Nimesikitika sana kuona CHADEMA wanalishambulia Bunge kwa kuisimamia Serikali

Nimesikitika sana kuona CHADEMA wanalishambulia Bunge kwa kuisimamia Serikali

Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.

Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.

CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.

Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.

Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.

Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Upo sawa kweli?
Bunge lipi nd(u)gi yupi wabunge wepi?
Acha kujifanya unajua
Chadema inakunyima usingizi au
 
Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.

Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.

CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.

Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.

Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.

Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Upinzani hawajui uwepo wao ni nini zaidi ya kufanya fitina na mifarakano tu.
Hawajui hata wanavhotaka ni nini zaidi ya kutaka kingia madarakani na kufisadi mali za umma.
 
Leo ndo mnaona umuhimu wa chadema ee!! Mlipowadhulumu kura mlikuwa akiri mziweka mfukoni? Watu waliteka na kuwanynyasa chadema wanaporudisha form. Kumrudisha form tu ilikuwa vita mpaka akina Catherine ruge wakavunjwa miguu na kubakwa na polisi lakini jpm akaona polisi wanachofanya ni sawasawa tu.

Umeshawahi ona wapi katika nchi za demokrasia ya vyama vingi eti wabunge zaidi ya 20 wanapita bila kupingwa?

Angalau jamaa amekufa tumefurahi Sana Mambo mengine tutajipanga taratibu. Tumeibiwa majimbo kibao Leo ndo unaona umuhimu wa chadema.
Huyo mleta uzi ni zaidi ya chumia tumbo asiye na aibu
 
Kwa hiyo Spika akiikosoa serikali Chadema mnaita ni uhuni?
Alikuwa anaikosoa serikali akiwa wapi?

Michango ya wabunge iliisikia kuhusu agenda yake?

Wabunge wangapi waliiunga mkono hoja take
Hatujadili UCCM au Uchadema.
Jadili mifumo yakikatiba kimhimili.
 
Ndugai ni spika wa bunge na amemkosoa rais ambaye ni kiongozi wa serikali.

Chadema mmeona kafanya kitendo kibaya mmemtukana matusi ya nguoni.
Kama nyinyi bendera fuata upepo mlivyo mtukana mzee lowasa matusi ya nguoni kisa kahamia cdm.

Lkn mwenye chama chake alivyo ona umuhimu wa lowasa akamrudisha na nyinyi leo hii mnamramba viatu kwa njaa zenu
 
Kwa hiyo Ndugai akiikosoa serikali anakuwa sio Spika?

Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.

Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.

CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.

Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.

Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.

Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Wapi bunge limeisimamia serikali chadema ikalalamika?
 
Wapi bunge limeisimamia serikali chadema ikalalamika?
Majuzi Spika wa Bunge amei-question serikali kuhusu maswala ya mikopo na tozo.

Chadema wamemtukana sana yule mzee.
 
Hivi unajua kutofautisha kati ya bunge na Ndugai?
Ndugai siyo tu sehemu ya bunge bali pia ni spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, hivyo lolote atakalo lisema kuhusu serikali laweza kushika hatamu bungeni.
 
Ikitotanzila,
Kwa hiyo Chadema hamtaki bunge liisimamie serikali?

Mnajua kuwa wananchi wamewakataa sababu ya tabia zenu hizi za kwenda na upepo?
Tatizo ni hiyo u turn, imekuaje kuaje yaani, ?wakati CDM walipokuwa bungeni wakipinga ushetani wa ccm Ndungai aliwafukuza,na aliikingia kifua serikali
Hebu tumia akili ya hata ya kuku kutafakali hilo jambo
 
Chadema ilishabaki kuwa genge la wahuni tu wasiosimamia misingi yoyote, kazi yao ni kutukana na kufuata upepo wa kila linalojitokeza. Hopeless kabisa.
 
Ndugai ni spika wa bunge na amemkosoa rais ambaye ni kiongozi wa serikali.

Chadema mmeona kafanya kitendo kibaya mmemtukana matusi ya nguoni.

Bunge au kundi la majizi ya kura?
 
Chadema kimejionesha ni chama cha matukio na kipo kinaangalia upepo wa kula ruzuku.

Ruzuku CDM wamewaachia nyie chama cha wazee. Hiyo jamaa yenu mwenye ngoma Kagoma kumeza dawa saa hii anagombana na bibi ushungi tu. Majizi ya kura vuaneni nguo.
 
Ajabu sana. Leo ccm wanawashauri chadema waisimamie serikali. Duh kama Kuna mwanachadema atafanya hivyo sijui. Chadema wanatakiwa kukaa kimya wapumzike Ili migsmbo iruke na kukanyagana.

CDM kaeni kimya huo.ni ugonvi wa ndugu
 
Chadema wakisubiri njia za kisitaarabu kwa kufanya siasa za kistaarabu eti ndio washike dola watasubiri miaka 1000.

Ni kweli Wananchi wamelala na ni waoga lakini nani wa kuwatoa katika usingizi huo??? ,wanatakiwa wa force vitu litakalo tokea litokeee uone kama kesho tu hawataingia Ikulu.

Sasa wamebaki Kumuomba mtesi wao SAMIA amwachie Mbowe,weka mikakakti ingia mtaani Fanya matukio mpaka SAMIA amwachie Mbowe kwa kutokupenda.

Mkuu Anzisha chama uingie ikulu.
 
Mkuu umeongea ukweli mchungu, pamoja na kuwa Ndugai ni sifuri, ila bado ni sehem ya bunge.

Siasa ni mbaya sana
 
Back
Top Bottom