Kijogoodi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,362
- 2,373
2025 utaporwa huo mkunduuNyie mataahira . pamoja na kupora uchaguzi kwa mikura feki bado mnaweweseka na chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2025 utaporwa huo mkunduuNyie mataahira . pamoja na kupora uchaguzi kwa mikura feki bado mnaweweseka na chadema
Upo sawa kweli?Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Upinzani hawajui uwepo wao ni nini zaidi ya kufanya fitina na mifarakano tu.Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Huyo mleta uzi ni zaidi ya chumia tumbo asiye na aibuLeo ndo mnaona umuhimu wa chadema ee!! Mlipowadhulumu kura mlikuwa akiri mziweka mfukoni? Watu waliteka na kuwanynyasa chadema wanaporudisha form. Kumrudisha form tu ilikuwa vita mpaka akina Catherine ruge wakavunjwa miguu na kubakwa na polisi lakini jpm akaona polisi wanachofanya ni sawasawa tu.
Umeshawahi ona wapi katika nchi za demokrasia ya vyama vingi eti wabunge zaidi ya 20 wanapita bila kupingwa?
Angalau jamaa amekufa tumefurahi Sana Mambo mengine tutajipanga taratibu. Tumeibiwa majimbo kibao Leo ndo unaona umuhimu wa chadema.
Hujui hata unacho kiandika masikini sukuma gangIkitotanzila,
Kwa hiyo Chadema hamtaki bunge liisimamie serikali?
Mnajua kuwa wananchi wamewakataa sababu ya tabia zenu hizi za kwenda na upepo?
Alikuwa anaikosoa serikali akiwa wapi?Kwa hiyo Spika akiikosoa serikali Chadema mnaita ni uhuni?
Hajui ndiyo maana anabwabwajaHivi unajua kutofautisha kati ya bunge na Ndugai?
Kama nyinyi bendera fuata upepo mlivyo mtukana mzee lowasa matusi ya nguoni kisa kahamia cdm.Ndugai ni spika wa bunge na amemkosoa rais ambaye ni kiongozi wa serikali.
Chadema mmeona kafanya kitendo kibaya mmemtukana matusi ya nguoni.
Hawezi kuwa na akili hata kidogoUna akili timamu ?
Kwa hiyo Ndugai akiikosoa serikali anakuwa sio Spika?
Wapi bunge limeisimamia serikali chadema ikalalamika?Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Ndugai siyo tu sehemu ya bunge bali pia ni spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, hivyo lolote atakalo lisema kuhusu serikali laweza kushika hatamu bungeni.Hivi unajua kutofautisha kati ya bunge na Ndugai?
Tatizo ni hiyo u turn, imekuaje kuaje yaani, ?wakati CDM walipokuwa bungeni wakipinga ushetani wa ccm Ndungai aliwafukuza,na aliikingia kifua serikaliIkitotanzila,
Kwa hiyo Chadema hamtaki bunge liisimamie serikali?
Mnajua kuwa wananchi wamewakataa sababu ya tabia zenu hizi za kwenda na upepo?
Upumbavu wao upi?Chadema ni wapumbavu sana
Ndugai ni spika wa bunge na amemkosoa rais ambaye ni kiongozi wa serikali.
Chadema mmeona kafanya kitendo kibaya mmemtukana matusi ya nguoni.
Chadema kimejionesha ni chama cha matukio na kipo kinaangalia upepo wa kula ruzuku.
Chadema wakisubiri njia za kisitaarabu kwa kufanya siasa za kistaarabu eti ndio washike dola watasubiri miaka 1000.
Ni kweli Wananchi wamelala na ni waoga lakini nani wa kuwatoa katika usingizi huo??? ,wanatakiwa wa force vitu litakalo tokea litokeee uone kama kesho tu hawataingia Ikulu.
Sasa wamebaki Kumuomba mtesi wao SAMIA amwachie Mbowe,weka mikakakti ingia mtaani Fanya matukio mpaka SAMIA amwachie Mbowe kwa kutokupenda.