Nimesikia wrong sex inaleta mikosi maishani kwanini?

Nimesikia wrong sex inaleta mikosi maishani kwanini?

Mikosi na baraka vyote vipo ila kitu cha kushangaza ni kwamba mikosi au baraka zinazotokana na ngono za muda mfupi huwa hazidumu.

Wacha nielezee hapa kidogo...

Kiasili watu wako wa aina mbili duniani, kuna watu wamezaliwa wakiwa complete katika mitetemo ya mfumo nyota unaomuunganisha mtu kutoka ulimwengu wa juu wa kiroho na ulimwengu huu wa damu na nyama na pia wapo ambao hawako complete.

Sasa hawa ambao wako complete huwa wanabehave like a powerbank na hawa ambao hawako complete huwa wanabehave like a mobile phone.

Sasa ikitokea wewe mwanaume uko kwenye kundi la watu ambao mitetemo yao ya mfumo nyota iko complete na ukakutana na mwanamke ambae mfumo nyota wake hauko complete basi moja kwa moja mnaposhiriki hilo tendo yeye anakua simu ambayo haina chaji kwa asilimia kadhaa kutegemeana na kiwango chake chakutokua complete na wewe ndio powerbank so mitetemo inakua inahama kutoka kwako kwenda kujaza ile mitetemo iliyopungua kwa huyo mwanamke na kumfanya awe complete kwa muda huo na wewe unapunguza mitetemo yako.

Kwahiyo mkimaliza tendo utaona hata kama ulikua na deal ambalo ulitarajia kuliclose siku hiyo halitofanikiwa ila kwa upande wake yeye hiyo siku mambo yake yatakua mepesi sana kwenye kila jambo atakalofanya.

Na hii si kwa wanaume tu bali pia inatokea kwa wanawake, mwanamke aliyecomplete akikutana na mwanaume ambae hayuko complete anamuhamishia mitetemo na mwanaume huyu baada ya kulala na huyo mwanamke atajikuta mambo yake yanakwenda vizuri sana hiyo siku na ndio unakuta wengi wanasema mwanamke yule ananyota ya pesa kwani ukilala nae tu lazima mambo yako yakunyookee.

Na wale ambao wamelala na wanawake wasiocomplete utaskia mwanamke yule ananuksi ukilala nae tu lazima mambo yako yavurugike.

Kwahiyo Sasa kuhitimisha ni kwamba kulala na wanawake wengi inategemea unakutana na wanawake wa aina gani, kama ukikutana na wanawake ambao wako complete mambo yako yatakunyookea sana ila ukiwa unakutana na wanawake ambao sio complete kuwa na hakika kwamba kila kitu chako kitaenda tofauti na ulivyotarajia.

Ila kumbuka...

Nimekwambia nuksi za hivo huwa hazidumu ila kama ukiwa na mke anaetokea kwenye huo upande basi ndio huwa mafanikio mnayasikia kwenye bomba.

Najua kuna watu hawaamini mambo haya kwasababu kikawaida mwanadamu ameumbwa kwa pande mbili ambazo ni upande wa kiroho na upande wa damu na nyama sasa mambo mengi yanayotokea kwenye upande wa kiroho huwa hayana prove ya moja kwa moja Kwahiyo huwa ni ngumu sana kuwaelewesha watu waelewe.

Ila hata kama huamini haya mambo lakini najua umeshawahi kumuona au kumskia jamaa au dada fulani ambae kabla hajaolewa au kuoa alikua na maisha mazuri sana ila baada ya kuoana na mtu fulani mambo yote yahusuyo uchumi yamevurugika na kuanza kusota upya. Sasa hii inatokana na hiyo kitu.

Kwasababu...

Watu wengi ambao wako complete wanaweza kuanzisha mahusiano na mtu yeyote ila hii ni kwa upande wa wanawake kwasababu wanawake huwa sio provider kwenye familia ila mwanaume uliyecompkete ukienda kuoa mwanamke ambae hayuko complete kila mkipiga game mitetemo yako itakua inabaki kwake na wewe utakua unaenda kwenye mishe zako ukiwa pungufu so hautoona urahisi wa mambo kama ulivyokua singo Kwahiyo utashindwa kuprovide vizuri kwa familia yako.

Ila mwanaume ambae hayuko complete akioa mwanamke ambae yuko complete hata kama alikua analala chini na huyo mwanamke akiwa na biashara zake zilizosimama, huyu mwanaume uchumi wake utaanza kupanda na mwanamke utaanza kupungua na wakati mwingine kama ni duka utakuta mnashauriana alifunge kwani wewe mwanaume uchumi wako uko sawa so unaweza kumpatia chochote anachotaka na kweli unakuta mwanamke anafunga kiduka chake.

Anyway, hii ni topic ndefu nayo, wacha siku niandae uzi ili wale watu wa rohoni wajifunze kitu...

But na kwa wale ambao hawapo complete...

The good thing ni kwamba katika huu upungufu kila mtu anamtu wake ambae wakikutana tu wanatengeneza utimilifu Kwahiyo sio kila mwanamke unaemuona aliumbwa kwaajiri yako so be carefully.
 
Hiiv hii habari ya kua ukifanya unapenda sana ngono unajiletea mikosi maishani yani mambo yako ya utafutaji yanakua hayaendi vizuri ni kweli? Na kama kweli kwanini? Humu ndani yupo imewahi mtokea?
Nataka kuwa sahihi katika utafutaji sitaki ndumba Asanteni
Ngono ni tendo linaloandamana na uchafu uitwao janaba.. Sasa ukingonoka hovyo utakuwa na uchafu kiasi gani? Waangalie wale wanaoitwa majabana maisha yao yalivyo
 
MKuu hizi elimu ni pana Sana hata Nikijaribu kuelezea Nitakuwa Naacha vitu Vingi Mno..

Kiufupi Sex ikifanywa kama wanavyofanya Vijana sasa Hivi leo yuko na Huyu kesho yuko na Yule Ni hatari sana na hata hupeleka Kupoteza mwelekeo wa mambo yake..

Sex ni lango La kuingia kwenye Malimwengu mbali mbali na zamani walikuwa Wakifanya Hivyo Kwa Wahindu na Kwa Wabudha (Japo mpaka sasa wanafanya Ila sio kwenye Masinagogi yao kama zamani)

Umewahi kusikia Maneno kama Sexual alchemy, Au Sexual Transmutation (Au Sexual energy Transmutation)..
Au umewahi kusikia kuhusu YingYang na Tao Practise?

View attachment 3104812

Mnapokuwa Mnafanya Mapenz kadri mnavyozidi kuzama Intimacily ndo mnavyozidi kubadilishana Energy au msipobadilishana bhasi mtashare energy sasa hapa ndo kuna shida unaweza ukachukua Energy za Wadada Zaidi ya Kumi tofauti kwa siku moja na Kila Energy ina Frequency yake na ina mambo yake mwingine ana mikosi unabeba na mwingine ana shida unabeba..

Mwisho wa siku unajikuta hata weww mwenyew hujielewi Akili.yako Inakumbwa Na stress ambazo hujui hata zinatoka nini na ndo maana Watu Husema kuwa huenda Hizo ni Kubadilishana kwa roho chafu (Demon Transfer)..

Kuna Vingi sijavielezea Hapo Vingi sana naviacha blank.. na hayo Ni pamoja na Kumwaga Semen na Vingine...


Tuhamie kwenye Sayansi..

Unapofanya mapenz na mwanaume wewe mwanamke una Micro DNA information iliyojaa taarifa na karma na Mapito ya Huyo mwanaume..
Kitalaamu Transfer hii huitwa male microchimerism. (Ingawaje bado ipo Kwenye Discussion)..

Japo Mpaka Sasa Inakubalika kwa asilimia chache kwamba Mkifanya mapenzi wote mnaachiana some sort of Micro Information ambazo ndo huitwa Microchimerism..

Kwa sasa Microchimerism au Kuhamisha DNA kwenda kwa mwingine inakuwa Regarded sana na imekubalika kwa reseadch ni Pregnancy Microchimerism..

Kwamba mwanamke akibeba mimba ya mwanaume bhasi baadhi ya DNA kutoka kwa Mwanaume Humwingia na Hazitoki Mpaka anapokufa ..
Umejibu kitaalamu 👍

Swali langu, ukitumia protected sex kuna tofauti na kwenda kavu? Au connection ipo tu na je dry humping hamgusanishi?
 
Hiiv hii habari ya kua ukifanya unapenda sana ngono unajiletea mikosi maishani yani mambo yako ya utafutaji yanakua hayaendi vizuri ni kweli? Na kama kweli kwanini? Humu ndani yupo imewahi mtokea?
Nataka kuwa sahihi katika utafutaji sitaki ndumba Asanteni
Cc Pdiddy,Diamond.
 
Umejibu kitaalamu 👍

Swali langu, ukitumia protected sex kuna tofauti na kwenda kavu? Au connection ipo tu na je dry humping hamgusanishi?
Kuhusu Kiroho (Spiritually) tatizo sio Kinga au Kutokuwa na Kinga Tatizo ni ile intimacy yaani Ukizama kwemyr Mapenz na yeye akazama Mnafanya Energy interconnection na Ndo maana Mnaweza wote kufurahia mnachokifanya kwa pamoja..

Na hata nikiwauliza baada ya kufanya mlikuwa Mnafurahia Nini na kwanini Mlikuwa Hivyo hamuwezi kunipa Jibu ni Ile interconnection Ndyo mbaya
 
Hiiv hii habari ya kua ukifanya unapenda sana ngono unajiletea mikosi maishani yani mambo yako ya utafutaji yanakua hayaendi vizuri ni kweli? Na kama kweli kwanini? Humu ndani yupo imewahi mtokea?
Nataka kuwa sahihi katika utafutaji sitaki ndumba Asanteni
Niulize mimi?
 
Swali langu, ukitumia protected sex kuna tofauti na kwenda kavu? Au connection ipo tu na je dry humping hamgusanishi?
Ukiona umepiga mpaka bao limetoka umefurahi sana hapo mzeewetu umepokea energy ila ukipiga bao halitoki au linatoka kwa tabu mzeewetu hapo energy zako zimeenda jiandae kwa stress, upige kavu uvae condom ikitokea hivyo jua hivyo hio ni kwa mwanaume na mwanamke ukimkojolesha jua amechua energy ndio maana unakuta wanawake wengi hawakojoi yaani hakuna energy wanayopokea ila siku wakikutana na mwanaume wakakojoa maana yake wamepokea energy hivyo hufurahia
 
Kula starehe kufa kwaja,asikutishe mtu yeyote,kikubwa kama una hela itafune
Achana na kitu inaitwa tunda wewe,Kula kadri uwezavyo.
 
Back
Top Bottom