Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye the giant laser tv ndo nimekomea,
Usiishi kwa kukariri. Watu wanaishi kama wanavyotaka, sio kama utakavyo wewe.Mentor wa tajiri ana geti la kugonga ?! Mentor wa tajiri hana door/gate bell ?! Mentor wa tajiri anaishi kama mbuzi zizini hana gate man ?! Ok, ngoja niendelee kusoma kisa hiki cha matajiri
Juzi hapa nimeleta uzi wa mama Judith Mhina, tajiri aliyetaka kuinunua Vingunguti na Buguruni Mnyamani yote. Unajua yuko simple kiasi gani? Watu wengi wenye hela zao wanapenda ku lay low. Wanaishi maisha ya kawaida sana ila maisha bora na mazuri sana.Mentor wa tajiri ana geti la kugonga ?! Mentor wa tajiri hana door/gate bell ?! Mentor wa tajiri anaishi kama mbuzi zizini hana gate man ?! Ok, ngoja niendelee kusoma kisa hiki cha matajiri
Sifa kubwa kabisa ya maskini ni kuwa hater. Unamjua Bill Lugano?Hizi pigo muachie Bill Lugano unajieleza sana huna kitu ww
[emoji1787]Hapo kwenye the giant laser tv ndo nimekomea,
Labda unijuze ww mama yake Bill LuganoSifa kubwa kabisa ya maskini ni kuwa hater. Unamjua Bill Lugano?
Tofautisha chuki na ushauriSifa kubwa kabisa ya maskini ni kuwa hater. Unamjua Bill Lugano?
Kashfa ni kiashiria cha chuki, chuki ni ufukara. Hapa unamtukana mama yake Bill Lugano kakukosea nini?Labda unijuze ww mama yake Bill Lugano
😂😂😂😂😂😂😂92 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nguvu za kua baba ulishaziacha kwenye tamaa za ujana wako😂😂😂😂😂😂Kashfa ni kiashiria cha chuki, chuki ni ufukara. Hapa unamtukana mama yake Bill Lugano kakukosea nini?
Jifunze kuwa na heshima na adabu. Halafu kwangu wewe ni mtoto mdogo sana. Umezaliwa 92 unatukana baba zako. Usishangae kwanini maisha yako ni magumu sana
Hamna kitu ka hicho, Nimezaliwa Mbeya(Meta Hospital),majanki kibao wanakula ganja na tungi mixer kamariNilichong'amua kwenye hili bandiko.
"ukizaliwa Mbeya wewe ni mlokole, dhambi utajifunza baadae.
Ila ndo lina ukwasi sasa yan tajiri mkuu, ni balaa 😂😂Hili jamaa jitu jinga
Wenzio ni walokole nnasikia kila baada ya nyumba kuna kanisa, yaani makanisa ni mengi kuliko idadi ya wauminiHamna kitu ka hicho, Nimezaliwa Mbeya(Meta Hospital),majanki kibao wanakula ganja na tungi mixer kamari
Iyunga,Kalobe,Nzovwe, Simike ,Meta hadi Mabatini majanki wa mitaa hiyo ni tungi kwa sana,
Nonde,Majengo,Ghana,Maendeleo,Sokomatola ni ganja na pombe,
Hizo, Isanga ,Ilemi,Soweto,Sai,Mama John, Airport na Dox yote mwendo uleule mpaka shamba ( Uyole)
Ukishuka bonde (Mbalizi) huko kunapikwa Komoni,Mchujo na Gongo za hatari.