Nimesikitika sana Elon Musk kuongoza tena kwa utajiri duniani

Nimesikitika sana Elon Musk kuongoza tena kwa utajiri duniani

Mzuka wanajamvi!

Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua.

Anajiona yeye ni mungumtu.

Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba moja duniani nimelia sana. Kwa nini freemason wamemrudisha? Nilikuwa naomba azidi kushuka tu zaidi na zaidi alingane na kina vunja bei huko.

Afrika kusini nchi iliyomleta duniani na kumlea hana hata fadhila nayo. Sasa hivi south Africa hamna umeme mortuary zinanuka balaa kwasababu friji zimezima. Lakini jamaa angalau achangie tu hata dollar billion 10 kusaidia taifa lililomtoa. Amebaki kupambana na wafanyakaz wa twitter na kuchezeachezea hela.

Enzi za kina Bill gates, warren buffet, Carlos slim tulikuwa na amani sana duniani. Hawa walikuwa freemason wastaarabu.

Sijui Freemason wakawaje hadi kutuletea huyu mbwiga Musk?
Tafuta na wewe utajiri man ....
 
Mzuka wanajamvi!

Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua.

Anajiona yeye ni mungumtu.

Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba moja duniani nimelia sana. Kwa nini freemason wamemrudisha? Nilikuwa naomba azidi kushuka tu zaidi na zaidi alingane na kina vunja bei huko.

Afrika kusini nchi iliyomleta duniani na kumlea hana hata fadhila nayo. Sasa hivi south Africa hamna umeme mortuary zinanuka balaa kwasababu friji zimezima. Lakini jamaa angalau achangie tu hata dollar billion 10 kusaidia taifa lililomtoa. Amebaki kupambana na wafanyakaz wa twitter na kuchezeachezea hela.

Enzi za kina Bill gates, warren buffet, Carlos slim tulikuwa na amani sana duniani. Hawa walikuwa freemason wastaarabu.

Sijui Freemason wakawaje hadi kutuletea huyu mbwiga Musk?
Kumbe Musk ni mbwiga? Sasa unamsema hivyo wa nini? Live long mbwiga
 
mwamba.... eeeh! Kwa musk kama ni roho ikutoke tu maana ndo kwanza najichanga kwa hao mabinti wke akiwaweka showroom tu, wa kwanza kumchangia na kumtemea mamilioni na mimi nimo. Na vle watatumia password apo U.T.I ndo bac
 
Ulipata jiuliza wakati anapata hasara hao SA walimsaidia kipi? Umaskini ni kilema kibaya kupita maelezo.
 
Huu uzi ungeandikwa na mwanamke mambo yangekuwa mengi ati tuna wivu na elon coz anatengeneza mdoli wa kubaka ambao hauwaombi wanaume hela . Anyway huyu jamaa ni mpuuzi huwezi kuwa tajiri unawaza kutengeneza vitu ambavyo viko against na nature, bureee
 
Huu uzi ungeandikwa na mwanamke mambo yangekuwa mengi ati tuna wivu na elon coz anatengeneza mdoli wa kubaka ambao hauwaombi wanaume hela . Anyway huyu jamaa ni mpuuzi huwezi kuwa tajiri unawaza kutengeneza vitu ambavyo viko against na nature, bureee
Kila kitu anachotengeneza mwanadamu kiko against nature.
 
Wazazi wako hawajakuleta Duniani, ili kuchukia Wanaume wenzako.

Tutafute pesa tuache makasiriko [emoji1549]
 
Nilidhani anashindana na baba yako hiyo nafasi ya kwanza, kwamba baba yako kashushwa nafasi ya pili.
 
Mzuka wanajamvi!

Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua.

Anajiona yeye ni mungumtu.

Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba moja duniani nimelia sana. Kwa nini freemason wamemrudisha? Nilikuwa naomba azidi kushuka tu zaidi na zaidi alingane na kina vunja bei huko.

Afrika kusini nchi iliyomleta duniani na kumlea hana hata fadhila nayo. Sasa hivi south Africa hamna umeme mortuary zinanuka balaa kwasababu friji zimezima. Lakini jamaa angalau achangie tu hata dollar billion 10 kusaidia taifa lililomtoa. Amebaki kupambana na wafanyakaz wa twitter na kuchezeachezea hela.

Enzi za kina Bill gates, warren buffet, Carlos slim tulikuwa na amani sana duniani. Hawa walikuwa freemason wastaarabu.

Sijui Freemason wakawaje hadi kutuletea huyu mbwiga Musk?
Tatizo umasikini Afrika ni uongozi bora mfano nchi yetu unasikia trn 8 zimeibiwa lakini hakuna mtu anaeguswa unazani kuna tajiri gani atatoa misaada waafrika tumeshindwa kujitawala matatizo yako usilaumu matajiri
 
Mzuka wanajamvi!

Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua.

Anajiona yeye ni mungumtu.

Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba moja duniani nimelia sana. Kwa nini freemason wamemrudisha? Nilikuwa naomba azidi kushuka tu zaidi na zaidi alingane na kina vunja bei huko.

Afrika kusini nchi iliyomleta duniani na kumlea hana hata fadhila nayo. Sasa hivi south Africa hamna umeme mortuary zinanuka balaa kwasababu friji zimezima. Lakini jamaa angalau achangie tu hata dollar billion 10 kusaidia taifa lililomtoa. Amebaki kupambana na wafanyakaz wa twitter na kuchezeachezea hela.

Enzi za kina Bill gates, warren buffet, Carlos slim tulikuwa na amani sana duniani. Hawa walikuwa freemason wastaarabu.

Sijui Freemason wakawaje hadi kutuletea huyu mbwiga Musk?
Afrika kusini au nchi yeyote ya Afrika kwa ujumla si masikini kiasi cha kushindwa kuhifadhi maiti, ila ni matumizi mabaya ya kodi.
Mwenye nazo, anazo tu! Kutetereka, haimaanishi kuwa hatengenezi pesa. Ni sawa na sisi walalahoi, siku nyingine una laki, mara umepiteza na kuishiwa una elfu 3, baada ya muda unarudi kwenye laki tena, ndio maisha, sema yeye yuko juu, wengine yuko kwenye hali tofauti tofauti.
Huna haja ya kulia, bali nawe zisake.
 
Furaha ya maskini ni tajiri kufulia, kufa ama mabaya kumfikia. Yani hapo maskini anafurahiii kichiz hadi njaa inaisha kwa muda hata kama hajala siku tatu.

Tunamuombea tu hata top ten asiwepo.
Ya awamu ya 5, wivu mpaka kwa wananchi wako!! Uongozi ni kipaji!
 
Ukitaka kuwa tajir lazima uwe na tabia hzo

Hata kipindi Bill Gate anaongoza nae alikuwa mafia wa hatari ila alipoanza maswala ya charity ndo akaporomoka
 
Back
Top Bottom