Mbila bila changamotoKutoboa ni ngumu sana aisee.
Kumpiga 2 kavu kule kwao sio jambo dogo na sidhani kama Yanga ataweza.
Malumo kamfunga huyu USM algerWatu wanye jicho la mpila tuliongea mapema sana kuwa Yanga inaweza kuwa na kikosi kizuri lakini hakuondoi ukweli kuwa Yanga mpaka anafika fainal ilikuwa ni bahati kwa sababu ya aina ya timu walizo kuwa wanakutana nazo tukaambiwa tuna wivu.
Hivi Rivers inatofauti gani na Vaipas iliyo pingwa nje ndani na Simba?
Hivi Marumo inatofauti gani na Horoya aliye pingwa bao 7 na simba?
Lipo pale paleNataka kujua goli la ugenini linahesabika au fainal halipo?
Wajuz mje na maoni
Akishinda 2-1 wanakuja sare maana kila timu itakua ina idadi sawa ya magoli ya ugeniniKama goli la ugenn halihesabiki yanga wanaweza pindua meza ila kama linahesabika ni ngumu.
Uwezo wa timu zote mbili tumeuona Leo ,yanga anaweza kufunga magoli uarabun lakin sio Kwa 2-0 game ijayo Bado naona Kuna GG maana uwezo ni kama unakaribiana Kwa timu zote mbili .
Yanga akishinda 2-1 km goli la ugenn linahesabika ni out kama halihesabiki ni extra time had matuta ,Zaid afunge 3-1 Moja ,swali je warabu watakubali hicho kitu tena uwanja wa nyumban ?
Mpira una maajab japo Kwa hili nauona ugumu Kwa yanga.
Dah jmaa we sio wale mashabiki wa mhemko wanaotuambia nyie kawaida yenu mnaenda kushnda ugenini na kutuhakikishia mechi hii bdoMatumaini yangu ya Yanga kuchukua ubingwa yameshuka mpaka asilimia ishirini (20).
Kiufupi wachezaji wamecheza chini ya kiwango hata MORALI usoni mwao ilikua ndogo kabisa.
Ukitazama goli la pili ni goli la kizembe sijapata kuona, wachezaji walijiachia utadhani wanacheza na dodoma jijj au singida bigstars kule uwanja wa liti studium.
Wamesahau kabisa hii ni fainali na Kama waarabu wangekua wapo Moto(wangeamua kufunguka) basi yanga alikua anakula goli hata nne (4) kavu.
Diara ndiyo man of the match, tutizame dakika tisini (90) zingine tuone Kama yanga ana uwezo wa kufunga goli mbili (2) bila.
Mzee mpira si umeuona lakini huko kwa mwarabu ni kudra za MunguDah jmaa we sio wale mashabiki wa mhemko wanaotuambia nyie kawaida yenu mnaenda kushnda ugenini na kutuhakikishia mechi hii bdo
Ile ya pili sio fainali mkuu Ile ya pili ni kwenda kutafuta mshindi wa pili.Fainali imemalizika Kwa mkapa hata kocha wa waarabu kaonyesha ishara kwamba wao washamaliza.Mnabahati fainali ni mbili ingekuwa moja tungepoteza watu uwanjani Leo
ProbabilityAkishinda 2-1 wanakuja sare maana kila timu itakua ina idadi sawa ya magoli ya ugenini
Swali ni kua: wataweza kufunga hizo 2-1
Acha tungoje
Jamaa ukiwacheki tu unaona kabisa wapo seriousIle ya pili sio fainali mkuu Ile ya pili ni kwenda kutafuta mshindi wa pili.Fainali imemalizika Kwa mkapa hata kocha wa waarabu kaonyesha ishara kwamba wao washamaliza.
[emoji16][emoji16][emoji16] hawa uto Leo watajiua LeoIle ya pili sio fainali mkuu Ile ya pili ni kwenda kutafuta mshindi wa pili.Fainali imemalizika Kwa mkapa hata kocha wa waarabu kaonyesha ishara kwamba wao washamaliza.
Wasijiuwe mi naomba wajitoe roho tu.[emoji16][emoji16][emoji16] hawa uto Leo watajiua Leo
[emoji110] [emoji16] furaha simbaWasijiuwe mi naomba wajitoe roho tu.
HakikaMzee mpira si umeuona lakini huko kwa mwarabu ni kudra za mungu
Walizidi mdomo sana wallahi[emoji110] [emoji16] furaha simba
Kwamba mtampiga Mwarabu goli 2-0/3-1/4-2Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.
Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.
Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?
Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
LinahesabikaNataka kujua goli la ugenini linahesabika au fainal halipo?
Wajuz mje na maoni
Yani wamewafunga na wamechukua na pisi zao [emoji1][emoji1]
Kwa hiyo Yanga ilikua uinashindana na timu mbili.Sio uzembe
Hivi hamjui Fomula ya Simba hii mechi wamechekesha mfumo, mvua leo imetokea wapi
Kama ni uchawi wao yanga hawana kamati ya ufundi??Sio uzembe
Hivi hamjui Fomula ya Simba hii mechi wamechekesha mfumo, mvua leo imetokea wapi