roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,609
- 2,751
Yesu wangu!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha akili za kimasikin wewe. Huyu jamaa aliwaambia shirika la misaada la kimataifa limletee mchanganuo ninamna gani wanaweza kumaliza njaa wakipewa hela mpaka leo kimya.Mzuka wanajamvi!
Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua.
Anajiona yeye ni mungumtu.
Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba moja duniani nimelia sana. Kwa nini freemason wamemrudisha? Nilikuwa naomba azidi kushuka tu zaidi na zaidi alingane na kina vunja bei huko.
Afrika kusini nchi iliyomleta duniani na kumlea hana hata fadhila nayo. Sasa hivi south Africa hamna umeme mortuary zinanuka balaa kwasababu friji zimezima. Lakini jamaa angalau achangie tu hata dollar billion 10 kusaidia taifa lililomtoa. Amebaki kupambana na wafanyakaz wa twitter na kuchezeachezea hela.
Enzi za kina Bill gates, warren buffet, Carlos slim tulikuwa na amani sana duniani. Hawa walikuwa freemason wastaarabu.
Sijui Freemason wakawaje hadi kutuletea huyu mbwiga Musk?
Nyie si mnaringa,acha awanyooshe tuHuu uzi ungeandikwa na mwanamke mambo yangekuwa mengi ati tuna wivu na elon coz anatengeneza mdoli wa kubaka ambao hauwaombi wanaume hela . Anyway huyu jamaa ni mpuuzi huwezi kuwa tajiri unawaza kutengeneza vitu ambavyo viko against na nature, bureee
Anajinyoisha mwenyewe🤣Nyie si mnaringa,acha awanyooshe tu
E He he he he!Achangie mafisadi ya ANC?
Hakuna kitu kibaya kama umaskini, yaani mtu apambane Hadi namba Moja duniani alafu aje kapuku mmoja kutoka Tanzania amuombee njaa kisa tu hajaisaidia Africa kusiniMzuka wanajamvi!
Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua.
Anajiona yeye ni mungumtu.
Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba moja duniani nimelia sana. Kwa nini freemason wamemrudisha? Nilikuwa naomba azidi kushuka tu zaidi na zaidi alingane na kina vunja bei huko.
Afrika kusini nchi iliyomleta duniani na kumlea hana hata fadhila nayo. Sasa hivi south Africa hamna umeme mortuary zinanuka balaa kwasababu friji zimezima. Lakini jamaa angalau achangie tu hata dollar billion 10 kusaidia taifa lililomtoa. Amebaki kupambana na wafanyakaz wa twitter na kuchezeachezea hela.
Enzi za kina Bill gates, warren buffet, Carlos slim tulikuwa na amani sana duniani. Hawa walikuwa freemason wastaarabu.
Sijui Freemason wakawaje hadi kutuletea huyu mbwiga Musk?