Nimesikitika sana Elon Musk kuongoza tena kwa utajiri duniani

Nimesikitika sana Elon Musk kuongoza tena kwa utajiri duniani

Mzuka wanajamvi!

Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua.

Anajiona yeye ni mungumtu.

Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba moja duniani nimelia sana. Kwa nini freemason wamemrudisha? Nilikuwa naomba azidi kushuka tu zaidi na zaidi alingane na kina vunja bei huko.

Afrika kusini nchi iliyomleta duniani na kumlea hana hata fadhila nayo. Sasa hivi south Africa hamna umeme mortuary zinanuka balaa kwasababu friji zimezima. Lakini jamaa angalau achangie tu hata dollar billion 10 kusaidia taifa lililomtoa. Amebaki kupambana na wafanyakaz wa twitter na kuchezeachezea hela.

Enzi za kina Bill gates, warren buffet, Carlos slim tulikuwa na amani sana duniani. Hawa walikuwa freemason wastaarabu.

Sijui Freemason wakawaje hadi kutuletea huyu mbwiga Musk?
Acha akili za kimasikin wewe. Huyu jamaa aliwaambia shirika la misaada la kimataifa limletee mchanganuo ninamna gani wanaweza kumaliza njaa wakipewa hela mpaka leo kimya.
 
Huu uzi ungeandikwa na mwanamke mambo yangekuwa mengi ati tuna wivu na elon coz anatengeneza mdoli wa kubaka ambao hauwaombi wanaume hela . Anyway huyu jamaa ni mpuuzi huwezi kuwa tajiri unawaza kutengeneza vitu ambavyo viko against na nature, bureee
Nyie si mnaringa,acha awanyooshe tu
 
Mzuka wanajamvi!

Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua.

Anajiona yeye ni mungumtu.

Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba moja duniani nimelia sana. Kwa nini freemason wamemrudisha? Nilikuwa naomba azidi kushuka tu zaidi na zaidi alingane na kina vunja bei huko.

Afrika kusini nchi iliyomleta duniani na kumlea hana hata fadhila nayo. Sasa hivi south Africa hamna umeme mortuary zinanuka balaa kwasababu friji zimezima. Lakini jamaa angalau achangie tu hata dollar billion 10 kusaidia taifa lililomtoa. Amebaki kupambana na wafanyakaz wa twitter na kuchezeachezea hela.

Enzi za kina Bill gates, warren buffet, Carlos slim tulikuwa na amani sana duniani. Hawa walikuwa freemason wastaarabu.

Sijui Freemason wakawaje hadi kutuletea huyu mbwiga Musk?
Hakuna kitu kibaya kama umaskini, yaani mtu apambane Hadi namba Moja duniani alafu aje kapuku mmoja kutoka Tanzania amuombee njaa kisa tu hajaisaidia Africa kusini
Unadhani Africa kusini inashida sana kuliko Tanzania
Acheni majungu wanaume tafuteni Hela
 
Back
Top Bottom