and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
He is doing the impossible, ni risk taker na very hard working man, ameleta mapinduzi makubwa kwenye gari za umeme, Internet, spaceX, AI, kwenye issues za neurons ana projects nyingi na anafanya R&D.kwanini unasema hivyo mkuu....
Tafuta na wewe utajiri man ....Mzuka wanajamvi!
Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua.
Anajiona yeye ni mungumtu.
Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba moja duniani nimelia sana. Kwa nini freemason wamemrudisha? Nilikuwa naomba azidi kushuka tu zaidi na zaidi alingane na kina vunja bei huko.
Afrika kusini nchi iliyomleta duniani na kumlea hana hata fadhila nayo. Sasa hivi south Africa hamna umeme mortuary zinanuka balaa kwasababu friji zimezima. Lakini jamaa angalau achangie tu hata dollar billion 10 kusaidia taifa lililomtoa. Amebaki kupambana na wafanyakaz wa twitter na kuchezeachezea hela.
Enzi za kina Bill gates, warren buffet, Carlos slim tulikuwa na amani sana duniani. Hawa walikuwa freemason wastaarabu.
Sijui Freemason wakawaje hadi kutuletea huyu mbwiga Musk?
Kumbe Musk ni mbwiga? Sasa unamsema hivyo wa nini? Live long mbwigaMzuka wanajamvi!
Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua.
Anajiona yeye ni mungumtu.
Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba moja duniani nimelia sana. Kwa nini freemason wamemrudisha? Nilikuwa naomba azidi kushuka tu zaidi na zaidi alingane na kina vunja bei huko.
Afrika kusini nchi iliyomleta duniani na kumlea hana hata fadhila nayo. Sasa hivi south Africa hamna umeme mortuary zinanuka balaa kwasababu friji zimezima. Lakini jamaa angalau achangie tu hata dollar billion 10 kusaidia taifa lililomtoa. Amebaki kupambana na wafanyakaz wa twitter na kuchezeachezea hela.
Enzi za kina Bill gates, warren buffet, Carlos slim tulikuwa na amani sana duniani. Hawa walikuwa freemason wastaarabu.
Sijui Freemason wakawaje hadi kutuletea huyu mbwiga Musk?
Kila kitu anachotengeneza mwanadamu kiko against nature.Huu uzi ungeandikwa na mwanamke mambo yangekuwa mengi ati tuna wivu na elon coz anatengeneza mdoli wa kubaka ambao hauwaombi wanaume hela . Anyway huyu jamaa ni mpuuzi huwezi kuwa tajiri unawaza kutengeneza vitu ambavyo viko against na nature, bureee
Tatizo umasikini Afrika ni uongozi bora mfano nchi yetu unasikia trn 8 zimeibiwa lakini hakuna mtu anaeguswa unazani kuna tajiri gani atatoa misaada waafrika tumeshindwa kujitawala matatizo yako usilaumu matajiriMzuka wanajamvi!
Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua.
Anajiona yeye ni mungumtu.
Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba moja duniani nimelia sana. Kwa nini freemason wamemrudisha? Nilikuwa naomba azidi kushuka tu zaidi na zaidi alingane na kina vunja bei huko.
Afrika kusini nchi iliyomleta duniani na kumlea hana hata fadhila nayo. Sasa hivi south Africa hamna umeme mortuary zinanuka balaa kwasababu friji zimezima. Lakini jamaa angalau achangie tu hata dollar billion 10 kusaidia taifa lililomtoa. Amebaki kupambana na wafanyakaz wa twitter na kuchezeachezea hela.
Enzi za kina Bill gates, warren buffet, Carlos slim tulikuwa na amani sana duniani. Hawa walikuwa freemason wastaarabu.
Sijui Freemason wakawaje hadi kutuletea huyu mbwiga Musk?
Jamaa ni mtu makini.Musk ajengewe sanamu kubwa, ile midoli yake ni game changer, invoices zinazikwa rasmi
HakikaJamaa ni mtu makini.
Afrika kusini au nchi yeyote ya Afrika kwa ujumla si masikini kiasi cha kushindwa kuhifadhi maiti, ila ni matumizi mabaya ya kodi.Mzuka wanajamvi!
Jamaa kwa kifupi simpendi. Kwanza ni mbaguzi, kiherehere, ana madharau, nyodo, majigambo na kujiinua.
Anajiona yeye ni mungumtu.
Tangu jana arudishwe tena kuwa tajiri namba moja duniani nimelia sana. Kwa nini freemason wamemrudisha? Nilikuwa naomba azidi kushuka tu zaidi na zaidi alingane na kina vunja bei huko.
Afrika kusini nchi iliyomleta duniani na kumlea hana hata fadhila nayo. Sasa hivi south Africa hamna umeme mortuary zinanuka balaa kwasababu friji zimezima. Lakini jamaa angalau achangie tu hata dollar billion 10 kusaidia taifa lililomtoa. Amebaki kupambana na wafanyakaz wa twitter na kuchezeachezea hela.
Enzi za kina Bill gates, warren buffet, Carlos slim tulikuwa na amani sana duniani. Hawa walikuwa freemason wastaarabu.
Sijui Freemason wakawaje hadi kutuletea huyu mbwiga Musk?
Ya awamu ya 5, wivu mpaka kwa wananchi wako!! Uongozi ni kipaji!Furaha ya maskini ni tajiri kufulia, kufa ama mabaya kumfikia. Yani hapo maskini anafurahiii kichiz hadi njaa inaisha kwa muda hata kama hajala siku tatu.
Tunamuombea tu hata top ten asiwepo.