Nimesikitika sana kumkuta EX Girlfriend wangu anakunywa Katarama

Demu anakunywa kitu hatari hivyo , si bora tu aokoke?
 
Du
 
daah mi sio mkuda, ila wanangu acheni nicheke tu Hohehahe mtumainiye mungu raraa reree

โ€Šsisi ambao tumepigika ukitukuta tunapiga hivyo vinywaji tunasemaga inasaidia kupunguza unene
Mimi situmii hivyo vitu Komredi ๐Ÿ˜…๐Ÿ™Œ๐Ÿพ

Nakula stress mpaka nalala, nikiamka naendelea kula stress mpaka ni-commit suicide au niwehuke ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿพ
 
Katarama si gari za kwenda Mwanza zile zinazokimbia kama Bombadie?
Sasa si ndo hivyo kawa katarama... maana yake mwendokasi, watu chap wanagusa wanarudi kuendelea kukata visungura, na wewe ukwilu ukikupanda unaenda nae chap kusuuza... yuko chap kama katarama ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿพ
 
Mentor wa tajiri ana geti la kugonga ?! Mentor wa tajiri hana door/gate bell ?! Mentor wa tajiri anaishi kama mbuzi zizini hana gate man ?! Ok, ngoja niendelee kusoma kisa hiki cha matajiri
 
Hapo kwenye sungura wa mabibo nakubaliana na wewe.
Mdogo wangu ameharibikiwa kwa kunywa huyo sungura, amekua chizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ