Nimesikia wrong sex inaleta mikosi maishani kwanini?

Nimesikia wrong sex inaleta mikosi maishani kwanini?

I said what i said akipenda ushauri achukue asipopenda aendelee kulala na hao wanawake atapata anachotafuta done.
Mbona pisi ya mzee Mengi imeshindwa kupata hizo energy za kitajiri, inabaki kulia lia njaa mahakamani.

Au hizo energy ni za namna gani?
 
Kama hivo ni kwel Mimi uko nyuma nimelala na mademu wengi sana ila sasa nimeacha
Kwahy unatak kuniambia nikifeli kweny hustle zangu ni shauri ya hao mademu



Fata njia zote za utafutaji na u-tap katika universe

Kuwa mzinzi na kuwa financial broke havina undugu Ila the power of ur thought that's matter most.
 
Umesema vizuri lakini bado hujanipa nini hasa sababu ya kua sex inakua Baraka
Misingi ya dini inafundisha kwamba ngono na mtu asiye mwenzi wa ndoa ni dhambi, na Mungu anaadhibu dhambi usipotubu.

Kama unaamini hayo, jibu mbona unalo....

Kama huamini, ngono haina baraka wala mikosi, ni starehe.

Ukihonga sana na kununua malaya basi lazima useme ngono ina mikosi.

Ndo maana wanawake hawaegemei sana hii dhana kwasababu ngono haiwaumizi kiuchumi.
 
Hiiv hii habari ya kua ukifanya unapenda sana ngono unajiletea mikosi maishani yani mambo yako ya utafutaji yanakua hayaendi vizuri ni kweli? Na kama kweli kwanini? Humu ndani yupo imewahi mtokea?
Nataka kuwa sahihi katika utafutaji sitaki ndumba Asanteni
Depend unasex na nani
 
Ushauri huu umeutoa ukiwa na mpenzi mmoja au limekutoka? Daktari anakuambia usivute huku yeye ana bakti ya sigara mfuko wa shati au anakuambia usinywe yeye kwenye gari ana kichupa cha valuu
Niko na mpenzi mmoja mkuu,. That’s why nimemshauri pia
 
Mikosi wapii,ni vile tu unakuwa umezaliwa na nyota iliyofifia.Chagua kutulia lakini mikosi na sex ni vitu viwili tofauti....Gaza imefutika pamoja na watu wake,je wataka kaniambia walikuwa na dhambi wote.Maisha haya ishi vile uonavyo ni sahihi...kujiwekea masharti kwenye maisha ni kujikatili.....lisilo sahihi kwako kulifanya mbona roho yenyewe hukataa,unajikuta hufanyi...we ishi tu mkuu....Sheria kwenye nchi na kwenye maisha binafsi pia !?😳🙄
 
Back
Top Bottom