Nimesikia wrong sex inaleta mikosi maishani kwanini?

Nimesikia wrong sex inaleta mikosi maishani kwanini?

Kua na mpenzi mmoja mfanye kwa usafi,.

Halafu fanya mambo yako ya msingi,. Kama unaweza bila kufanya kabisa nayo ni nzuri zaidi
Ushauri huu umeutoa ukiwa na mpenzi mmoja au limekutoka? Daktari anakuambia usivute huku yeye ana bakti ya sigara mfuko wa shati au anakuambia usinywe yeye kwenye gari ana kichupa cha valuu
 
Maisha ya sasa yamebadilika, Unaweza ukawa unatembea na mwanamke/mwanamke fulani. Lakini ikawa wazazi wake wamempandikiza ushirikina... ( so unakuwa msukule uliye hai huwezi kufanikiwa hata iweje), kila kukicha mikosi, mabalaa na ajali ni vyako.

. Ni kuwa makini tu, Ndo maana wazee wa zamani walikuwa kini sana kwenye mambo kama haya waliona mbali sana.
 
wewe kama ni chovya chovya wewe chovya tu na kama unaamua kufa na utamu wako ni sawa mwisho wa siku sote tutakufa sasa unakufaje bila kuexperiece vitu ambavyo utaviacha? bro ukifa hakuna kutombana.
Mabikra 72 wanatusubiri peponi
 
Kama ambavyo unaweza pata mikosi ndo unavyoweza kupata baraka .

Kiroho - unapojmiana na MTU mnkuwa mmeshakuwa mwili mmoja .


So kama ana nguvu fulani chanya inaweza kuja kwako na ya kwako ikaenda kwake.

Kiuchumi
Unapokuwa na mwanamke zaidi ya mmoja unaweza kuyumbisha uchumi wako.
 
The more unalala na wanawake tofauti tofauti the more mnaexchange energy,

Sasa hapo ndio zipo energy nzuri na mbaya, ila mara nyingi ukilala na wanawake wengi energy utakazo pokea ni mbaya ndio kama mikosi nk

Hivyo akili kichwani kwako kujitunza kuwa na mtu mmoja unaeona ni bora ili kuepukana na maenergy ya hovyo hovyo au kuziendekeza tamaa za mwili.
 
Kama ambavyo unaweza pata mikosi ndo unavyoweza kupata baraka .

Kiroho - unapojmiana na MTU mnkuwa mmeshakuwa mwili mmoja .


So kama ana nguvu fulani chanya inaweza kuja kwako na ya kwako ikaenda kwake.

Kiuchumi
Unapokuwa na mwanamke zaidi ya mmoja unaweza kuyumbisha uchumi wako.
Duh inatisha mkuu
 
The more unalala na wanawake tofauti tofauti the more mnaexchange energy,

Sasa hapo ndio zipo energy nzuri na mbaya, ila mara nyingi ukilala na wanawake wengi energy utakazo pokea ni mbaya ndio kama mikosi nk

Hivyo akili kichwani kwako kujitunza kuwa na mtu mmoja unaeona ni bora ili kuepukana na maenergy ya hovyo hovyo au kuziendekeza tamaa za mwili.
What if huyo mmoja akawa na weak spirit
 
The more unalala na wanawake tofauti tofauti the more mnaexchange energy,

Sasa hapo ndio zipo energy nzuri na mbaya, ila mara nyingi ukilala na wanawake wengi energy utakazo pokea ni mbaya ndio kama mikosi nk

Hivyo akili kichwani kwako kujitunza kuwa na mtu mmoja unaeona ni bora ilu kuepukana na maenergy ya hovyo hovyo au kuziendekeza tamaa za mwili.
Haya mambo ya ku exchange energy ukifanya ngono ni uongo.

Kama ingekuwa ukifanya ngono una exchange energy, Wanawake malaya wanaofanya ngono na matajiri wangepata energy za utajiri.

Ila wapi, wanabaki na umaskini wao wakiendelea kudanga kwa watu wengine zaidi.
 
Back
Top Bottom