuba yake. Kama kawaida najua kuna wale Watetezi hovyo watakuja Kubisha hivyo naomba warejee matangazo ya TBC1 ili waweze Kujiridhisha.
hata hivyo GENTAMYCINE wala sijamshangaa sana Rais Samia alipomtaja Kikwete kama Rais badala ya Rais Mstaafu.
KumbafMifumo ya nchi ingeruhusu ningependekeza agombee tena Mh Rais Jk
Idiot.Kuna Watu mnajiachia tu ku comment mtakavyo, ukitafutwa na wenyewe utakuwa peke yako huko kila Mwana jf yuko kwake.
Rais hatakiwi Kukosea hasa katika Mawasiliano / Hotuba. Tukisema kuwa hatoshei mnatuchukia na kutaka kutuwahisha Makaburini.
Ili afanye mauaji na utekaji? Alikuwa mwasisi wa mauaji, kumbuka mauaji ya yule mwandishi wa habari kule iringa, pia utekaji na utesaji wa Dr. UlimbokaMifumo ya nchi ingeruhusu ningependekeza agombee tena Mh Rais Jk
Hizi habari wengine zitatuponzaHujui kama ni mke na mme hao?
Acha kufuatilia mambo ya kipuuzi, inawezekana ameteleza ulimi. Mwanaume mzima na mapumbu yako huu ni uzi? Mnaitumia JF vibayaDakika chache zilizopita Rais Samia ametoka kumtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa Rais badala ya kumtaja kama Rais Mstaafu katika Utambulisho wake kabla ya kuanza kutoa Hotuba yake. Kama kawaida najua kuna wale Watetezi hovyo watakuja Kubisha hivyo naomba warejee matangazo ya TBC1 ili waweze Kujiridhisha.
hata hivyo GENTAMYCINE wala sijamshangaa sana Rais Samia alipomtaja Kikwete kama Rais badala ya Rais Mstaafu.
Idiot.
Awamu gani haijawa na mauaji!?Ili afanye mauaji na utekaji? Alikuwa mwasisi wa mauaji, kumbuka mauaji ya yule mwandishi wa habari kule iringa, pia utekaji na utesaji wa Dr. Ulimboka
Awamu hii na ya JK kuna tofauti gani kwani?Mifumo ya nchi ingeruhusu ningependekeza agombee tena Mh Rais Jk
Tuwe na heshima kidogoHujui kama ni mke na mme hao?
Bomu la Olasiti maandamano ya CHADEMA watu walipoteza maisha.Ili afanye mauaji na utekaji? Alikuwa mwasisi wa mauaji, kumbuka mauaji ya yule mwandishi wa habari kule iringa, pia utekaji na utesaji wa Dr. Ulimboka
Kashikilia remote huyo 😄Dakika chache zilizopita Rais Samia ametoka kumtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa Rais badala ya kumtaja kama Rais Mstaafu katika Utambulisho wake kabla ya kuanza kutoa Hotuba yake. Kama kawaida najua kuna wale Watetezi hovyo watakuja Kubisha hivyo naomba warejee matangazo ya TBC1 ili waweze Kujiridhisha.
hata hivyo GENTAMYCINE wala sijamshangaa sana Rais Samia alipomtaja Kikwete kama Rais badala ya Rais Mstaafu.